Kuna umri ukifika aibu inakwisha kabisa, mwache aendelee kukuaMto uzi yeye anaona aibu
Ahsante mkuu!Kuna umri ukifika aibu inakwisha kabisa, mwache aendelee kukua
Aibu yanini sasa na pesa ni ziko, Hata ukitoa Sh100 lakini ni yakwako. Maisha haya unamuonea mtu haya. Unatoke nyanda zajuu au.?Jaman huwa napata aibu nikitoa chini ya tsh.5,000. je wewe huwa unaona so ukitoa sh ngapi?
Mimi hadi buku natoaJaman huwa napata aibu nikitoa chini ya tsh.5,000. je wewe huwa unaona so ukitoa sh ngapi?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] Bado nacheeeka!!Hio 100 ulikuwa unaitaka ya nini?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Jf kila mtu tajirinadhani laki nne ni hewa kwako wewe!
na ukitoa ATM inakuaje!?Jaman huwa napata aibu nikitoa chini ya tsh.5,000. je wewe huwa unaona so ukitoa sh ngapi?