Nikiwa mdogo niliwahi kucheza draft na Jakaya Kikwete pale Magomeni bila kujua kuwa ni Waziri wa Fedha:Viongozi kuweni wanyenyekevu

Nikiwa mdogo niliwahi kucheza draft na Jakaya Kikwete pale Magomeni bila kujua kuwa ni Waziri wa Fedha:Viongozi kuweni wanyenyekevu

Japo ya mufindi hii ila uliyo ya nena yanasadifu haswaaa hali halisi ya JK
 
Hii nchi hakuna awamu ambayo haijaibiwa nadhani unalitambua hilo,yule ambaye alituzuga na kutafuna mahindi ndio aliyesimamia zoezi zima la kutorosha matrillioni ya watu China..kiufupi uwe unazuga wananchi kwa kutafuta public stunts usiwe unawazuga kama ni mwizi mwizi tu!!
Viongozi ni wasanii sqna
 
Sikumbuki mwaka ila nakumbuka nilikuwa mdogo ,tulitoka na mzee wangu mitaa ya kariakoo tukaelekea mitaa ya Magomeni Mapipa mtaa sikumbuki ila ni karibu na Shibam.

Kufika pale kulikuwa na vijana watoto wamjini hakuna aliyezidi miaka 50,walikuwawakicheza draft,bao,zumna na kunywa kahawa

Vijana wa makamo wawili walikuwa wakicheza draft mmoja akamfunga mwenzake,akamtania kuwa hajui kitu bora acheze na mimi,hapo nikaachiwa nicheze na yule mwingine,yule mwenzake akaenda kusikiliza ushabuki wa mpira,walikuwa wamemzunguka mtu mmoja mnene mfupi ba sauti ya kukwaruza.

Miaka michache baadae nikagundua kumbe yule mtu niliyecheza nae draft ni Mh Waziri wa fedha Jakaya Mrisho Kikwete.

Na yule mtu mfupi mwenye sautiya kukwaruza alikuwa Jamhuri Kihwelu Tantalila,mchezaji wa zamani wa Simba.

Nilikuja tena kuonana na Mh Kikwete akiwa kwenye foleni ya ATM,CRDB Bank Holland House,Ohio Street,kipindi hicho akiwa waziri wa mambo ya nje miaka zaidi ya kumi tangu tukio la Magomeni.

Baada ya hapo niliishia kimuona kwenye luninga na magazetini

Kama mtakumbuka kipindi akiwa Rais alikuwa akitokea mara kadhaa kwenye media akishiriki mazishi ya watu ambao hata hawajulikani nchini,watu hao ni marafiki zake wa hali ya chini kabisa wakiwemo wa magomeni na Saigon Club na Hugo House Kinondoni alikokuwa akienda kunywa Supu

Kuna Mheshimiwa mmoja ajifanya kuigiza kuwa ni mtu wa matabaka yote ila technolojia ikamuumbua,muuza kahawa ni afisa wa TISS,mwingine akamuuzia muhindi wa kuchoma na bastola kiunoni kumbe ni maigizo tu .uungwana hauji kwa maigizo bali huzaliwa nao.

Kwa viongozi wa sasa sidhani kama kuna wazori wa fedha anayeweza kukaa kijiweni jioni,au waziri wa mambo ya nje anayeweza kukaa kwenye foleni ya ATM

Viongozi mmekuwa miungu watu mpaka mnatwambia tukimbilie Burundi.

Jifunzeni kujishusha kama Mh.Jakaya Kikwete nanyi mtakwezwa
Hongera ila hukuwai kuwa dreva bodaboda
 
Mswahili =Kahawa, Bao na majungu alafu waangalie vimewafikisha wap hata huyo unaemsema
Kweli kila mtu ana akili zake!! Kikwete amekuwa Rais wa Tanzania halafu unauliza amefika wapi? Hobbies mbali mbali kazi yake kubwa ni socialization na ndio hutufanya tuwe na furaha. Furaha inasaidia kutufanya tuishi miaka mingi.

Kwani ngoma za wasukuma zimewafikisha wapi?
 
Kweli kila mtu ana akili zake!! Kikwete amekuwa Rais wa Tanzania halafu unauliza amefika wapi? Hobbies mbali mbali kazi yake kubwa ni socialization na ndio hutufanya tuwe na furaha. Furaha inasaidia kutufanya tuishi miaka mingi.

Kwani ngoma za wasukuma zimewafikisha wapi?
Nimemshangaa sana,
 
Sikumbuki mwaka ila nakumbuka nilikuwa mdogo ,tulitoka na mzee wangu mitaa ya kariakoo tukaelekea mitaa ya Magomeni Mapipa mtaa sikumbuki ila ni karibu na Shibam.

Kufika pale kulikuwa na vijana watoto wamjini hakuna aliyezidi miaka 50,walikuwawakicheza draft,bao,zumna na kunywa kahawa

Vijana wa makamo wawili walikuwa wakicheza draft mmoja akamfunga mwenzake,akamtania kuwa hajui kitu bora acheze na mimi,hapo nikaachiwa nicheze na yule mwingine,yule mwenzake akaenda kusikiliza ushabuki wa mpira,walikuwa wamemzunguka mtu mmoja mnene mfupi ba sauti ya kukwaruza.

Miaka michache baadae nikagundua kumbe yule mtu niliyecheza nae draft ni Mh Waziri wa fedha Jakaya Mrisho Kikwete.

Na yule mtu mfupi mwenye sautiya kukwaruza alikuwa Jamhuri Kihwelu Tantalila,mchezaji wa zamani wa Simba.

Nilikuja tena kuonana na Mh Kikwete akiwa kwenye foleni ya ATM,CRDB Bank Holland House,Ohio Street,kipindi hicho akiwa waziri wa mambo ya nje miaka zaidi ya kumi tangu tukio la Magomeni.

Baada ya hapo niliishia kimuona kwenye luninga na magazetini

Kama mtakumbuka kipindi akiwa Rais alikuwa akitokea mara kadhaa kwenye media akishiriki mazishi ya watu ambao hata hawajulikani nchini,watu hao ni marafiki zake wa hali ya chini kabisa wakiwemo wa magomeni na Saigon Club na Hugo House Kinondoni alikokuwa akienda kunywa Supu

Kuna Mheshimiwa mmoja ajifanya kuigiza kuwa ni mtu wa matabaka yote ila technolojia ikamuumbua,muuza kahawa ni afisa wa TISS,mwingine akamuuzia muhindi wa kuchoma na bastola kiunoni kumbe ni maigizo tu .uungwana hauji kwa maigizo bali huzaliwa nao.

Kwa viongozi wa sasa sidhani kama kuna wazori wa fedha anayeweza kukaa kijiweni jioni,au waziri wa mambo ya nje anayeweza kukaa kwenye foleni ya ATM

Viongozi mmekuwa miungu watu mpaka mnatwambia tukimbilie Burundi.

Jifunzeni kujishusha kama Mh.Jakaya Kikwete nanyi mtakwezwa
Ungetazama vizuri ungegundua biashara ya ngada .....inafanyika vipi ....wenzako walikuwa awachezi draft hapo ...
 
Sikumbuki mwaka ila nakumbuka nilikuwa mdogo ,tulitoka na mzee wangu mitaa ya kariakoo tukaelekea mitaa ya Magomeni Mapipa mtaa sikumbuki ila ni karibu na Shibam.

Kufika pale kulikuwa na vijana watoto wamjini hakuna aliyezidi miaka 50,walikuwawakicheza draft,bao,zumna na kunywa kahawa

Vijana wa makamo wawili walikuwa wakicheza draft mmoja akamfunga mwenzake,akamtania kuwa hajui kitu bora acheze na mimi,hapo nikaachiwa nicheze na yule mwingine,yule mwenzake akaenda kusikiliza ushabuki wa mpira,walikuwa wamemzunguka mtu mmoja mnene mfupi ba sauti ya kukwaruza.

Miaka michache baadae nikagundua kumbe yule mtu niliyecheza nae draft ni Mh Waziri wa fedha Jakaya Mrisho Kikwete.

Na yule mtu mfupi mwenye sautiya kukwaruza alikuwa Jamhuri Kihwelu Tantalila,mchezaji wa zamani wa Simba.

Nilikuja tena kuonana na Mh Kikwete akiwa kwenye foleni ya ATM,CRDB Bank Holland House,Ohio Street,kipindi hicho akiwa waziri wa mambo ya nje miaka zaidi ya kumi tangu tukio la Magomeni.

Baada ya hapo niliishia kimuona kwenye luninga na magazetini

Kama mtakumbuka kipindi akiwa Rais alikuwa akitokea mara kadhaa kwenye media akishiriki mazishi ya watu ambao hata hawajulikani nchini,watu hao ni marafiki zake wa hali ya chini kabisa wakiwemo wa magomeni na Saigon Club na Hugo House Kinondoni alikokuwa akienda kunywa Supu

Kuna Mheshimiwa mmoja ajifanya kuigiza kuwa ni mtu wa matabaka yote ila technolojia ikamuumbua,muuza kahawa ni afisa wa TISS,mwingine akamuuzia muhindi wa kuchoma na bastola kiunoni kumbe ni maigizo tu .uungwana hauji kwa maigizo bali huzaliwa nao.

Kwa viongozi wa sasa sidhani kama kuna wazori wa fedha anayeweza kukaa kijiweni jioni,au waziri wa mambo ya nje anayeweza kukaa kwenye foleni ya ATM

Viongozi mmekuwa miungu watu mpaka mnatwambia tukimbilie Burundi.

Jifunzeni kujishusha kama Mh.Jakaya Kikwete nanyi mtakwezwa
Mkuu JK is a very humble man!
 
The one and only JK Rais anayezeeka na Nyota yake ,Mwanasiasa aliyepikwa akaiva akafanya Siasa njema na kuishia kupendwa zaidi nje ya Madaraka.

Mwanasiasa ambaye Jiwe na Genge lake walitumia miaka yao yote sita kumtukana hadharani na kumzima mafichoni bila mafanikio wakaishia kuzimika wao.

Much respect brother,Longlive.

..ameiba mapesa ktk kashfa ya escrow.

..ameuwa wananchi ktk sakata la gesi ya Mtwara.

..ameshambulia kwa mabomu mikutano ya vyama vya upinzani.

..ameharibu mchakato wa Katiba Mpya kwa kupinga hadharani rasimu ya Tume ya Warioba.

..amepindua ushindi wa Maalim Seif ktk uchaguzi wa Znz 2015.

..JK ndiye aliyemlea Magufuli mpaka akaja kuwa Raisi katili kuliko wote Tanzania.
 
Sikumbuki mwaka ila nakumbuka nilikuwa mdogo ,tulitoka na mzee wangu mitaa ya kariakoo tukaelekea mitaa ya Magomeni Mapipa mtaa sikumbuki ila ni karibu na Shibam.

Kufika pale kulikuwa na vijana watoto wamjini hakuna aliyezidi miaka 50,walikuwawakicheza draft,bao,zumna na kunywa kahawa

Vijana wa makamo wawili walikuwa wakicheza draft mmoja akamfunga mwenzake,akamtania kuwa hajui kitu bora acheze na mimi,hapo nikaachiwa nicheze na yule mwingine,yule mwenzake akaenda kusikiliza ushabuki wa mpira,walikuwa wamemzunguka mtu mmoja mnene mfupi ba sauti ya kukwaruza.

Miaka michache baadae nikagundua kumbe yule mtu niliyecheza nae draft ni Mh Waziri wa fedha Jakaya Mrisho Kikwete.

Na yule mtu mfupi mwenye sautiya kukwaruza alikuwa Jamhuri Kihwelu Tantalila,mchezaji wa zamani wa Simba.

Nilikuja tena kuonana na Mh Kikwete akiwa kwenye foleni ya ATM,CRDB Bank Holland House,Ohio Street,kipindi hicho akiwa waziri wa mambo ya nje miaka zaidi ya kumi tangu tukio la Magomeni.

Baada ya hapo niliishia kimuona kwenye luninga na magazetini

Kama mtakumbuka kipindi akiwa Rais alikuwa akitokea mara kadhaa kwenye media akishiriki mazishi ya watu ambao hata hawajulikani nchini,watu hao ni marafiki zake wa hali ya chini kabisa wakiwemo wa magomeni na Saigon Club na Hugo House Kinondoni alikokuwa akienda kunywa Supu

Kuna Mheshimiwa mmoja ajifanya kuigiza kuwa ni mtu wa matabaka yote ila technolojia ikamuumbua,muuza kahawa ni afisa wa TISS,mwingine akamuuzia muhindi wa kuchoma na bastola kiunoni kumbe ni maigizo tu .uungwana hauji kwa maigizo bali huzaliwa nao.

Kwa viongozi wa sasa sidhani kama kuna wazori wa fedha anayeweza kukaa kijiweni jioni,au waziri wa mambo ya nje anayeweza kukaa kwenye foleni ya ATM

Viongozi mmekuwa miungu watu mpaka mnatwambia tukimbilie Burundi.

Jifunzeni kujishusha kama Mh.Jakaya Kikwete nanyi mtakwezwa
Uliyoeleza Huwa yanafanyika sana kipindi karibu na uchaguzi mkuu wa Raisi ,wabunge na madiwani Kipindi hicho kitakuwa kilikuwa karibu na uchaguzi mkuu kikikaribia ndio wanasiasa hujifanya kujishusha sana hata kucheza bao na wauza kashata mitaani na usanii mwingine mwingi mitaani
 
Uliyoeleza Huwa yanafanyika sana kipindi karibu na uchaguzi mkuu wa Raisi ,wabunge na madiwani Kipindi hicho kitakuwa kilikuwa karibu na uchaguzi mkuu kikikaribia ndio wanasiasa hujifanya kujishusha sana hata kucheza bao na wauza kashata mitaani na usanii mwingine mwingi mitaani
Kwa JK is different jamaa yuko social sana sana,
 
..ameiba mapesa ktk kashfa ya escrow.

..ameuwa wananchi ktk sakata la gesi ya Mtwara.

..ameshambulia kwa mabomu mikutano ya vyama vyKunaa upinzani.

..ameharibu mchakato wa Katiba Mpya kwa kupinga hadharani rasimu ya Tume ya Warioba.

..amepindua ushindi wa Maalim Seif ktk uchaguzi wa Znz 2015.

..JK ndiye aliyemlea Magufuli mpaka akaja kuwa Raisi katili kuliko wote Tanzania.
Kuna JK kama JK ba kuna JK Rais,hayo yote aliyatenda kana Rais,tumuangalia kwa personality yake as an individual entity
 
Jakaya na wenzake walikua wateja wazuri wa pilau mbuzi kwenye mgahawa maarufu hapo magomeni, hata Mizengo Pinda pia alikua anakwenda.
 
Kuna JK kama JK ba kuna JK Rais,hayo yote aliyatenda kana Rais,tumuangalia kwa personality yake as an individual entity

..mimi na wewe hatuna priviledge hiyo unayotaka kumpa JK.

..na ninadhani sio utaratibu mzuri kwa baadhi ya Watz, au viongozi wetu, kugeuzwa kuwa miungu'watu, au kuwa juu ya sheria.
 
Back
Top Bottom