Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

Kwa nyuma imeandikwa made in china mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sio mtumba kweli huo
Nina hiyo DAV 650 na TV ni TCL 32S6550 Smart, Nimeziconnect kwa kutumia Audio Digital Cable (Optical) . Nikiplay movie yenye surround sound kwenye TV Kwa kutumia player inayokuja na TV napata surround sound kwenye home theater bila shida. Ila nikiplay video hiyo hiyo kwa kutumia App kama VLC Media player au MX Player n.k napata stereo sound tuu. Je ni app gani ya Android Smart TV inayo support surround sound 5.1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hapo sina uzoefu mkuu maana sija experience Android TV bado ila kwa TCL nilionayo through Youtube inatoa 5.1 sorround sound very perfectly.

Kwa hizo apps nadhani ishu ni codecs za hizo program hazi support 5.1 sorround! Hebu jaribu ku install DivX uone itakuwaje.
 
Hiyo app ya DivX haipo kwenye play store ya TV.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu kama nina complete system mfano hzi sony dz650. Alaf nikakata ule waya wa bass nikaunga kwemye bass mfano ya jbl ya gar yenye 4ohms kama bass iliyokuwepo ya sony. Hapo si naweza nikawa nimeupgrade upande wa bass?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…