Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

Hii kitu kuna sehemu nimeiona,inapiga kiasi chake,receiver ni maratz,speaker ni harman,ya kuunga unga kimtindo,na yenyewe ipo kwenye midrange au high-end?
Ni Midrange AV Reciever ila ya long time kishenzi. Wayback 2004 ndio iliingia sokoni so it lacks a lot of fun features. Huwez amini hata HDMI haina hio mashine.

Labda utafte mashine yenye power zaidi. Subs enjoy enough Power. Tafta Amp yenye walau 150 watts per channel maana hio hapo ni only 80watts per channel.
 
Attachment yako sijaiona kaka.

Speaking of AV receivers...

I have some Onkyos (three to be exact) and a Denon zina mazagazaga yote kuanzia bluetooth,Wi-Fi, 4k, RJ-45, mpaka 7.2 channels za audio I bought a couple of years ago.

Kwa muziki wa ndani tu ni overkill.

Napiga kila kitu kuanzia Youtube videos, Netflix, Spotify, 4K movies to TV mpaka MP3 to speakers kutoka my DLNA servers in the house.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Mkuu unaweza kuuza hata moja?Na price yake ikoje?
 
Kitu hiyo hapo inaitwa MUTEKI. Kama unakaa nyumba ya kupanga jiandae kuhama
View attachment 1397626View attachment 1397628View attachment 1397630
A fan of Hi-Fi systems but this kind of styling appears so odd to my eyes. Hii style ilioko sokoni kwa sasa naona imekaa ki "Utopolo" sana.

The ES series was perfectly fine.
IMG_20200324_155017.jpg
 
Ni Midrange AV Reciever ila ya long time kishenzi. Wayback 2004 ndio iliingia sokoni so it lacks a lot of fun features. Huwez amini hata HDMI haina hio mashine.

Labda utafte mashine yenye power zaidi. Subs enjoy enough Power. Tafta Amp yenye walau 150 watts per channel maana hio hapo ni only 80watts per channel.
Shukran kiongozi
 
Ni Midrange AV Reciever ila ya long time kishenzi. Wayback 2004 ndio iliingia sokoni so it lacks a lot of fun features. Huwez amini hata HDMI haina hio mashine.

Labda utafte mashine yenye power zaidi. Subs enjoy enough Power. Tafta Amp yenye walau 150 watts per channel maana hio hapo ni only 80watts per channel.
Angalia jamaa bei aliyosimama!😀
 

Attachments

  • Screenshot_20200324-150649_Bazaraki.jpg
    Screenshot_20200324-150649_Bazaraki.jpg
    95.6 KB · Views: 14
Imagine having a sound ambayo unaeza i modify muda wowote unaeza itune utakavyo...

Kitu sipend kwenye mziki ulio complete ni kwamba kuna baadh ya vitu huezi fanya afu kumfanya mtu aridhike ni ngumu sana ...kama kwenye market naona some hi-fi zenye bufa ake system ya watts 750 LG naona ka spika za saut zina watts za kutosha but wamekubana kwenye bass kuwa na spika midrange inch 6.5 afu bass inch saba saba hata watts hasijatofautiana sana

Ila huu upande mwngine kuna mambo unaeza fanya eg kuamua kila spika icheze frequency zipi yan i base pale ..mfano hizi sub zetu za kichina unakuta au nyingi mpaka theatre kale ka sub unakuta kana system kanacheza as low as 40hz or 20hz to 250hz where milio yote mizito inasikika pale na tunajua gitaa pia linaeza piga as low as 50hz means milio pia ya gitaa itasikika kwenye spika la bass manake kuna mingurumo ya kila saa isio na tija kwenye spika la bass....milio ya gitaa haisaund vizuri sana

Ila huku pengine naeza set sub icheze dundo zito tu eg 20hz to 50hz tu where above hapo zitasikika kwenye spika za midrange ambazo zitabeba saut nene nene eg milio ya gitaa ngoma ambazo si nzito za kawaida

Ukiset hivo ukasikiliza nyimbo ya malaika band Ile umeondokaa huku nyuma hali yangu sio shwari uliniahd hatochel3wa atarudi 😁 nimesahau jina lake ..ila ile nyimbo jinsi ilivopigwa na kila kitu ukisikiliza kwenye mziki wa kawaida sub litakuwa linanguruma kila saa ila kwa setting hiyo unaeza kaa sekunde 50 sub imenyamaza unaeza jua waya umekatika kumbe muda huo zinapokezana midrange na full range speakers kutoa sauti za hiyo nyimbo ila inafika a point where mid haitoweza play frequency ndogo vile basi ndo hapo sub kubwa la nch 12 peak ya 1400w or 2000w linapokea linanguruma kama simba deep bass had unaisikia kwenye mishipa ya fahamu daaa asiwaambie mtu

Setting kama hiyo hakuna nyimbo utaichukia kila ukitaka futa afu usikilize hapo unaona aaa hapana acha iwepo....

Faida ingne unaeza nunua chombo kimoja kimoja pia unaeza fanya upgrade kirahisi sana leo unaeza kuja kwangu ukakuta nina nina mziki wa watts 800 kesho ukaja ukakuta nimeongeza sub moja na full range mbil tayar system imeongezeka...

Mfano complete system ya mutek iwe milion mfano huwez nunua labda spika mbil za saut na bass moja afu vingne siku ingne NO lazima ununue yote

Kingne ni kwamba kila kampuni iko fresh kwenye upande flan mfano me napenda sony component spika najua wanazo za sauti nzuri sana but kwenye bass wako nyuma sana hvo hapo ndo natafuta kampuni ingine mfano jbl,JL audio, pioneer, polks ama alpine wako njema sana

Nakadhalika
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    13.4 KB · Views: 12
Imagine having a sound ambayo unaeza i modify muda wowote unaeza itune utakavyo...

Kitu sipend kwenye mziki ulio complete ni kwamba kuna baadh ya vitu huezi fanya afu kumfanya mtu aridhike ni ngumu sana ...kama kwenye market naona some hi-fi zenye bufa ake system ya watts 750 LG naona ka spika za saut zina watts za kutosha but wamekubana kwenye bass kuwa na spika midrange inch 6.5 afu bass inch saba saba hata watts hasijatofautiana sana

Ila huu upande mwngine kuna mambo unaeza fanya eg kuamua kila spika icheze frequency zipi yan i base pale ..mfano hizi sub zetu za kichina unakuta au nyingi mpaka theatre kale ka sub unakuta kana system kanacheza as low as 40hz or 20hz to 250hz where milio yote mizito inasikika pale na tunajua gitaa pia linaeza piga as low as 50hz means milio pia ya gitaa itasikika kwenye spika la bass manake kuna mingurumo ya kila saa isio na tija kwenye spika la bass....milio ya gitaa haisaund vizuri sana

Ila huku pengine naeza set sub icheze dundo zito tu eg 20hz to 50hz tu where above hapo zitasikika kwenye spika za midrange ambazo zitabeba saut nene nene eg milio ya gitaa ngoma ambazo si nzito za kawaida

Ukiset hivo ukasikiliza nyimbo ya malaika band Ile umeondokaa huku nyuma hali yangu sio shwari uliniahd hatochel3wa atarudi [emoji16] nimesahau jina lake ..ila ile nyimbo jinsi ilivopigwa na kila kitu ukisikiliza kwenye mziki wa kawaida sub litakuwa linanguruma kila saa ila kwa setting hiyo unaeza kaa sekunde 50 sub imenyamaza unaeza jua waya umekatika kumbe muda huo zinapokezana midrange na full range speakers kutoa sauti za hiyo nyimbo ila inafika a point where mid haitoweza play frequency ndogo vile basi ndo hapo sub kubwa la nch 12 peak ya 1400w or 2000w linapokea linanguruma kama simba deep bass had unaisikia kwenye mishipa ya fahamu daaa asiwaambie mtu

Setting kama hiyo hakuna nyimbo utaichukia kila ukitaka futa afu usikilize hapo unaona aaa hapana acha iwepo....

Faida ingne unaeza nunua chombo kimoja kimoja pia unaeza fanya upgrade kirahisi sana leo unaeza kuja kwangu ukakuta nina nina mziki wa watts 800 kesho ukaja ukakuta nimeongeza sub moja na full range mbil tayar system imeongezeka...

Mfano complete system ya mutek iwe milion mfano huwez nunua labda spika mbil za saut na bass moja afu vingne siku ingne NO lazima ununue yote

Kingne ni kwamba kila kampuni iko fresh kwenye upande flan mfano me napenda sony component spika najua wanazo za sauti nzuri sana but kwenye bass wako nyuma sana hvo hapo ndo natafuta kampuni ingine mfano jbl,JL audio, pioneer, polks ama alpine wako njema sana

Nakadhalika
Sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom