Nikiwaambia msioe muwe mnasikia; kwa miezi 4 mwamba kaishi maisha magumu bila mshahara kumbe mkewe ana laki 8 ndani, na usaliti juu kaambulia

Tatizo mnamshamburia mtoa maada badala ya kuoppose kwa point...why do you think he is wrong?
 
MY CHILDS ARE ENOUGH NDO NINI[emoji706][emoji706][emoji706]
Halaf acha kujifananamisha na matajiri kujifariji. Nyie ndo mukiumwa hamna anayeeleweka katika kuwauguza

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mmmh mbona ni wengi walikua na ndoa zao ila wapo wanajiuguza wenyewe kwakuwa wenza wao wamewakimbia?

#YNWA
 

My childs are enough kwel mkuu???

Inaonesha hujalelewa na wazazi wote ndo mana unaona childs are enough ila ngoja tukuache na mtazamo wako Mr Childs are enough!!!!
 
Umeandika kitu kikubwa mnoo , I gree with you [emoji109]
 
niko pamoja na wewe kamanda

ni kuwala mbususu, no kuoa
 
We mbwa joka jeusi njoo unaitwa na john michael na mr liverkrussen au liverpool
 
He is very arrogant mkuu. Yaan ukiangalia kwa makini unaona uvulana mwingi ndani yake. Tumpe pole

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Usimwone jamaa mpumbavu

Heshimu msimamo wake

Binafsi nimeshuhudia visa vingi sana vya kutisha kwenye hizi ndoa za siku hizi .

Ndoa ni moja ya Taasisi inayoongoza kwa unafiki uliopitiliza (hapa huwezi nipinga Nina uhakika umeyashuhudia).nimeshuhudia kwa macho yangu tena watu wangu wa karibu kabisa.

Watu wako wako tu ili mradi ajulikane ni mke wa mtu fudenge fulani au mme wa mtu ila hakuna maana yoyote ya ndoa.

Ukianza kukejeli msimamo wa mtu na kumwona mpumbavu vipi yeye unadhani anakuonaje wewe kwenye akili yake? [emoji1]

Tujifunze kuheshimu mawazo ya watu na kama anavyosema "just agree to disagree and peace out"[emoji3577]

NB: Sijaweka msimamo wangu kwenye hili la ndoa maana Mimi mwenyewe sijafanya maamuzi niinge huko unafikini au ni komae kivyangu japo umri sahihi nimefika .
 
Kama hakuwa mmachame basi huyu jamaa ni wa kuhurumia. Kimsingi, hakuwa na mke bali mlaji. Maana hizo shinda ndizo zingewakomaza katika ndoa. Hata hivyo, huyo mama atalipa siku si nyingi.
 
My childs are enough kwel mkuu???

Inaonesha hujalelewa na wazazi wote ndo mana unaona childs are enough ila ngoja tukuache na mtazamo wako Mr Childs are enough!!!!
Yess they are real shit enough.

Kwa dunia ya sasa BINADAMU NI WAONGO SANA....

1. Wenye ndoa Wana nyumba ndogo Tena wengine zaidi ya moja.
Ana kula/liwa na huyu halafu usiku uleule uchi anampelekea mkewe/mumewe.

2. Hata wewe nikikwambia unaletee ndoa zenye matatizo, utaniletea nyingii za mtaani kwenu na kwa wanaokuzunguka.

3. Raia Hawana amani kabisa ndani ya ndoa. Wanandoa wanaishi kama misukule kabisaa ndani ya ndoa.
Utasikia, ndoa sitaki ila nalea wanangu tu..!!!

4. Kazini wenye ndoa wanaliwa na kula vya watu, mtaani kila siku kufumaniwa.
Ila dip down kwasababu nyumbani/ndoani wamekosa kitu Bora wavitafute nje.

Aisee ndoa zimejaaa Majanga tu siku hizi.

Unajua ndoa nyingi sanaa zinatalaka japo hazijasajiliwa mahakamani?
Wenza kulala vyumba tofauti, sio talaka hii?

Mwanaume analea watoto sio wake..!!

Na akiona gumu utasikia "Kitanda hakizai haramu"

Je ni kweli KITANDA HAKIZAI HARAMU..!!!

#YNWA
 
Matajiri duniani wapo single ila abdallah wa MWANANYAMALA anaongeza mke mwengine.

HIVI NI KWANINI?

#YNWA

Unaargue kwa kigezo cha matajiri
Ongelea kwnye jamii inayokuzunguka achana na wakina Jeff mkuu

Kwanini Abdullah asiongeze mke kama ndo kitu kinachompa furaha
Embu acha watu waowane na kuolewa usitusumbue tafadhali
 

Una negative perspectives nyingi kuliko positive.
Kila kitu kwenye maisha kina negatives zake.
Hata urais una negative effects nyingi mno.
Lakini nchi haiwez kukosa rais eti kisa kuna rushwa na upigwaji mwingi.
Tatizo unatafuta mtu perfect ukizani wapogo duniani.
Subiri tufe mkuu ukaoe malaika huko.
 
Tatizo wanawake ni watu wachoyo sana, walafi mno, wana tamaa sana, roho mbaya, wana chuki, wabinafsi, watu wenye mashindano, wasiotulia, wachawi, wasiowafikiria wengine Na ndoa ni biashara kwao
Kama wewe ni mwanaume kweli, I mean rijali basi kuna nati imechomoka[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…