Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Napiga picha kama Gara B ,Ukiwa na chombo kizuri, hakikisha ndani ya muda mfupi anatotoa watoto wengi waliofuatana; hiyo ndio silaa kwa mwanaume. Tofauti na hapo, jiandae kwa matokeo ya aina yoyote
Naona kashaamini kuwa kumbe mwanaume ndo aliubwa kwanza.Kaonyeshwa sasa kuwa kuna vidume viliumbwa kabla. Sio kumgongea tu, na mimba juu wakampa na mijitu ilivyo mishenzi ikamuachia ilee na mtoto kabisa.
Kasome Bible.2-Wapi Biblia imesema Adamu ni mtu wa kwanza kuumbwa??
we jamaa ni bogus sana,Ushoga unaanza hivyo hivyo, sishangai kuona na wewe umeingia huko
Ni kweli kabisa... Ndio maana sio vizuri kuonekana sehemu mala Kwa mala. Nadhani ma mossad, CIA na kgb wa jf wanalitambua hiliIla kama vile kweli, kuna mtu aliwahi kuniambia pia macho ya watu ni mabaya, wasimuone demu wako mahusiano yatayumba
Kasome Bible.
Nafikili wewe ni muislam.
Nchi hii kuna wapumbavu wengi sana, unapata muda kabisa kuandika huu upumbavu? Nyie watu ni wapumbavu mno
Usiseme sisi sema wewe ndo hohehahe,kila mtu anavunaapandachoWAtu tupunguze chuki zisizo na tija jamani...ukute yeye ashamove on..ila sisi mahohehahe sasa🙌
Na wachawi wameiandama hii familia 🤣🤣🤣🤣🤣Nasemajeeee hata kama penzi limekuwa tamuje usilipost, kaa kimya la sivyo unakaribisha wachawi
WeeUsiseme sisi sema wewe ndo hohehahe,kila mtu anavunaapandacho
Ukoo wako wote utaotaa kuwa na nyumba kama hiyo. Fala kabisa weweMkuu tupe mrejesho ,ghorofa lishaisha?
View attachment 2527415
Nikki wa Pili amepata maendeleo kabla ya Ukuu wa Wilaya, tunaweka kumbukumbu sawa
Tanzania ni moja ya nchi ambayo hutaacha kushangaa ya walimwengu. Wengi wa waswahili wanajua kila mwenye pesa ni mwizi wa Mali ya umma. Hivyo kwa kutambua hilo nimeona niliweke wazi kwa huyu mkuu wa wilaya mh.Nikki wa Pili ili baadae akiwa nje ya ukuu wa wilaya isije kuonekana alipata utajiri...www.jamiiforums.com
We mpe mrejesho matusi hayasaidiiUkoo wako wote utaotaa kuwa na nyumba kama hiyo. Fala kabisa wewe