Nikki wa Pili alishawahi kumdhihaki MUNGU kisa Mwanamke

Nikki wa Pili alishawahi kumdhihaki MUNGU kisa Mwanamke

Napiga picha kama Gara B ,
Shape ya mkewe.
Jamaa nasikia kamkataza kufanya kazi afu mkewe anamastors.
So ni mama wa nyumbani.
Kapiga watoto 5.
Ndio hivyo mkuu, lazima utumie mbinu za kibaharia lasivyo ukimuachia utasikia leo yuko Dubai, kesho uturuki n.k na huko anakutana na watu wenye mpunga wa kutosha.
 
Atajua mwen
Malipo ni hapa hapa. Ulimbukeni wa kupata mwanamke mzuri, ulimfanya Nikki wa Pilli kusema, "Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni mwanamke, na sio mwanaume kama Biblia inavyosema" - hio ilikuwa ni 2019.

Watu wengi walijaribu kumkanya afute kauli yake -akiwemo Bill Nas na Pastor Mmoja hivi. But hakutaka kusikia.

MUNGU kamjibu 2023

View attachment 2527222



MUNGU hadhihakiwi hata siku mmoja

Yewe mimi hainihusu
 
Atajua mwen
Malipo ni hapa hapa. Ulimbukeni wa kupata mwanamke mzuri, ulimfanya Nikki wa Pilli kusema, "Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni mwanamke, na sio mwanaume kama Biblia inavyosema" - hio ilikuwa ni 2019.

Watu wengi walijaribu kumkanya afute kauli yake -akiwemo Bill Nas na Pastor Mmoja hivi. But hakutaka kusikia.

MUNGU kamjibu 2023

View attachment 2527222



MUNGU hadhihakiwi hata siku mmoja

Yewe mimi hainihusu
 
Mungu hadhihakiwi, nadhani dogo baada ya kupata mwanamke mrembo sana akasahau kua huyo aliumbwa na Mungu ili awe msaidizi tu kwa mwanaume, dogo akaona amtukuze mwanamke huyo kinyume na matakwa ya Mungu.

Na wanaume wengi wanaowatukuza wanawake na kujifanya "kuwatetea" ati wawe na usawa na manaume hua ni wanaume limbukeni na hua wanatendwa sana. Mwanamke anatakiwa kutawaliwa kwa Mujibu wa Biblia kitabu cha Mwanzo na sio kunyenyekewa.

Ukimnyenyekea mwanamke lazima tu atakudharau, na huyo dogo nilijua tu anachapiwa.
Malipo ni hapa hapa. Ulimbukeni wa kupata mwanamke mzuri, ulimfanya Nikki wa Pilli kusema, "Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni mwanamke, na sio mwanaume kama Biblia inavyosema" - hio ilikuwa ni 2019.

Watu wengi walijaribu kumkanya afute kauli yake -akiwemo Bill Nas na Pastor Mmoja hivi. But hakutaka kusikia.

MUNGU kamjibu 2023

View attachment 2527222



MUNGU hadhihakiwi hata siku mmojaM
 
Back
Top Bottom