King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ukoo wako wote utaotaa kuwa na nyumba kama hiyo. Fala kabisa wewe
Ndio hivyo mkuu, lazima utumie mbinu za kibaharia lasivyo ukimuachia utasikia leo yuko Dubai, kesho uturuki n.k na huko anakutana na watu wenye mpunga wa kutosha.Napiga picha kama Gara B ,
Shape ya mkewe.
Jamaa nasikia kamkataza kufanya kazi afu mkewe anamastors.
So ni mama wa nyumbani.
Kapiga watoto 5.
Tuishi nao kwa akili.Ndio hivyo mkuu, lazima utumie mbinu za kibaharia lasivyo ukimuachia utasikia leo yuko Dubai, kesho uturuki n.k na huko anakutana na watu wenye mpunga wa kutosha.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Maumivu yake ni zaidi ya kristapenKaonyeshwa sasa kuwa kuna vidume viliumbwa kabla. Sio kumgongea tu, na mimba juu wakampa na mijitu ilivyo mishenzi ikamuachia ilee na mtoto kabisa.
Kuchapiwa sawa ni siri ya ndani, vipi kuhusu toto la kubambikiwa?Kuchapiwa ni siri ya ndani (in Mavoko's voice).
Changamoto ni hio hapo, pisi ni mtori sana yani 🤣 🤣 🤣 yani beki hazikabi kabisaNiki anamegewa sana mke wake, alivyo mpumbavu hiko cheo kimempumbaza, anajikaza ili mambo yasiwe hadharani... Kuna njemba zipo ktk mfumo zinammegea kisera, halafu pisi yenyew maharage ya mbeya...
Yewe mimi hainihusuMalipo ni hapa hapa. Ulimbukeni wa kupata mwanamke mzuri, ulimfanya Nikki wa Pilli kusema, "Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni mwanamke, na sio mwanaume kama Biblia inavyosema" - hio ilikuwa ni 2019.
Watu wengi walijaribu kumkanya afute kauli yake -akiwemo Bill Nas na Pastor Mmoja hivi. But hakutaka kusikia.
MUNGU kamjibu 2023
View attachment 2527222
MUNGU hadhihakiwi hata siku mmoja
Yewe mimi hainihusuMalipo ni hapa hapa. Ulimbukeni wa kupata mwanamke mzuri, ulimfanya Nikki wa Pilli kusema, "Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni mwanamke, na sio mwanaume kama Biblia inavyosema" - hio ilikuwa ni 2019.
Watu wengi walijaribu kumkanya afute kauli yake -akiwemo Bill Nas na Pastor Mmoja hivi. But hakutaka kusikia.
MUNGU kamjibu 2023
View attachment 2527222
MUNGU hadhihakiwi hata siku mmoja
TAyareeee
Malipo ni hapa hapa. Ulimbukeni wa kupata mwanamke mzuri, ulimfanya Nikki wa Pilli kusema, "Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni mwanamke, na sio mwanaume kama Biblia inavyosema" - hio ilikuwa ni 2019.
Watu wengi walijaribu kumkanya afute kauli yake -akiwemo Bill Nas na Pastor Mmoja hivi. But hakutaka kusikia.
MUNGU kamjibu 2023
View attachment 2527222
MUNGU hadhihakiwi hata siku mmojaM
Unamuonea wivu tu Muheshimiwa.Niki anamegewa sana mke wake, alivyo mpumbavu hiko cheo kimempumbaza, anajikaza ili mambo yasiwe hadharani... Kuna njemba zipo ktk mfumo zinammegea kisera, halafu pisi yenyew maharage ya mbeya...
kwahiyo akisha "move on" inamaanisha hakumdhihaki Mungu. Hoja yoko ni ipi kwamba mtu akifanya kosa na akajisahaulisha kwamba kosa linafutika ama I dont get it.WAtu tupunguze chuki zisizo na tija jamani...ukute yeye ashamove on..ila sisi mahohehahe sasa🙌
Naungana na wewe amigoNasemajeeee hata kama penzi limekuwa tamuje usilipost, kaa kimya la sivyo unakaribisha wachawi
Kwani Kibaha kuna maajabu gani wakati nako wamejaa wazaramo tu.[emoji23][emoji2] Alidhani Kibaha ni Kisarawe!!
Wewe ni Nikki au chawa wake ?Ukoo wako wote utaotaa kuwa na nyumba kama hiyo. Fala kabisa wewe