Nikki wa Pili amvisha Pete ya uchumba mpenzi wake

Rapa msomi kutoka kiwanda Cha bongo fleva Nikki wa Pili amemvisha Pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi , akitarajia kuaga rasmi kambi ya ukapela
View attachment 960833
Hivi huyu Nikki bado yupo na huyu demu, nakumbuka kuna issue fulani jamaa alimwaga humu kuwa demu alikuwa analiwa na kigogo fulani huku akiwa na Nikki bado.
 
Hivi huyu Nikki bado yupo na huyu demu, nakumbuka kuna issue fulani jamaa alimwaga humu kuwa demu alikuwa analiwa na kigogo fulani huku akiwa na Nikki bado.
WAlimteua Nikki , jamaa badala afanye maamuzi magumu ya kubaki na waifu akacha kifaa nyuma, Mungu ameumba LIBIDO , na kipindi cha yai kupevuka libido hupanda, sasa unategemea nini hapo?
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kweli mwanamke hatabiriki Kikubwa akupende hata ukiwa kapuku atakufichia aibu yako pakubwa sana,,mfano hai Zamaradi Mketema😊
Zamaradi public anamfichia fundi wake madhaifu lkn ndani moto unawaka...
Wanawake
Wanawake
Mna undugu mkubwa sana na shetani, sijui mliteta mangapi pale Edeni na Sheta😆😆😆
 
Kweli mwanamke hatabiriki Kikubwa akupende hata ukiwa kapuku atakufichia aibu yako pakubwa sana,,mfano hai Zamaradi Mketema😊
Apart from Zamaradi
Zamaradi public anamfichia fundi wake madhaifu lkn ndani moto unawaka...
Wanawake
Wanawake
Mna undugu mkubwa sana na shetani, sijui mliteta mangapi pale Edeni na Sheta😆😆😆
Naona ka-Mange na Zama wamepanga story wapate maokoto.
 
Joana najua wewe ni mcha Mungu , hivi kweli wanaume namna hawana adabu, yaani unawezaje mvua chupi mtumishi wa Mungu?
🤣🤣🤣🤣Hawana hofu ya Mungu...
Nina mshkaji wa Karibu yeye alikuwa na ugomvi na wadada wanaovaa ninja wale swala Tano.....yaani anakwambia lazima nimvue hilo baibui na alikuwa anawapelekea sana
 
Zamaradi public anamfichia fundi wake madhaifu lkn ndani moto unawaka...
Wanawake
Wanawake
Mna undugu mkubwa sana na shetani, sijui mliteta mangapi pale Edeni na Sheta😆😆😆
At least anawezea mfichia madhaifu mumewe jamani,mnataka awe kama Joyce Kiria alivyokuwa anamuwasha kileo anashindwa kulipa Kodi?😅
 
WAlimteua Nikki , jamaa badala afanye maamuzi magumu ya kubaki na waifu akacha kifaa nyuma, Mungu ameumba LIBIDO , na kipindi cha yai kupevuka libido hupanda, sasa unategemea nini hapo?
Hapo nategemea Mimba tu pigwa mbupu shika Mimba na wewe vipi mayai yako yapo active au ndio tayari yameshakua mayai VISA?

Nakuuliza weewe Jaji Mfawidhi na hii uiandikie report
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…