Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aminahongera kwake.kwa kutimiza ahadi.Mungu awajalie safari yao
Hili swala la kupiga magoti huwa nalipinga sana
Mwanaume hapo ni anaomba uchumba ....ndiye ananyenyekea!Mwanamke apige magoti apokee pete.
Ha ha haYani hata nyie mnavyoendelea kuliongelea hapa Mi linanikereketa sana yani wanaume sijui tumekuaje yani
Umemaliza...Yeye atakupigia magoti for the rest of your lives wewe kupiga magoti siku moja tu unaona ubahili acha roho mbaya
Amejaribu kuwa original kidogo....si mbaya sana.....Kweli vyuma vimekaza... Unapopost kitu kama hicho background ni muhimu sana...hapo ni kama amekurupuka bila maandalizi... Au ndio mambo ya surprise?
Bila shaka utakuwa unatoka kanda ya ziwaHili swala la kupiga magoti huwa nalipinga sana
Mimi wale wanawake wanaotembea na magoti kwenye sendoff na harus ndio hua wananiacha hoi kwakweli.Wanawake ambao hawajavishwa pete ya uchumba humu lazima watetee suala la kupiga magoti
Mimi wale wanawake wanaotembea na magoti kwenye sendoff na harus ndio hua wananiacha hoi kwakweli.
Ila wewe mbona ulipigaga goti.
Mmmh fix hizoMagoti nilipiga shule sio kwny mambo ya kuvalishana pete
What does it imply? Ni kaujinga fulani hivi. Kwangu wanaume wanaopiga magoti ni wasio na kauli mbele.ya mlimbwende, na ndani ya ndoa wajiandae pia kupiga gotiYeye atakupigia magoti for the rest of your lives wewe kupiga magoti siku moja tu unaona ubahili acha roho mbaya
Na nyie mnaopinga humu ndio wapigaji magoti maarufu. Sema hatujuani tuWhat does it imply? Ni kaujinga fulani hivi. Kwangu wanaume wanaopiga magoti ni wasio na kauli mbele.ya mlimbwende, na ndani ya ndoa wajiandae pia kupiga goti
Duuh magoti ya kusema will you marry me tu ndio yanaleta tafsiri yote hiyo mkuu we kibokoWhat does it imply? Ni kaujinga fulani hivi. Kwangu wanaume wanaopiga magoti ni wasio na kauli mbele.ya mlimbwende, na ndani ya ndoa wajiandae pia kupiga goti
Bi dada mengine mnakausha. Si vema kuongea dark side ya mtu hasa kwenye jamvi kama hili. Wabantu tuna shida sana.Kazi kwako mkuu uamini au usiamini
Ila ametafunwa sana...women can change in a minute