sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 3,334
- 7,651
Bora atulie maana alikua na mawenge sana kila day anampost post huyo demu.
Itakua anaona kama ndo demu mkali. Itakua hajawai kupata demu mkali kama huyo ndo mana alikua na pepe nyingi
Mkuu kwani kumpost post demu unayempenda ni ushamba?