Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Jamaa amefeli sana, mwanamke ndio anatakiwa ku bow, ndio maana hata ndoa nyingi zinayumba sikuhizi! Mwanamume kuweka hisia mbele badala ya logic ni ufala!Yani hata nyie mnavyoendelea kuliongelea hapa Mi linanikereketa sana yani wanaume sijui tumekuaje yani