Geezzle
JF-Expert Member
- Jul 25, 2012
- 849
- 267
Waow,so nice..I wish one day nivalishwe Pete[emoji3526]
Acha kuwish mama njoo tuvalishane tu kama vipi.., kwani shi ngap😇😇😇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waow,so nice..I wish one day nivalishwe Pete[emoji3526]
[emoji4][emoji4][emoji7]Acha kuwish mama njoo tuvalishane tu kama vipi.., kwani shi ngap[emoji56][emoji56][emoji56]
Binti alikuwa analiwa na kigogo mmoja awamu ya nne au kaishiwa huyo mzee
Kajambe mbele,wewe hujafanya engagement ,unaishi na mzinzi mwenzako na unaona wivu mkubwa Niki.Hili swala la kupiga magoti huwa nalipinga sana
[emoji4][emoji4][emoji7]
Hakuna makubaliano, ukiniona nimesheka pete mkononi wahisha magoti yako chiniNi makubaliano tu hayo
Wanawake hampendani thats true
Km yoteeeDuh! watu mna mafaili...
Nikisikia mtu kaliwa na kogogo mashaka yanaanziaga kwenye usalama wa afya yake.
Hahaha,sitaki kuchelewa.nisije zeeka bure mmSema kama waja mama nisogee stendi.., ikibidi nibebee na mihogo mibichi nimeimiss[emoji4][emoji4][emoji4][emoji6][emoji6]
Ni nature yetuWanawake hampendani thats true
Sealed wapo nawajua watatu tena wameajiriwa mwaka huu mmoja Ndiyo nimemtoa juz na Ndiyo Mke wangu badae kwa hiyo omba Mungu akupe wakoMkuu.inawezekana tu.2015-2018 nimekutana nao watatu sealed kabisa.
Hahaha,sitaki kuchelewa.nisije zeeka bure mm
Kwa kweliHuzeeki mama ndo nishakuwahi ivo., we unga mkono tu juhudi kuelekea nchi ya wapendanao[emoji4]
Mwanamke apige magoti apokee pete
Haswa yani inashangaza, kupiga goti hakupunguzi chochoteBaadhi ya comments humu ukisoma unapata picha ya hulka halisi ya sisi negro kimtazamo dhidi ya mwanamke.
Haimaanishi kumpigia magoti mwanamke wewe ni boya.
Kweli vyuma vimekaza... Unapopost kitu kama hicho background ni muhimu sana...hapo ni kama amekurupuka bila maandalizi... Au ndio mambo ya surprise?