Niko addicted na JamiiForums

Niko addicted na JamiiForums

๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Aisee sio mchezo, kuna jamaa mmoja alikuwa ni Pro Chadema na ana matusi na masikhara mengi sana, kumbe alikua ni Doctor Uingereza huko na alikuwa anachukuwa PhD lakin huwezi kumfikria, Halafu ni Bageshi kabisa kanda ya Ziwa. Kuna siku mwaka 2013 kani pm nimpe namba. Baadaye akanipigia nikamfuata pale NSSF Posta kulikuwa na Hotel inaitwa J Bellmonte. Nikaenda pale nikamkuta na Mke wake. Aisee kwanza sikuamini kama ndio yeye na Yeye hakuamini ndio Mimi. Tulia hang on pale mpaka saa 8 usiku na Mke wake alikuwa ni Afisa wa Bank fulani hapa mjini. Akalazimisha sana tuondoke.
Hivi kipindi hiko 2013-2014 mliaminianaje kirahis hvo mkawa mnapeana namba kirahis? Maaana kulikuwa hot sana kipindi kile ukitamka jf mtu anajua kbs we ni mtu wa siasa na serikali ilikua macho sana
 
Hii addiction nilikuwa nayo mwaka 2011 wakati nikiwa new member mpaka 2015 hapo.

JF ilikua ya moto kweli mpaka tukaunda na magrp ya whatsapp enzi hizo members mwisho 56

Jamani acheni JF ina pis kali, tumekulana sana huko nje jf kipindi hicho๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Najuta Sana kuchelewa kujiunga JF,kumbe ilikuwa Tami kiasi hicho?
Afu naskia pia palikuwepo na jukwaa la " wakubwa tu"๐Ÿ˜‚
 
Hivi kipindi hiko 2013-2014 mliaminianaje kirahis hvo mkawa mnapeana namba kirahis? Maaana kulikuwa hot sana kipindi kile ukitamka jf mtu anajua kbs we ni mtu wa siasa na serikali ilikua macho sana
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mkuu we acha tu, na kipindi kile Jamiiforums ilikuwa ina operate virtually, na watu wengi walikuwa wanashusha nondo za nguvu zile quotes zako na reactions kwa Member ndio zilikuwa zinaleta ukaribu. Halafu watu wengi humu walikuwa wana misimamo kwenye hoja. Majukwaa yalikuwa yamegawanyika kabisa. Members fulani ni MMU, Members fulani ni Siasa, Members fulani walikuwa kwenye jukwaa la dini. Sio siku hizi uzi wa Siasa unaanzishwa hata kwenye jukwaa la Sports. Kuaminiana ndio kulikuwa kunaanzia hapo.
 
Back
Top Bottom