Niko Nachinja Mbuzi wa Sherehe, wewe umejiandaaaje Ushindi wa Lissu?

Niko Nachinja Mbuzi wa Sherehe, wewe umejiandaaaje Ushindi wa Lissu?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
NImeamka saa kumi kasoro 20 muda huu usiku.

Nikawasha Data naona bando limeisha.

Nikajiunga bando. Nikaaingia mtandaoni nikaona Web browsee zinagoma kufunguka.

Nikawasha VPN ikagoma.

Nikasema moyoni mbona kama yale ya 2020 ndio kama haya?

Nikazima simu, nikawasha bado shida iko pale pale.


Mimi jana nilinunua Mbuzi kwa ajili ya kusherehekea Ushindi wa Tundu Antiphas Lissu Baraka na Neema kutoka kwa Allah.

Wewe Mwenzangu umejiandaaje kusherehekea ukombozi huu wa Taifa?

Kila mtu kwa kadri ya uwezo wake, kama utachinja kuku sawa, kama utakula supu kwa Mama Ntilie sawa, au kama utapiga Pombe au viroba poa tu.

Alimradi tu kila mtu asherehekee na kufurahisha moyo wake.


Tunakutakia kila lililo Kheri Mh Tundu Lissu na Mh Heche.
 
NImeamka saa kumi kasoro 20 muda huu usiku.

Nikawasha Data naona bando limeisha.

Nikajiunga bando. Nikaaingia mtandaoni nikaona Web browsee zinagoma kufunguka.

Nikawasha VPN ikagoma.

Nikasema moyoni mbona kama yale ya 2020 ndio kama haya?

Nikazima simu, nikawasha bado shida iko pale pale.


Mimi jana nilinunua Mbuzi kwa ajili ya kusherehekea Ushindi wa Tundu Antiphas Lissu Baraka na Neema kutoka kwa Allah.

Wewe Mwenzangu umejiandaaje kusherehekea ukombozi huu wa Taifa?

Kila mtu kwa kadri ya uwezo wake, kama utachinja kuku sawa, kama utakula supu kwa Mama Ntilie sawa, au kama utapiga Pombe au viroba poa tu.

Alimradi tu kila mtu asherehekee na kufurahisha moyo wake.


Tunakutakia kila lililo Kheri Mh Tundu Lissu na Mh Heche.
Uchaguzi wa chadema umekidhi viwango vya kimataifa
 
NImeamka saa kumi kasoro 20 muda huu usiku.

Nikawasha Data naona bando limeisha.

Nikajiunga bando. Nikaaingia mtandaoni nikaona Web browsee zinagoma kufunguka.

Nikawasha VPN ikagoma.

Nikasema moyoni mbona kama yale ya 2020 ndio kama haya?

Nikazima simu, nikawasha bado shida iko pale pale.


Mimi jana nilinunua Mbuzi kwa ajili ya kusherehekea Ushindi wa Tundu Antiphas Lissu Baraka na Neema kutoka kwa Allah.

Wewe Mwenzangu umejiandaaje kusherehekea ukombozi huu wa Taifa?

Kila mtu kwa kadri ya uwezo wake, kama utachinja kuku sawa, kama utakula supu kwa Mama Ntilie sawa, au kama utapiga Pombe au viroba poa tu.

Alimradi tu kila mtu asherehekee na kufurahisha moyo wake.


Tunakutakia kila lililo Kheri Mh Tundu Lissu na Mh Heche.
Nitaanza na ibada ya kumshukuru Maanani
downloadfile-2.jpg
 
Leteni matokeo.
Limekufa jitu au Lissu amepigwa na kitu na kitu chenye ncha kali?
 
Watu wachache vile wanakesha. Je wakipewa kusimamia uchaguzi mkuu wa taifa?
Si watamaliza mwezi?
Watu wengi dodoma walisafiri mikoa kibao kwenda kusema Ndiyoooo.....usilinganishe na uchaguzi huu unaokidhi viwango vya kimataifa vya credible and fair election
 
Watu wachache vile wanakesha. Je wakipewa kusimamia uchaguzi mkuu wa taifa?
Si watamaliza mwezi?
Uwazi kuondoa malalamiko ya kura feki na kadhalika...huoni MTU anaitwa jina anapewa karatasi anaweka box zipo hadharani... Ngoja nkamalizie huu uchaguzi ofisini maana pamekucha..
 
Uwazi kuondoa malalamiko ya kura feki na kadhalika...huoni MTU anaitwa jina anapewa karatasi anaweka box zipo hadharani... Ngoja nkamalizie huu uchaguzi ofisini maana pamekucha..
Yeah tunafanya kazi leo macho na maskio Mtandaoni
 
Silinganishi na CHAMWINO nalinganisha na NEC. Watu chini ya 1000 kupiga kura na kuhesabu ndani ya chumba kimoja ni masaa 4 tu maximum.
Watu wengi dodoma walisafiri mikoa kibao kwenda kusema Ndiyoooo.....usilinganishe na uchaguzi huu unaokidhi viwango vya kimataifa vya credible and fair election
 
Silinganishi na CHAMWINO nalinganisha na NEC. Watu chini ya 1000 kupiga kura na kuhesabu ndani ya chumba kimoja ni masaa 4 tu maximum.
Kuna wageni waaalikwa wengi sana. Kutoka pande zote za dunia.

Hawa kuwaalika tu na kutimiza protocol na usalama wao pekee ni masaa manne.
 
Back
Top Bottom