Niko Nachinja Mbuzi wa Sherehe, wewe umejiandaaaje Ushindi wa Lissu?

Niko Nachinja Mbuzi wa Sherehe, wewe umejiandaaaje Ushindi wa Lissu?

Uwazi kuondoa malalamiko ya kura feki na kadhalika...huoni MTU anaitwa jina anapewa karatasi anaweka box zipo hadharani... Ngoja nkamalizie huu uchaguzi ofisini maana pamekucha..
Usahili utumishi wa umma watu 1200 hadi 2000 wanapanga foleni wanakaguliwa vyeti mmoja mmoja.
Wanaingia kufanya mtihani 2hrs wanatoka.
CHADEMA ilitakiwa kuhakiki wajumbe na kupiga kura 2hrs, kuhesabu 2hrs Kwisha kazi.
Mida hii Mbowe analia au Lissu analia siyo hivi zaidi ya 8hrs.!!!
 
Maana yake maandalizi mabovu kiitifaki. Au Kuna mgombea anafanyiwa udanganyifu kura zake muda huu.
Kuna wageni waaalikwa wengi sana. Kutoka pande zote za dunia.

Hawa kuwaalika tu na kutimiza protocol na usalama wao pekee ni masaa manne.
 
Usahili utumishi wa umma watu 1200 hadi 2000 wanapanga foleni wanakaguliwa vyeti mmoja mmoja.
Wanaingia kufanya mtihani 2hrs wanatoka.
CHADEMA ilitakiwa kuhakiki wajumbe na kupiga kura 2hrs, kuhesabu 2hrs Kwisha kazi.
Mida hii Mbowe analia au Lissu analia siyo hivi zaidi ya 8hrs.!!!
Utambulisho wq wageni zaidi ya 500, uhakiki sio ulea kuangalia veti mkononi ni biometric😆😆
 
Uchaguzi wa chadema umekidhi viwango vya kimataifa
Ndo naamka sa hiv ,nmeota jamaa mmoja alkua ameshka box kubwa la kura kila kura zinapohesabiwa yy anarushis zingine huku ndan alaf wakawa hawamuoni ,na mm nlikua Sina uwezo wa kuongea na nkionyesha Kwa ishara hawanioni kama Kuna kitu naashria...
 
Utambulisho wq wageni zaidi ya 500, uhakiki sio ulea kuangalia veti mkononi ni biometric😆😆
Biometric ndiyo faster zaidi kuliko kilaza mmoja anafungua vyeti vyako vitatu anahakiki uhalali anakukagua usoni anakuruhusu.
Biometric unagusa ina tick umevuka.
Hapa tukubali Kuna mtu anapigwa na mizengwe muda huu.
Subiri kilio asubuhi.
 
Ndo naamka sa hiv ,nmeota jamaa mmoja alkua ameshka box kubwa la kura kila kura zinapohesabiwa yy anarushis zingine huku ndan alaf wakawa hawamuoni ,na mm nlikua Sina uwezo wa kuongea na nkionyesha Kwa ishara hawanioni kama Kuna kitu naashria...
Mkuu umelala umevimbiwa unaona unaota ndoto za Malue lue.

Umenichekesha sana😀😀😀
 
Biometric ndiyo faster zaidi kuliko kilaza mmoja anafungua vyeti vyako vitatu anahakiki uhalali anakukagua usoni anakuruhusu.
Biometric unagusa ina tick umevuka.
Hapa tukubali Kuna mtu anapigwa na mizengwe muda huu.
Subiri kilio asubuhi.
Sio vibaya tunajifunza kupitia makosa.
 
Back
Top Bottom