Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma bado sanaMambo bado ni magumu ni mapema mno kusema fulani ameshinda
hakika mkuuTanganyika yote haijalala
Karibuni tule mbuzi wazee
Sisi tuambatane na wanaosherehekea. Hayo mengine hayatuhusuKuna wakaosherekea na kuna wataolia machozi..
Aisee tunashukuru MunguAnza kumchinja na kuwaalika majirani, mambo ni tayari.
Umeshatoka Thailand?Tualikane mdau. Nimerudi Tanzania
Ndiyo. Nipo zangu Tanzania saivi. We toa mualiko tule mbuziUmeshatoka Thailand?
Karibu sana Tuanze na Supu ya Utumbo au ndugu zangu nyie wa huko Mambele hamli utumbo?Ndiyo. Nipo zangu Tanzania saivi. We toa mualiko tule mbuzi
Hiii ilikiwa babari FakeMasanduku ya kura yameshikiliwa na vijana wa Muliro, ndiyo maana matokeo hayatolewi
Hahahaha sie wabongo. Nje ni kutafuta maisha tuKaribu sana Tuanze na Supu ya Utumbo au ndugu zangu nyie wa huko Mambele hamli utumbo?
Hata hivyo wajimbe hawajanifurahisha.......Inaonekana walipewa Mpunga Mrefu pamoja vitisho....may be.Wajumbe wakileta ujinga wanaweza wakawa ndiyo wamepiga kura ya kunipumzisha humu JF.
Location loading...Karibuni tule mbuzi wazee
Tuishi humokama utakula supu kwa Mama Ntilie sawa, au kama utapiga Pombe au viroba poa tu.