Niko njia panda msaada

Duh! Wewe mvumilivu sana shehe, Kutokana na hilo nashauri uendelee nae tu maana wewe ndo unamfaa huku street saahii angekuwa Mloga na tumbo lake

Bila kusahau toka hapo njiapanda.
 
Piga picha message zote Kwa ushahidi asifute, mpekele kwako hata kesho usimuache hapo
 
Kama ni kweli pole sana; kwa sasa usimwambie chochote bali pambana arudi kwao akajifungue.
Baada ya kujifungua mueleze yeye na wazazi wake ukweli, kisha vunja ndoa tafuta mwanamke mwingine.
 
Kama Hadi dakika hii unaongea hujafanya mauaji au kujeruhi blaza unastahili PhD ya uvumilivu...mi nahis ningeshampiga Hadi atapike hao watoto
 
Peleka huyo Mwanamke kujifungua kwao.
Peleka Mtoto kupima DNA...!

Kwa Ushahidi ulionao sijui hata ulikua na sababu ya kuomba Ushauri...!

Wanawake ni Wabinafsi hafu ni Washenzi Mkuu, pia hawana huruma, wanatumia Hisia kufikiri, Akili wanatumia tu wakitaka kuvukia Barabara ama wanapokua SHULE...!

Kama ni kweli... Huyo sio Mke wako.... !
 
Pole... Kusanya ushahid wa ktosha, peleka kwao Kam anavotaka, akjfngua akikaa saw kla ktu ktaishia hko kwao. Hyo yupo hapo Kwako kwa masilah yake tu.
 
Haya maisha haya!halafu utashangaa mchungaji sijui padri anakuambia kilichounganishwa na Mungu binadamu asikitenganishe!!

Man pole sana man!

Mpeleke kwao Kwa amani!ukifika waambie wazazi wake ukweli wote na useme naogopa nisije nikamuua Kwa hasira ndio maana nimemrudisha Kwa amani tu!
 
Kusanya ushahidi wa kutosha halafu baada ya hapo mpe mkono wa kwakheri 🤔😡
 
Kama ni kweli basi kuna watu wanajua kupiga dhambi za masafa marefu daah
 
Maisha ni mtihani,wewe ni jasiri piga moyo konde. Jipe muda kwa sasa ona hayo maumivu unastahili. Ukihisi sasa umepona kaa mzungumze ila kwa sasa usifanye maamuzi yoyote.
 
🤣🤣Hizi ndio zile stori za sungura na fisi zinaleta hadithi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…