Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Pole mkuu Ila ninachokiona unampenda sana mkeo kiasi kwamba hata akikuosea huwa unatafuta point za kuhalalisha makosa yake.
Ila itabidi ukubali kuwa mkeo hakuoni jinsi unavyomuona na pengine alikuwa na mpango wa kuachana na wewe ndio maana alibeba ujauzito huku card za clinic zikiwa na jina la mwenye ujauzito wake kwa sababu anampa haki hiyo kwenye manisha yake pasipo kufikiria atakuumiza au kukufedhehesha kiasi gani.
Kwenye ndoa nishawahi kuona matukio mabaya zaidi ya hilo na watu hawakuachana. Kwa hiyo naamini ni wewe wa kaamna, kulitesekea penzi kwa kuwa wa ziada kwa mkeo au ujiweke huru... Uamuzi ni wako
Ila itabidi ukubali kuwa mkeo hakuoni jinsi unavyomuona na pengine alikuwa na mpango wa kuachana na wewe ndio maana alibeba ujauzito huku card za clinic zikiwa na jina la mwenye ujauzito wake kwa sababu anampa haki hiyo kwenye manisha yake pasipo kufikiria atakuumiza au kukufedhehesha kiasi gani.
Kwenye ndoa nishawahi kuona matukio mabaya zaidi ya hilo na watu hawakuachana. Kwa hiyo naamini ni wewe wa kaamna, kulitesekea penzi kwa kuwa wa ziada kwa mkeo au ujiweke huru... Uamuzi ni wako