Niko njia panda yenye maumivu moyoni: Biashara yangu imelala sana je, niende kwa mganga?

Suala la Commission ya miamala nadhani ni kupungua kwa mzunguko januari hii
 
Tuliza akili acha ujinga January hii biashara imekuwa mbaya zaid ya kawaida kwa kila mtu

Mimi na biashara kubwa na maarufu sana hapa dar duka langu linafurikaga wateja muda wote

Ila January hii mauzo yamekuwa yaa ajabu kuliko kawaida

Jana tra wamekuja dukan sijatoa risit siku tatu mfululizo nikawaambia hali mbaya siuzi hawaamin nikwaambia kaen hapo
Wakakaa nusu saa amna mteja wakachoka " yaan wewe ..... huuuzi sasa wengine watakuwa na hali gan?"

Hali ni mbaya kuliko kwaida kuna upepo mbaya unapita tulia acha wenge
 
Dec nikikuwa najaza wateja mpk wengine wanakaa nje wanasubir ila January naweza kaa masaa mawili hajaingia mtu tuliza wenge utaharibu ni kipind cha mpito
 

Thanks.
The words from Legend..!!

#YNWA
 
Labda ukioa utafanikiwa mkuu embu oa wanawake wana ridhiki zao
 
Huko ulipoenda kufanya uzinifu ndo umeenda kuzoa mabalaa na nuksi ..Kaa kwa kutulia !!

Badili mienendo na tabia zako kama mchawi ni wewe umajiroga .
 
Huko ulipoenda kufanya uzinifu ndo umeenda kuzoa mabalaa na nuksi ..Kaa kwa kutulia !!

Badili mienendo na tabia zako kama mchawi ni wewe umajiroga .

Nani amekwambia kuwa nimetoka kuzini?

Stop personal attacks.

Turudi kwenye mada...

#YNWA
 
Ukienda kwa huyo mchawi unayemuita mtaalamu utazikwa ukiwa lofa.
Biashara yako haijayumba Bali akili zako zimekuza sana tatizo.
Bado unatengeneza faida, mtaji bado upo na kuyumba ni kwa siku chache tu.
Unasema unataka kuwa tajiri, sahau kuwa tajiri ikiwa unayumba kwa vitu vidogo kama hivi. Unaitaji kuwa jasiri mwenye roho ngumu na usiyekata tamaa hili uwe tajiri.
Matajiri hawana moyo wa kizembe kama wako.
Kilichotokea kwako ni mabadiliko ya kawaida kwenye biashara zako, na mabadiliko haya hutokea kwenye biashara zote.
Wateja walikuwa wanashughulikia ulipaji wa ada, pango na madeni yaliyokopwa wkt wa sikukuu, wasingefikiria ulevi ikiwa hawajafanya mambo muhimu.
Usiende kwa huyo mchawi, kaza buti, badili fikra, soma mazingira ya sasa hapo ulipo kisha funga mkanda songa mbele.
 
Bad time of yours can give u all the knowledge that scholl can't.
 
Sasa hapa Allah kaingiaje? Kwani jamaa kafanya kosa gani la kuadhibiwa?
 
Sasa hapa Allah kaingiaje? Kwani jamaa kafanya kosa gani la kuadhibiwa?
Kwamba jamaa ni malaika? allah ameingia kwasababu ndiye mwenye kuwaruzuku viumbe na ndiye mwenye kuzibana rizki zao na kuwa finyu, ndiye mwenye kuzikunjua mpaka wakawa matajiri wakubwa na yeye ndiye mwenye kuwafanya wacheke na walie machozi wakati mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…