Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
-
- #101
1. Hakuna anayelipa kodi sawasawa, nakwepa sanaa mishale ya TRA, FIRE ila Afisa Biashara HATUDAIANI.Je unalipa kodi kama inavopaswa? Watumishi watatu unalipa sh.ngapi? Ofisi umepanga au ni yako? Tofauti na pombe umeweka bidhaa nyingine zinazoendana kama sigara nk.?
Pamoja na yote Jesus love you!MGANGA ATANIRUDISHA KWELI KWENYE RELI.
INTRODUCTION:
Mimi ni mtumishi wa umma Ila pia nina ndoto za kuwa mfanyabiashara mkubwa sanaa...
Na nikiri NAPENDA HELA SAA.
Yaani ukitaka niwe na Amani basi laki kadhaa ziwe kwenye wallet yangu.
Katika kukimbiza ndoto zangu niliamua kufungua biashara ya vinywaji ya Jumla na rejareja (jina la mtaani tunaita Depo).
Nilikusanya mtaji nikiwa tayari nina idea na ilipofika mil 9 nikafungua depo.
Mil 6 bidhaa na mil 3 sunk cost kama kodi, Matengenezo frame na mengine yale ya maandalizi ya biashara.
Nauza vinywaji vyotee vikali na baridi, kwa jumla na reja reja, na kwasasa biashara yangu ina mtaji wa mil 25.
SCENARIO
Biashara ilianza vizurii mpaka nikawa nadata, yaani wateja walikuwa wengii.
Hawa wakani-force kukuza mtaji fasta mpaka kufika hizo mil 25.
Pia nikawa na vijana wa3 wa dukani, yaani ni fast delivery. Yaani mteja akikata tu simu basi bidhaa ipo mlangoni mwake.
Aisee nilipata jina fasta na kubwaa sanaa.
Mauzo yangu yalikuwa makubwa ya mil 3 Kwa siku na siku nisipouza yalikuwa hayashuki mil 1.
Kwasasa Nina Miaka kadhaa kwenye biashara (from July 2020).
Ila ndugu sasa biashara sielewi..
PROBLEM
Tokea January 2023 BIASHARA IMEKUWA NGUMU mnooo.
Mauzo mil 1 Tena jana ndio Majanga, nimefunga na laki 5..!!!
Pia hapa Nina miamala ya simu, na juzi (01/02) nililipwa commission ya 150k kwa mitandao yotee mi 4.
Wakati nilifika commison ya laki 5 kwa mitandao yote mi4.
Wateja simu sizioni, wakati Kuna kipindi walikua wanapiga simu mpaka saa 7 usiku kuniomba niwauzie bidhaa.
Hiyo saa 7 usiku watakukodia boda utakuja kufungua store utawauzia, wanakulipa na boda inakurudisha gheto kwa gharama zao.
Nina masters na bachelor ya mambo ya biashara, hivyo nimejaribu marketing skills kibao kama za kutuma sms kila asubuhi kuomba order kwa wateja, kupost status za WhatsApp ila 2023 bado ngumu kwenye biashara.
Sasa nimeshauriwa na raia NIENDE KWA MTAALAMU NIKAPIKWE.
Naambiwa, nilikua na nyota kalii hivyo competitor wameona waizime ili wao wauze.
DILEMA
Nimedata mwenzenu, ukicheki hii biashara ndio naitegemea kuwa ndio tobo la kunifanya nije kuachana na ajira za serikali ya CCM ila MBELE NAONA GIZA.
Nina mengi aisee siwezi kuandika yote, mfano: siku hizi nafungua saa 1 kamili asubuhi na kufunga saa 5 usiku.
Na hata kazini (halmashauri) nimepasusa naona pananichanganya tu (wiki yotee hii (Tokea 30/01)SIJAFIKA KAZINI.
KUHUSU VITABU-
Hivi vitabu sijui vya Robert koyasaki na wengine NIMESOMA SANAAA.
Tokea 2020 nishasoma vitabu kama 30 hivi vya mambo ya biashara na fedha na Robert Koyasaki pekee yake ni vitabu vi5 kuanzaia Rich Dad mpaka Money Quadrant.
Vingi vinazungumzia "Kwenye financial world Usikate tamaa, pambana"" ila nahisi Kuna kamba ipo nyuma ya mapambano yangu inanivuta nyuma.
NAPAMBANA NYIE...
1. Muda wote duka nalifanya safi
2. Rangi zinavutia (mashelf na ukuta)
3. Kama elimu, Nina degree mbili za biashara (bachelor + masters)
4. Kama ni experince, nishauza sanaa biashara za watu Tena bila mshahara (kipindi najifunza biashara)
5. Kama ni ukarimu, basi ni mkarimu sanaa. Humu Kuna watu wawili tulishaongea sanaa Japo kwa simu (kama wako comfortable wanaweza thibitisha hapa).
Kifupi nafanya mengii ila 2023 imekua ngumu.
Imefikia mpaka kupunguza wafanyakazi dukani kutoka 3 mpaka 1..!!!
Na kilichonifanya nipost ni baada ya commision kushuka kutoka 500k mpak 150k kwa Jauary/2023.
Huwezi amini:-
Jumapili ya wiki hii sikufungua, ili tu nione upepo wa wateja, ila chakusangaza mpaka unaingia usiku sijapokea simu hata ya mteja mmoja kulalamika "Mbona nimefunga"
Kwasasa sijui si-exist kwenye phone book zao..!! Niko kudata balaaa yaani waliokuwa wakinipigia simu usiku nao hawapigi hata mchana..!!!
Kazini sijaenda wiki maana kichwa ni cha moto balaaa.
Nipeni mawazo wajasiliamali wenzangu.
Nipeni mawazo wafanyabiashara wenzangu.
Nishapitia msoto mkubwa sanaa kwenye maisha ya uyatima, kazini, kwenye ujana wangu ila Jambo gumu linapogusa biashara NADATA KABISAAAA.
Nahitaji kuacha Kazi na hili ndio TOBO LANGU.
MGANGA ATANIRUDISHA KWELI KWENYE RELI?
#YNWA
Hehehe biashara sio simple hivyo kama unavyotaka kuaminisha watu hapa.Naam hivi ndivyo allah huadhibu waja wake, wewe si humtambui? kwasababu tu ulijiona umejitosheleza.
"hapana! sivyo hivyo!, hakika mwanadamu ni mwenye kuvuka mpaka mno, pale anapojiona amejitosheleza."
Quran 96:6-7
Tiba ya hayo mambo sio kwenda kwa waganga huko sasa unaenda ulimwengu mwingine na hasara zitakuzidi mpaka utajinyonga, rudi kwa mola wako muombe msamaha na unyenyekee kwake, atakufungulia milango ya rizki na baraka nyingi, hakika yeye ni msamehevu mwenye huruma mno.
Kampeni ya kukataa ndoa inahusikaje na biashara, au ndo kusema kila aliyeoa basi biashara ni mtelezo kwake?Wewe si ndio una kampeni ya kataa ndoa?
Hii n kweli kabisa 💯 kuna Duka unaliona hiv alaf unaangalia mwonekano wako unaachana nalo unaenda la mbali😀😀😀kwanza hujataja lokeshen yani sehemu unayo fanyia biashara niwapi.maranyingi iko hivii..usiweke dukalako lionekane lakishua Sana sehemu ya waswahili Kuna wateja hawata kuja kabisa humo.wabongo tuna zarau ,aibu na wivu.
unaweka tailiz zako mteja mwingine anajiangalia kwanza yeye jinsi alivyo na sehemu anayo enda kununua bizaa.anajifikiria kwanza nikienda pale michoro mingi nimevaa ndala duka lenyewe lakishua ngoja niendezangu kwa muha pale.anaenda kwa muha anakuta kwanza sakafu imebomoka muha mwenyewe tisheti imechanika haja vaa hata ndala
hapo anakuwa huru kununua hatakama niunga robo ananunua kwa kujiamini.wee umevaa vizuri utawasubiri washua wenzako waje kukuungisha maamae🤣🤣
Mimi ndio Mana saazingine wale wateja wangu waaminifu nikiwa nawateja wengi akija anataka sukari namuonyesha jiwe lakupimia anajipimia mwenyewe anatoa hela anaondoka zake unamfanya ajione pale nikwake usitumie nguvu tumia akili..🤣🤣🤣
Kwahyo namna ya kuilainisha ndo kwenda kwa waganga?.Hehehe biashara sio simple hivyo kama unavyotaka kuaminisha watu hapa.
Hii n kweli kabisa 💯 kuna Duka unaliona hiv alaf unaangalia mwonekano wako unaachana nalo unaenda la mbali😀😀😀
Akijibu nitagKampeni ya kukataa ndoa inahusikaje na biashara, au ndo kusema kila aliyeoa basi biashara ni mtelezo kwake?
Pamoja na yote Jesus love you!
Pamoja na ushauri wa wengi kwamba ni January ngumu vumilia,ila Bado watanzania ni wanafiki sana, na tunapenda kuficha ukweli.
Mafanikio yoyote lazima uchague upande kati ya hizi na ujitose ,Kwa Mungu mazima mazima au Kwa Shetani (waganga mazima mazima).
Ukibaki bila uchaguzi( uvuguvugu)hata Mungu mwenyewe kasema kwenye neno lake kwamba atakutapika.
Sasa wadau hapa wanasingizia sana January,yaweza ikawa kweli,je kwani wakati anaanza January 2021,2022 zilikuaje!? Mbona hajaja kuomba ushauri?
Ukiona amekuja kuomba ushauri ameona ishara mbaya kwenye biashara yake.
Chagua mkuu kuwa wa moto au baridi, usikubali kuwa vuguvugu, mafanikio sio lelemama.ni vita kubwa ya kiroho.
Umenisoma Asante.
huo mtaji ulio anzia bishara uliupataje? ulipewa uliokota ulianzia chini ukapanda mpaka kufikia m9 au ulipataje mtaji huo tuuanzie hapo hili tuweze kukupa ushauli mzuliMGANGA ATANIRUDISHA KWELI KWENYE RELI.
INTRODUCTION:
Mimi ni mtumishi wa umma Ila pia nina ndoto za kuwa mfanyabiashara mkubwa sanaa...
Na nikiri NAPENDA HELA SAA.
Yaani ukitaka niwe na Amani basi laki kadhaa ziwe kwenye wallet yangu.
Katika kukimbiza ndoto zangu niliamua kufungua biashara ya vinywaji ya Jumla na rejareja (jina la mtaani tunaita Depo).
Nilikusanya mtaji nikiwa tayari nina idea na ilipofika mil 9 nikafungua depo.
Mil 6 bidhaa na mil 3 sunk cost kama kodi, Matengenezo frame na mengine yale ya maandalizi ya biashara.
Nauza vinywaji vyotee vikali na baridi, kwa jumla na reja reja, na kwasasa biashara yangu ina mtaji wa mil 25.
SCENARIO
Biashara ilianza vizurii mpaka nikawa nadata, yaani wateja walikuwa wengii.
Hawa wakani-force kukuza mtaji fasta mpaka kufika hizo mil 25.
Pia nikawa na vijana wa3 wa dukani, yaani ni fast delivery. Yaani mteja akikata tu simu basi bidhaa ipo mlangoni mwake.
Aisee nilipata jina fasta na kubwaa sanaa.
Mauzo yangu yalikuwa makubwa ya mil 3 Kwa siku na siku nisipouza yalikuwa hayashuki mil 1.
Kwasasa Nina Miaka kadhaa kwenye biashara (from July 2020).
Ila ndugu sasa biashara sielewi..
PROBLEM
Tokea January 2023 BIASHARA IMEKUWA NGUMU mnooo.
Mauzo mil 1 Tena jana ndio Majanga, nimefunga na laki 5..!!!
Pia hapa Nina miamala ya simu, na juzi (01/02) nililipwa commission ya 150k kwa mitandao yotee mi 4.
Wakati nilifika commison ya laki 5 kwa mitandao yote mi4.
Wateja simu sizioni, wakati Kuna kipindi walikua wanapiga simu mpaka saa 7 usiku kuniomba niwauzie bidhaa.
Hiyo saa 7 usiku watakukodia boda utakuja kufungua store utawauzia, wanakulipa na boda inakurudisha gheto kwa gharama zao.
Nina masters na bachelor ya mambo ya biashara, hivyo nimejaribu marketing skills kibao kama za kutuma sms kila asubuhi kuomba order kwa wateja, kupost status za WhatsApp ila 2023 bado ngumu kwenye biashara.
Sasa nimeshauriwa na raia NIENDE KWA MTAALAMU NIKAPIKWE.
Naambiwa, nilikua na nyota kalii hivyo competitor wameona waizime ili wao wauze.
DILEMA
Nimedata mwenzenu, ukicheki hii biashara ndio naitegemea kuwa ndio tobo la kunifanya nije kuachana na ajira za serikali ya CCM ila MBELE NAONA GIZA.
Nina mengi aisee siwezi kuandika yote, mfano: siku hizi nafungua saa 1 kamili asubuhi na kufunga saa 5 usiku.
Na hata kazini (halmashauri) nimepasusa naona pananichanganya tu (wiki yotee hii (Tokea 30/01)SIJAFIKA KAZINI.
KUHUSU VITABU-
Hivi vitabu sijui vya Robert koyasaki na wengine NIMESOMA SANAAA.
Tokea 2020 nishasoma vitabu kama 30 hivi vya mambo ya biashara na fedha na Robert Koyasaki pekee yake ni vitabu vi5 kuanzaia Rich Dad mpaka Money Quadrant.
Vingi vinazungumzia "Kwenye financial world Usikate tamaa, pambana"" ila nahisi Kuna kamba ipo nyuma ya mapambano yangu inanivuta nyuma.
NAPAMBANA NYIE...
1. Muda wote duka nalifanya safi
2. Rangi zinavutia (mashelf na ukuta)
3. Kama elimu, Nina degree mbili za biashara (bachelor + masters)
4. Kama ni experince, nishauza sanaa biashara za watu Tena bila mshahara (kipindi najifunza biashara)
5. Kama ni ukarimu, basi ni mkarimu sanaa. Humu Kuna watu wawili tulishaongea sanaa Japo kwa simu (kama wako comfortable wanaweza thibitisha hapa).
Kifupi nafanya mengii ila 2023 imekua ngumu.
Imefikia mpaka kupunguza wafanyakazi dukani kutoka 3 mpaka 1..!!!
Na kilichonifanya nipost ni baada ya commision kushuka kutoka 500k mpak 150k kwa Jauary/2023.
Huwezi amini:-
Jumapili ya wiki hii sikufungua, ili tu nione upepo wa wateja, ila chakusangaza mpaka unaingia usiku sijapokea simu hata ya mteja mmoja kulalamika "Mbona nimefunga"
Kwasasa sijui si-exist kwenye phone book zao..!! Niko kudata balaaa yaani waliokuwa wakinipigia simu usiku nao hawapigi hata mchana..!!!
Kazini sijaenda wiki maana kichwa ni cha moto balaaa.
Nipeni mawazo wajasiliamali wenzangu.
Nipeni mawazo wafanyabiashara wenzangu.
Nishapitia msoto mkubwa sanaa kwenye maisha ya uyatima, kazini, kwenye ujana wangu ila Jambo gumu linapogusa biashara NADATA KABISAAAA.
Nahitaji kuacha Kazi na hili ndio TOBO LANGU.
MGANGA ATANIRUDISHA KWELI KWENYE RELI?
#YNWA
Ni kweli kabisa ndugu wala hajakosea.Hii n kweli kabisa [emoji817] kuna Duka unaliona hiv alaf unaangalia mwonekano wako unaachana nalo unaenda la mbali[emoji3][emoji3][emoji3]