Niko njia panda yenye maumivu moyoni: Biashara yangu imelala sana je, niende kwa mganga?

Niko njia panda yenye maumivu moyoni: Biashara yangu imelala sana je, niende kwa mganga?

Umetoa details kirahisi sana. Biashara inaangukaje kirahisi namna hiyo bila kuwapo na vyanzo vya wazi wazi?

Mimi nina maswali:

1. Nani ni manager wa biashara yako?

2. Nani anasimamia vitabu vya mahesabu ya mauzo?

3. Wewe katika biashara hii unasimama kama nani au una shirikije katika biashara hii?

4. Kama wewe ndie unawasiliana na hawa wateja, je kuna complain zozote ambazo ulikuwa ukizisikia kutoka kwao na haukuzipa uzito?! ( Hili swali muhimu sana)

5. Hawa vijana wako uliowaajiri umeshafanya nao kikao maalumu kujadili hii hali ya biashara ili wakwambie tatizo au matatizo wanayoyaona upande wao?!

6. Je, unawalipaje vijana wako, na katika kuwalipa wanaridhika?!

7. Competitors wako ni akina nani na je umejaribu kuchunguza kama wateja wako wanakwenda kwa wenzako?!


Kuna maswali mengi sana ya kuhoji hapa.
 
Umetoa details kirahisi sana. Biashara inaangukaje kirahisi namna hiyo bila kuwapo na vyanzo vya wazi wazi?

Mimi nina maswali:

1. Nani ni manager wa biashara yako?

2. Nani anasimamia vitabu vya mahesabu ya mauzo?

3. Wewe katika biashara hii unasimama kama nani au una shirikije katika biashara hii?

4. Kama wewe ndie unawasiliana na hawa wateja, je kuna complain zozote ambazo ulikuwa ukizisikia kutoka kwao na haukuzipa uzito?! ( Hili swali muhimu sana)

5. Hawa vijana wako uliowaajiri umeshafanya nao kikao maalumu kujadili hii hali ya biashara ili wakwambie tatizo au matatizo wanayoyaona upande wao?!

6. Je, unawalipaje vijana wako, na katika kuwalipa wanaridhika?!

7. Competitors wako ni akina nani na je umejaribu kuchunguza kama wateja wako wanakwenda kwa wenzako?!


Kuna maswali mengi sana ya kuhoji hapa.
Nyie mnaoulizaga maswali ya kipolisi kama haya, huwa mmesoma cbe cert. in business management, hata biashara ya pipi hamjawahi kufanya.
 
Umetoa details kirahisi sana. Biashara inaangukaje kirahisi namna hiyo bila kuwapo na vyanzo vya wazi wazi?

Mimi nina maswali:

1. Nani ni manager wa biashara yako?

2. Nani anasimamia vitabu vya mahesabu ya mauzo?

3. Wewe katika biashara hii unasimama kama nani au una shirikije katika biashara hii?

4. Kama wewe ndie unawasiliana na hawa wateja, je kuna complain zozote ambazo ulikuwa ukizisikia kutoka kwao na haukuzipa uzito?! ( Hili swali muhimu sana)

5. Hawa vijana wako uliowaajiri umeshafanya nao kikao maalumu kujadili hii hali ya biashara ili wakwambie tatizo au matatizo wanayoyaona upande wao?!

6. Je, unawalipaje vijana wako, na katika kuwalipa wanaridhika?!

7. Competitors wako ni akina nani na je umejaribu kuchunguza kama wateja wako wanakwenda kwa wenzako?!


Kuna maswali mengi sana ya kuhoji hapa.
Skia mkuu acha kumpa stress mwenzio. Maswali ya kukariri darasani wakati mnasoma certificate ni tofauti sana na uhalisia wa biashara zenyewe. Kasema biasharavyake imeshuka kuanzia January hadi hii March, sisi tunaoziishi biashara ndio tunaona uhalisia mitaani. Biashara zote zimeshuka tangu huu mwaka uanze, tofauti kabisa na miezi ya August hadi December mwaka jana. Watu hawana pesa mifukoni ukizingatua biashara yake sio basosic need ni ya vinywaji. Mtu hadi ashibe na familia ile ndio afikiri kunywa. Vyakula vimepanda sana bei, mbona logic ndogo sana, kutiana stress tu.

Mkuu mtoa mada fuata ushauri wangu hapo juu. Utakuja kunishukuru. Hujarogwa na wala ww sio tatito, shida ni mzunguko tu wa pesa umeshuka. Hii sio kwa tu ni kwetu sote tunaoishi biashara. Am sure kufikia July mambo yatakaa sawa na tutaendelea kupiga pesa tena
 
Skia mkuu acha kumpa stress mwenzio. Maswali ya kukariri darasani wakati mnasoma certificate ni tofauti sana na uhalisia wa biashara zenyewe. Kasema biasharavyake imeshuka kuanzia January hadi hii March, sisi tunaoziishi biashara ndio tunaona uhalisia mitaani. Biashara zote zimeshuka tangu huu mwaka uanze, tofauti kabisa na miezi ya August hadi December mwaka jana. Watu hawana pesa mifukoni ukizingatua biashara yake sio basosic need ni ya vinywaji. Mtu hadi ashibe na familia ile ndio afikiri kunywa. Vyakula vimepanda sana bei, mbona logic ndogo sana, kutiana stress tu.

Mkuu mtoa mada fuata ushauri wangu hapo juu. Utakuja kunishukuru. Hujarogwa na wala ww sio tatito, shida ni mzunguko tu wa pesa umeshuka. Hii sio kwa tu ni kwetu sote tunaoishi biashara. Am sure kufikia July mambo yatakaa sawa na tutaendelea kupiga pesa tena
Ndio hivyo mkuu.
Watu wanalalamika sana mtaani hakuna hela.
So automatically watapunguza matumizi hasa kwenye mambo ya anasa.
 
MGANGA ATANIRUDISHA KWELI KWENYE RELI.

INTRODUCTION:

Mimi ni mtumishi wa umma Ila pia nina ndoto za kuwa mfanyabiashara mkubwa sanaa...

Na nikiri NAPENDA HELA SAA.
Yaani ukitaka niwe na Amani basi laki kadhaa ziwe kwenye wallet yangu.

Katika kukimbiza ndoto zangu niliamua kufungua biashara ya vinywaji ya Jumla na rejareja (jina la mtaani tunaita Depo).

Nilikusanya mtaji nikiwa tayari nina idea na ilipofika mil 9 nikafungua depo.
Mil 6 bidhaa na mil 3 sunk cost kama kodi, Matengenezo frame na mengine yale ya maandalizi ya biashara.

Nauza vinywaji vyotee vikali na baridi, kwa jumla na reja reja, na kwasasa biashara yangu ina mtaji wa mil 25.

SCENARIO
Biashara ilianza vizurii mpaka nikawa nadata, yaani wateja walikuwa wengii.

Hawa wakani-force kukuza mtaji fasta mpaka kufika hizo mil 25.

Pia nikawa na vijana wa3 wa dukani, yaani ni fast delivery. Yaani mteja akikata tu simu basi bidhaa ipo mlangoni mwake.

Aisee nilipata jina fasta na kubwaa sanaa.

Mauzo yangu yalikuwa makubwa ya mil 3 Kwa siku na siku nisipouza yalikuwa hayashuki mil 1.

Kwasasa Nina Miaka kadhaa kwenye biashara (from July 2020).

Ila ndugu sasa biashara sielewi..

PROBLEM
Tokea January 2023 BIASHARA IMEKUWA NGUMU mnooo.

Mauzo mil 1 Tena jana ndio Majanga, nimefunga na laki 5..!!!

Pia hapa Nina miamala ya simu, na juzi (01/02) nililipwa commission ya 150k kwa mitandao yotee mi 4.

Wakati nilifika commison ya laki 5 kwa mitandao yote mi4.

Wateja simu sizioni, wakati Kuna kipindi walikua wanapiga simu mpaka saa 7 usiku kuniomba niwauzie bidhaa.

Hiyo saa 7 usiku watakukodia boda utakuja kufungua store utawauzia, wanakulipa na boda inakurudisha gheto kwa gharama zao.

Nina masters na bachelor ya mambo ya biashara, hivyo nimejaribu marketing skills kibao kama za kutuma sms kila asubuhi kuomba order kwa wateja, kupost status za WhatsApp ila 2023 bado ngumu kwenye biashara.

Sasa nimeshauriwa na raia NIENDE KWA MTAALAMU NIKAPIKWE.

Naambiwa, nilikua na nyota kalii hivyo competitor wameona waizime ili wao wauze.

DILEMA
Nimedata mwenzenu, ukicheki hii biashara ndio naitegemea kuwa ndio tobo la kunifanya nije kuachana na ajira za serikali ya CCM ila MBELE NAONA GIZA.

Nina mengi aisee siwezi kuandika yote, mfano: siku hizi nafungua saa 1 kamili asubuhi na kufunga saa 5 usiku.
Na hata kazini (halmashauri) nimepasusa naona pananichanganya tu (wiki yotee hii (Tokea 30/01)SIJAFIKA KAZINI.

KUHUSU VITABU-
Hivi vitabu sijui vya Robert koyasaki na wengine NIMESOMA SANAAA.
Tokea 2020 nishasoma vitabu kama 30 hivi vya mambo ya biashara na fedha na Robert Koyasaki pekee yake ni vitabu vi5 kuanzaia Rich Dad mpaka Money Quadrant.

Vingi vinazungumzia "Kwenye financial world Usikate tamaa, pambana"" ila nahisi Kuna kamba ipo nyuma ya mapambano yangu inanivuta nyuma.

NAPAMBANA NYIE...
1. Muda wote duka nalifanya safi
2. Rangi zinavutia (mashelf na ukuta)
3. Kama elimu, Nina degree mbili za biashara (bachelor + masters)
4. Kama ni experince, nishauza sanaa biashara za watu Tena bila mshahara (kipindi najifunza biashara)
5. Kama ni ukarimu, basi ni mkarimu sanaa. Humu Kuna watu wawili tulishaongea sanaa Japo kwa simu (kama wako comfortable wanaweza thibitisha hapa).

Kifupi nafanya mengii ila 2023 imekua ngumu.
Imefikia mpaka kupunguza wafanyakazi dukani kutoka 3 mpaka 1..!!!

Na kilichonifanya nipost ni baada ya commision kushuka kutoka 500k mpak 150k kwa Jauary/2023.

Huwezi amini:-
Jumapili ya wiki hii sikufungua, ili tu nione upepo wa wateja, ila chakusangaza mpaka unaingia usiku sijapokea simu hata ya mteja mmoja kulalamika "Mbona nimefunga"

Kwasasa sijui si-exist kwenye phone book zao..!! Niko kudata balaaa yaani waliokuwa wakinipigia simu usiku nao hawapigi hata mchana..!!!

Kazini sijaenda wiki maana kichwa ni cha moto balaaa.

Nipeni mawazo wajasiliamali wenzangu.
Nipeni mawazo wafanyabiashara wenzangu.

Nishapitia msoto mkubwa sanaa kwenye maisha ya uyatima, kazini, kwenye ujana wangu ila Jambo gumu linapogusa biashara NADATA KABISAAAA.

Nahitaji kuacha Kazi na hili ndio TOBO LANGU.

MGANGA ATANIRUDISHA KWELI KWENYE RELI?

#YNWA
Pole,ila kushauri,hapo kwenye uganga,wanaenda kufilisi kabisa.Hujasema kama ushindani umebadilika je,mazingira ya biashara yako mwanzo na sasa nini kimebadilika?Kama wewe ni mtumishi najua huna muda wa kutosha kujua mazingira ya biashara yako kwa karibu🤔.Vipi mienendo ya waliokuwa wafanyakazi wako.Haiku athiri biashara yako bila wewe kutambua?Je hawakutumia na wash indani wako ili kupata wateja wako?Je haijakuwa na migogoro ya kikodi,au leseni?Tuliza akili jifunze wapi palipo na shida , ikiwezekana igawe biashara nenda sehemu nyingine.
 
Nyie mnaoulizaga maswali ya kipolisi kama haya, huwa mmesoma cbe cert. in business management, hata biashara ya pipi hamjawahi kufanya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata pipi hawajawahi kuuza
 
Ndio hivyo mkuu.
Watu wanalalamika sana mtaani hakuna hela.
So automatically watapunguza matumizi hasa kwenye mambo ya anasa.
Halafu anatokea mtu na degree ya uchumi ya kukaririshwa anaanza kukuliza maswali ya kukustress tu. Watu wengi wanaofanyaga biashara na kujifanya wanaendesha biashara zao kwa misingi sanaa huwa hawadumu, ila yule anaefanya kwa elimu kitaa tu huwa wana survive sana
 
Huna haja ya kukata tamaa mwezi mmoja tu unawaza wataalam, huu mwezi ni mgumu wengine hapa unaenda kupambana unarudi kama ulivyoenda ndio biashara waulize wateja wako mnaoshibana kama wanauza kama zamani kabla haujaenda kuharibu,pesa za masharti hazina Raha muda zinaisha.
Wazo zuri unaweza kuta hata wateja wakichukua mzigo unakawia kuisha kwan walaji hawana tena hela ming
 
Umempatia wazk zuri sema naona tayari Imani yake iko rigid akadai kuwa Ana masters amesoma vitabu vya robati kiyosaki as if ni guarantee ukivisoma unatoka
Huyu ni kumwambia au kumpa namba ya mganga
 
yaani january ambayo kila mtu analia pesa zote zimeenda mashuleni hata wenye mabasi ya abiria wamepunguza mabasi barabarani kwa sababu abiria ni wachache, hilo umeshindwa kuliona, umeanza kulia na kutamani kwenda kwa wachawi. Pole sana.....watu kama wewe ndiyo mnaamini ushirikina kuliko uhalisia.
Anataman dunia izunguke tofauti kwake tu
 
Nami nipo kwenye dilemma kama wewe na nimeshawatembelea manabii kama wote na waganga wale wanaosifiwa sana Tanga, Pemba, Masasi lakini bado nipo chali ......najipanga kwenda labda kwa nabii ambaye sijawahi kwenda kwake Kuhani Musa au waganga wa Msumbiji....Kwa kweli najionea mazingaombwe mengi sana.....nimechoka sana sana.......kwa mtu ambaye hayajamkuta najua atatoa povu sana humu lakini huyo mtoa mada nimemuelewa sana...mpaka yakukute
 
MGANGA ATANIRUDISHA KWELI KWENYE RELI.

INTRODUCTION:

Mimi ni mtumishi wa umma Ila pia nina ndoto za kuwa mfanyabiashara mkubwa sanaa...

Na nikiri NAPENDA HELA SAA.
Yaani ukitaka niwe na Amani basi laki kadhaa ziwe kwenye wallet yangu.

Katika kukimbiza ndoto zangu niliamua kufungua biashara ya vinywaji ya Jumla na rejareja (jina la mtaani tunaita Depo).

Nilikusanya mtaji nikiwa tayari nina idea na ilipofika mil 9 nikafungua depo.
Mil 6 bidhaa na mil 3 sunk cost kama kodi, Matengenezo frame na mengine yale ya maandalizi ya biashara.

Nauza vinywaji vyotee vikali na baridi, kwa jumla na reja reja, na kwasasa biashara yangu ina mtaji wa mil 25.

SCENARIO
Biashara ilianza vizurii mpaka nikawa nadata, yaani wateja walikuwa wengii.

Hawa wakani-force kukuza mtaji fasta mpaka kufika hizo mil 25.

Pia nikawa na vijana wa3 wa dukani, yaani ni fast delivery. Yaani mteja akikata tu simu basi bidhaa ipo mlangoni mwake.

Aisee nilipata jina fasta na kubwaa sanaa.

Mauzo yangu yalikuwa makubwa ya mil 3 Kwa siku na siku nisipouza yalikuwa hayashuki mil 1.

Kwasasa Nina Miaka kadhaa kwenye biashara (from July 2020).

Ila ndugu sasa biashara sielewi..

PROBLEM
Tokea January 2023 BIASHARA IMEKUWA NGUMU mnooo.

Mauzo mil 1 Tena jana ndio Majanga, nimefunga na laki 5..!!!

Pia hapa Nina miamala ya simu, na juzi (01/02) nililipwa commission ya 150k kwa mitandao yotee mi 4.

Wakati nilifika commison ya laki 5 kwa mitandao yote mi4.

Wateja simu sizioni, wakati Kuna kipindi walikua wanapiga simu mpaka saa 7 usiku kuniomba niwauzie bidhaa.

Hiyo saa 7 usiku watakukodia boda utakuja kufungua store utawauzia, wanakulipa na boda inakurudisha gheto kwa gharama zao.

Nina masters na bachelor ya mambo ya biashara, hivyo nimejaribu marketing skills kibao kama za kutuma sms kila asubuhi kuomba order kwa wateja, kupost status za WhatsApp ila 2023 bado ngumu kwenye biashara.

Sasa nimeshauriwa na raia NIENDE KWA MTAALAMU NIKAPIKWE.

Naambiwa, nilikua na nyota kalii hivyo competitor wameona waizime ili wao wauze.

DILEMA
Nimedata mwenzenu, ukicheki hii biashara ndio naitegemea kuwa ndio tobo la kunifanya nije kuachana na ajira za serikali ya CCM ila MBELE NAONA GIZA.

Nina mengi aisee siwezi kuandika yote, mfano: siku hizi nafungua saa 1 kamili asubuhi na kufunga saa 5 usiku.
Na hata kazini (halmashauri) nimepasusa naona pananichanganya tu (wiki yotee hii (Tokea 30/01)SIJAFIKA KAZINI.

KUHUSU VITABU-
Hivi vitabu sijui vya Robert koyasaki na wengine NIMESOMA SANAAA.
Tokea 2020 nishasoma vitabu kama 30 hivi vya mambo ya biashara na fedha na Robert Koyasaki pekee yake ni vitabu vi5 kuanzaia Rich Dad mpaka Money Quadrant.

Vingi vinazungumzia "Kwenye financial world Usikate tamaa, pambana"" ila nahisi Kuna kamba ipo nyuma ya mapambano yangu inanivuta nyuma.

NAPAMBANA NYIE...
1. Muda wote duka nalifanya safi
2. Rangi zinavutia (mashelf na ukuta)
3. Kama elimu, Nina degree mbili za biashara (bachelor + masters)
4. Kama ni experince, nishauza sanaa biashara za watu Tena bila mshahara (kipindi najifunza biashara)
5. Kama ni ukarimu, basi ni mkarimu sanaa. Humu Kuna watu wawili tulishaongea sanaa Japo kwa simu (kama wako comfortable wanaweza thibitisha hapa).

Kifupi nafanya mengii ila 2023 imekua ngumu.
Imefikia mpaka kupunguza wafanyakazi dukani kutoka 3 mpaka 1..!!!

Na kilichonifanya nipost ni baada ya commision kushuka kutoka 500k mpak 150k kwa Jauary/2023.

Huwezi amini:-
Jumapili ya wiki hii sikufungua, ili tu nione upepo wa wateja, ila chakusangaza mpaka unaingia usiku sijapokea simu hata ya mteja mmoja kulalamika "Mbona nimefunga"

Kwasasa sijui si-exist kwenye phone book zao..!! Niko kudata balaaa yaani waliokuwa wakinipigia simu usiku nao hawapigi hata mchana..!!!

Kazini sijaenda wiki maana kichwa ni cha moto balaaa.

Nipeni mawazo wajasiliamali wenzangu.
Nipeni mawazo wafanyabiashara wenzangu.

Nishapitia msoto mkubwa sanaa kwenye maisha ya uyatima, kazini, kwenye ujana wangu ila Jambo gumu linapogusa biashara NADATA KABISAAAA.

Nahitaji kuacha Kazi na hili ndio TOBO LANGU.

MGANGA ATANIRUDISHA KWELI KWENYE RELI?

#YNWA

Maswali ya Msingi :

- Ulipoanza hao wateja walitoka wapi na ukua na Mganga?

- Hakuna mpinzani karibu kweli? Mzee wa marketing ume study customers and business behaviors?

- Kuna namna biashara imekusaidia mfano kujenga nyumba, au gharama fulani? Kubwa?

- Je kuna kiasi kikubwa cha hela ya Biashara umekitoa nje ya mzunguko?

- Staff ni wale wale au umsbadili? Una any feud na staff yeyote ambaye ameondoka kwa hasira?

Tabia zako:

- Jifunze kuwa na shukran, una ajira na kipago. Hicho kakupa Mungu, tamaa inayokupeleka kwa Mganga, utaharibu mpaka ajira.

- Love for money, inayokupeleka kwa mganga ni mbaya sana na itakuharibia maisha, yaweza kukufurahisha tu kwa Kitambo.

Ushauri:

Kama mtaji wako unafika 20m kwa sasa, funga biashara, weka hela kwenye account, halafu tulia, maana ni mara 2 ya hela uliyowekeza.

Ukiendelea na hiyo biashara baada ya kuonyesha kutokuwa na shukrani kwa kiwango hiki cha Mungu ambavyo ameshakupa, utafilisika mazima, take my worda.
 
chuki za nini kijana kueneza uongo? Huyo Yesu wenu anajua kiswahili?
😂😂😂😂😂 Ushasikia kuna kanisa linamuita yesu kwa kiyahudi yesu fundi anasikia lugha zote sio allah mpka umwage kiarabu😂😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂 Ushasikia kuna kanisa linamuita yesu kwa kiyahudi yesu fundi anasikia lugha zote sio allah mpka umwage kiarabu😂😂😂😂😂😂
kumbe ni yahudi basi anajua kiyahudi tu na alikuwa anaitwa Issa (au Aissa). Tafuta kwenye youtube utaona.
 
Maisha ya watu ni uwongo mtup na watakwambia nenda Kwa doctor kumbe wao hawaendi au usiende kumbe wao wanaend chamsingi unacho weza Fanya kunusulu biashar we Fanya tu chamsingi utoke maana kutoka kuliwatesa ata Wanawaisraile kama unaweza kuloga Loga na kamaunaweza kusalisa ili kutoka kwenye umaskini
 
Jaribu kuomba kwa imani yako huenda ikawa njia sahihi zaidi kuliko kwenda kwa mganga ijapokuwa anaweza kukusaidia pia
 
Najua huu uzi ni wamda mrefu sana, lakini labda niwaambie tu wengine mtakaokuja kupitia koments. Kila mfanyabiashara ana kimoja kati ya viwili 1:MUNGU,2: SHETANI.
Kwaiyo hakikisha unachagua kimoja chakwenda nacho ukiwa mtupu utafanikiwa kama biashara yako inamtaji wa laki kushuka.
 
Tangu tulipofika katikati ya November biashara nyingi zilianza kushuka. January na February 2023 ndio imekuwa balaa ukitia ndani mwezi March . Kwa sasa tunasubiri mstakabali wa mwezi April.

Ila kuna uhusiano wa mvua nyingi na biashara. Kukiwa na mvua nyingi biashara nyingi zinadorola na biashara za viwatilifu zinapaa juu
 
Back
Top Bottom