Niko njiapanda: Mwaka wa 3 huu nampa ahadi za uongo lakini hachoki kunihudumia

Niko njiapanda: Mwaka wa 3 huu nampa ahadi za uongo lakini hachoki kunihudumia

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.

Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.

Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
 
Mm nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali.

Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.

Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda.

Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.

Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Unatakiwa ubredi mwaka mzima wewe ndiyo kula vya watu utaacha
 
Unajua sometime mnajitakia matatizo sana! Sasa kinachowafanya mpk muwe mnapokea vitu vya watu nini wakati hamna nia nao? Mtakuja kurogwa mkapata nuksi za maisha!

Unaweza mtafutie milion 5 mpe chuna kama week then mwambie "kuwa we ulishaolewa ila mmeo alikuwa nje anasoma hivo amerudi kwisha!

Na usirudie tena hii tabia, unamtesa mzee wa watu miaka 3 alafu unaendelea kula tu! Shubamiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali.

Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.

Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda.

Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.

Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Chakufanya hiyo sambusa mmegee tu akaishi nayo
 
Mm nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali.

Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.

Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda.

Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.

Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Gunia mbili za mkaa zinakuhusu amnaga free lunch kwenye hii dunia
 
Mm nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali.

Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.

Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda.

Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.

Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Wakati huyo workamte wako anabeba majukumu yote hayo , huyo mtu wako wa ukweli amekufanyia nini so far ?
 
Anza kuchagua jini atakalokurushia kati ya haya jini Hamza,jini maimuna au jini hamidu..? Ningalikuwa mimi ningalikurushia moja ya jini hapo halafu nikakuongezea na kamzimu kamoja kale ka kule meru vile vinavyorusha mawe..😁
 
M
Mm nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali.

Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.

Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda.

Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.

Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Mrudishie Mali zake zote ulizotumia. Na ndio Mana siamini katika kuhudumia
 
Mm nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali.

Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.

Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda.

Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.

Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Subira yangu ndiyo iliyonipooza
ngoja ngoja naoneka zoba
kwasababu nilimpend kwel
kwasabab nilimpeeenda
........
........
.....
endelea kumfanya zoba mzee wa watu
 
Utakuja kupigwa mtungo bora useme mapema ahudumiwe mwingine utakuja kufa kabla ya siku zako usipotezee watu mda wana mambo mengi ya kufanya
 
Lipia jeneza kabisa usije ukawapa watu kazi bure.
 
Back
Top Bottom