jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,536
Kwakifupi chchte unacho fanya maishani ni mbegu una panda .... muda ni mwalimu mzuri .... kumbuka huyo ni mtu mzima hana chakupoteza yajayo yanafurahisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.
Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.
Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
... wiki nayo ni mbali sana sababu tokea siku ya kwanza naomba vitu vyangu ushajua akilini mwako kuwa hutatoa au hutoi sasa ya nini kuzidi kupotezeana muda.Yaani ndani ya wiki upewe na vya ndani? Imekuwa pipi hiyo?
Itabid tu akuoe hakuna namnaMimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.
Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.
Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Utalipwa unachostahili, wala mwamba hana shida anafanya kwa mapenzi wewe mapenzi yake umeyageuza sehemu ya wewe kujipatia kipato. Karma !!Mimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.
Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.
Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Boyfriend wako unayempenda akijua unaudumiwa na mtu mwingine huoni hyo tatizo.Mimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.
Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.
Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Vifo vingine mnajitafutiaga tu ....tamaa mbaya mweeMimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.
Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.
Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
umri wakoMimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.
Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.
Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Nina miaka 23umri wako
Umekuwa Wema "Sepengo" weye?Umri unarudi nyuma?N
Nina miaka 23
Subir zawadi ya bomu siku ya harusi yako na umpendae..Mimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.
Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.
Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Huku hakuna kuswitch papo kwa papo kama kwa Elon MuskKuna muda unakuwa mwanaume kuna muda unakuwa wa kike..au unajisahau kurudi kwenye parody lako?