Niko njiapanda: Mwaka wa 3 huu nampa ahadi za uongo lakini hachoki kunihudumia

Niko njiapanda: Mwaka wa 3 huu nampa ahadi za uongo lakini hachoki kunihudumia

Mimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.

Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.

Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Usiyotaka ufanyiwe, nawe usiwafanyie wengine.
 
Mimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.

Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.

Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Utampa sumu ukimuandalia msosi akafie kwa mke wake au utamsagia chupa mwezi wa kwanza muwekee kwenye msosi zisage ziwe laini sana weka kwenye juice baada ya miezi 6 uje unishukuru
 
Vitu vyake unavipokea ingali wajua huna mpango naye?, why usimwambie ukweli ila ajue , why umpotezee muda wake hivo? Ndiyo mnapekekea wachukue maamuzi magumu. Kama upo na mtu wako hivo vitu si akuhudumie yeye au ni marioo?
 
Utampa sumu ukimuandalia msosi akafie kwa mke wake au utamsagia chupa mwezi wa kwanza muwekee kwenye msosi zisage ziwe laini sana weka kwenye juice baada ya miezi 6 uje unishukuru
Aaah mkuu usimpe huo ushauri wa kikatili, anaweza akafanya hivo kweli, dhambi jamani
 
Akili hauna, mkipigwa kipapai mnasema binadamu wabaya.
 
Katika mkosa watu wanafanya ni kutoa ahadi ya uongo kwa mapenzi, hivi kwa nini unamwongopea? haya ndo yanayoleta mauwaji yasiyo na msingi kwenye jamii, we ungemwambia tu kuwa huwezi kuwa nae na una mtu wako.

Mambo ya kukubali kuhudumiwa na kutoa ahadi za uongo yatamuumiza mtoaji na atatafuta namna ya kulipiza kisasi, omba awe mcha Mungu asitake kisasi.

Hapo ukute kashaanza wambia watu wake wa karibu kuwa mwakani anaoa, afu kashaanza kuseti bajeti yake na maandalizi madogo madogo. Afu baadae ndoa isiwepo, fikiria ungekuwa ww ungemfanyaje alokupa ahadi.
Kuna kosa kubwa pia wanaume wanafanya la kuamini kuwa mwanamke akisema 'hapana' hamaanishi. Wrong notion.

Na pia wanaamini pesa ni suluhisho la kila kitu. Mtu unamkatalia lkn bado anajidanganya kuwa akiendelea kukupa vipesa vyake moyo utafunguka na hatimaye kumpenda. No! No! No! Hell no.

Jibu unalopewa mwanzo na mwanamke unayemtokea ndiyo huwa ukweli wa moyoni..
 
Vitu vyake unavipokea ingali wajua huna mpango naye?, why usimwambie ukweli ila ajue , why umpotezee muda wake hivo? Ndiyo mnapekekea wachukue maamuzi magumu. Kama upo na mtu wako hivo vitu si akuhudumie yeye au ni marioo?
Ni king'ang'anizi. Na anaamini pesa na huduma zake vitabadili hisia zangu za moyoni
 
Kumbe ndio maan umepeleka Uzi kule yenye maudhuwi ya HV hv
 
Sijawahi amini katika kumhudumia mwanamke, nitampa pesa na mengine kama rafiki na kiwango ambacho hakitaweka kovu katika moyo wangu endapo atabadilika. Mtu mpaka unalipa kodi, kusuka, king'amuzi, nguo n.k na mwanamke hayupo kwako wengine wanatumia wewe unaambiwa mpaka ndoa, kazi kweli kweli.

Siku hizi mabinti wanatutumia sana vijana na wanachezea sana pochi zetu sababu tunawapaparukia sana na kuwaonesha tunawahitaji sana bila kuwa na jicho lakuona kama tunahitajika.

Kingine kinatugharimu ni kuhisi tukitumia sana pesa na kuhudumia kwingi tutapendwa. Hovyo kabisaaaa.
 
Kingine kinatugharimu ni kuhisi tukitumia sana pesa na kuhudumia kwingi tutapendwa. Hovyo kabisaaaa.
Kosa namba moja ndiyo hili. Wanawake tunapokea huku tukiwa tuneweka mioyo yetu kwa tunaowapenda
 
Mimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.

Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.

Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Umri wake Tafadhari na huja sema kama ana familia yake mke na watoto
 
Mimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.

Mwaka huu nimempa ahadi ya kuwa atanioa mwakani. Jamaa yuko excited sana akidhani namaanisha kumbe mm nina mtu wangu ninayempenda. Jamaa anaendelea kunipa huduma za kunijazia gesi, kunilipia kodi, kuninunulia nguo, kusuka nywele, kuniwekea kifurushi cha king'amuzi, n.k.

Sasa mwakani ikifika nitafanyeje? Maana sina mpango kabisa wa kuolewa na mtu mzima huyu.
Chai
 
Back
Top Bottom