Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #161
Nini usawa na utofauti kati ya kanisa, hekalu na synagogue?Ni jengo la ibada! Kanisa ni mwili wa Kristo ambao sisi ni sehemu ya huo mwili! Kanisa ni mkusanyiko! Ndiyo maana Yesu aliwaambia mafarisayo
Yohane 2:19-21 BHND - Bible.com
“Vunjeni hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu.” Hapo Wayahudi wakasema, “Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arubaini na sita.
hawakumuelewa! Definition yao ya kanisa ilikuwa jengo kumbe walikosea sana!
Nini usawa na utofauti kati ya kanisa, hekalu na synagogue?Ni jengo la ibada! Kanisa ni mwili wa Kristo ambao sisi ni sehemu ya huo mwili! Kanisa ni mkusanyiko! Ndiyo maana Yesu aliwaambia mafarisayo
Yohane 2:19-21 BHND - Bible.com
“Vunjeni hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu.” Hapo Wayahudi wakasema, “Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arubaini na sita.
hawakumuelewa! Definition yao ya kanisa ilikuwa jengo kumbe walikosea sana!
KudadekiWazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.
Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.
Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.
Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.
Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.
Nikaona tusikwazane, tusikerane.
Dah wazungu si watu wazuriKwamba hili si kanisa?!?!
View attachment 2083561
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahKwahiyo huko kwenye upagani ulikokimbilia hakuna ushoga? Nenda kanisani ndugu kamuabudu Mungu wako! Usiache mashoga wakupangie maisha! Kuwa na msimamo, ishi maisha yako, muabudu Mungu wako! Ningekuheshimu sana kama ungeipigania Imani yako kwa kupinga ushoga ndani ya kanisa lako! Kwa kifupi, UMEKIMBIA LINDO!!
Huna hata unalolijua wee, bora ukae kimya tyuuh, aibu naona mie lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani kwanza tunapaswa kuelewa kanisa ni nini? Binafsi nafikiri kanisa si jengo! Kanisa ni mimi na wewe! Kwahiyo nafikiri ulichanganya tokea awali! Hata tukikutana chini ya mti kwa ajili ya kumuabudu Mungu wa kweli, sisi ni kanisa! Ukisema umeacha kwenda kanisani nadhani umekosea!
Wee ndo wasema, wenzio wako huko wanaishi ktk ndoa yao.Wananuka kinyesi
Choko dari, umeghadhibishwa? Na unajinasibu na 'kunya', maana harufu ile haiwabughudhi!Kwa hiyo tukusaidiaje???!!sema wewe ni din nyingine sio mkristo unajiongelesha uonekane upo??!! Je ukiulizwa ulishuhudia kanisa gani linafungisha ndoa hizo utajibu, wewe ni kilaza bila chenga kabisa tunamashaka na IQ yako hebu kanye kwanza umeshiba makange
Unawajua wahindi kwa undani? Sidhani kama kuna jamii iliyosalimika! Huko uarabuni, walitawaliwa au kuingiliana vipi kidini na wazungu, mbona yapo pia?KIPI KIFANYIKE NIYO SWALI LA KUJIULIZA......HALAFU MBONA WAHINDI WAMETAWALIWAMIAKAZAII YA WAAFRIKA , MBONA WAO BADOWAPO NA TAMADUNI NA DINI ZAO? WHY SISI?
sijakuelewa mkuu, hebu fafanua hoja yakoUnawajua wahindi kwa undani? Sidhani kama kuna jamii iliyosalimika! Huko uarabuni, walitawaliwa au kuingiliana vipi kidini na wazungu, mbona yapo pia?
Angalia sehemu kwenye bible ambayo inaruhusu hilo kama hamna? acha kutafuta visingizio vya kuhalalisha kutokwenda kwako kanisani, Mi binafsi huwa siendi kanisani lakin point yako ni weak mnoWazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.
Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.
Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.
Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.
Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.
Nikaona tusikwazane, tusikerane.
Hakuna kitabu cha Biblia ila kipo cha injili ambacho ndicho yesu alipewa ,Biblia ni nakala zilizochakatwa na wazungu kwa maslahi yao Binafsi fungua macho na moyo Uuone ukweli na HakiAngalia sehemu kwenye bible ambayo inaruhusu hilo kama hamna? acha kutafuta visingizio vya kuhalalisha kutokwenda kwako kanisani, Mi binafsi huwa siendi kanisani lakin point yako ni weak mno
Jina lako lenyewe linasadifu unavyochokonolewa, utaongea lipi la maana?Kwa hiyo tukusaidiaje???!!sema wewe ni din nyingine sio mkristo unajiongelesha uonekane upo??!! Je ukiulizwa ulishuhudia kanisa gani linafungisha ndoa hizo utajibu, wewe ni kilaza bila chenga kabisa tunamashaka na IQ yako hebu kanye kwanza umeshiba makange
Mashehe wengi ni wapenzi wa kula jicho...eti suna
Tofauti na hao wanaofunga ndoa ni usiri(misikiti) na uwazi(makanisa).
Wewe mwabudu Mungu usifuate watu.
Amri ya ngapi inatosema ni lazima uende kanisani?Angalia sehemu kwenye bible ambayo inaruhusu hilo kama hamna? acha kutafuta visingizio vya kuhalalisha kutokwenda kwako kanisani, Mi binafsi huwa siendi kanisani lakin point yako ni weak mno
Comment ya kulipiza kisaai unajaribu kurusha na wewe dongo kwa waislamu ili wapate maumivu kama ulivyopata wewe, Hakuna Suna ya ushoga kwenye uislamu ni dhambi kubwa na limekewa vikali kwenye Quran na mtume .
Mwenye kufanya ushoga amekaidi makatazo ya Quran na ya mtume ,na mwenye kukaidi ametenda dhambi na mwenye kutenda dhambi makazi yake motoni.
No hard feelings pokea tu ukweli mkuu
Maneno ya Mungu yanakua na maana pana Sana hebu niwekee Sawa baina ya haya maneno mawili "wafiraji" na "wenyekulawiti"Ngoja nikuweke sawa.Ukristu muongozo wake ni Biblia na hakuna hata sehemu moja inayoruhusu au kuchochea ushoga in fact kuna makatazo rasmi kabisa yameainishwa mule
1 Wakorintho 6:9-10
[9]Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
[10]wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
Sasa nije upande wenu ndugu zangu mnaomwaga damu za watu usiku na mchana kwa kisingizio cha kumcha Mungu.Dini kuruhusu mauaji ya kujilipua na kuchinjana we unaona ni sawa? Mnanishangaza mnapoona ushoga ni dhambi kubwa kuliko ukatili mnaoufanya kwa jina la dini