Niliacha kwenda kanisani baada ya kuona makanisa yanafungisha ndoa za jinsia moja kwa kigezo cha human rights, huku yakipinga ndoa za mitala

Niliacha kwenda kanisani baada ya kuona makanisa yanafungisha ndoa za jinsia moja kwa kigezo cha human rights, huku yakipinga ndoa za mitala

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] harufu ya nn? Kupenda kwangu haimaanishi wote wapende, au kutopenda kwako haimaanishi wote wasipende.

Kila mtu afanye vile atakavyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi unaumia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah we muda wote unanukia nya nya tu[emoji2307]
 
Mbona Yesu Alikwisha Tufundishwe kwamba hao ni magugu!
Na kutuelekeza namna ya kuyashughulikia!

Angesema Tufanye kama ww au tuwageuze kibla mbona pangechimbika!

Yesu Anakupa Jibu
[emoji116][emoji116]
Mathayo 13
25 lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.

26 Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu.

27 Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katika konde lako? Limepata wapi basi magugu?

28 Akawaambia, Adui ndiye aliyetenda hivi. Watumwa wakamwambia, Basi, wataka twende tukayakusanye?

29 Akasema, La; msije mkakusanya magugu, na kuzing'oa ngano pamoja nayo.

30 Viacheni vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni ghalani mwangu.
Mwenye kuelewa na aelewe ila mwenye mzuka wa kuendelea kuchati naye ruksa kuendelea.
 
Tangu mwanzo ulikuwa unasali kwenye dini iliyoanzishwa ili tu Mfalme Henry VIII aweze kuoa mke mwingine kwa ndoa baada ya mke wa kwanza kutozaa mtoto wa kiume. Papa alitishia kumfungia sakramenti na Ukatoliki ukawa ni sehemu ya upinzani kwake. Yeye pamoja na uzao wake uliotokana na Anglikana ukipigana vikali na Ukatoliki na mpaka ikasimama kuwa dini kuu ya nchi.

Bila hivyo the Church of England isingekuwepo. Then wakaileta Tanzania kutuibia. In short dini zote zina makandokando mengi
 
Wazungu waliotuletea dini, huko kwao makanisa yanageuzwa kuwa bar.

Wengi wameacha kusali, hawaendi tena makanisani, ule moto wa injili uliokuwa ukiwaka ndani yao sasa umepoa kabisa, na jivu lake limekuwa la baridi kabisa.

Huku kwetu Tanzania, wengi hawaendi kanisani labda kwasababu ya ubize na sababu nyingine.

Nikiwa mu Anglikana, nilisikitika kwa kitendo cha kanisa langu la Uingereza kufungisha ndoa mashoga, huku wakikataa mtu kuwa na wake wengi, eti ni dhambi.

Wanatetea ndoa za mashoga na kuziita eti ni kielelezo cha haki za binadamu.

Nikaona tusikwazane, tusikerane.
Ngoja zitto na fatuma karume wakusikie utajua hujui

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
wewe acha utoto, hata mimi nilipokuwa mtoto asilimia 100% nilijua mwanamke anazalia matakoni.

Nilikuja kugundua ukweli baada ya kuingia darasa la sita kwenye topic ya mfumo wa uzalishaji (reproduction system).

Wewe ni utoto unakusumbua, ukikua ndo utaelewa vzr.
Unataka nikue mara ngapi? Au unataka uthibitisho gani kujua kuwa nimekua?

Unapotoa hoja acha kuleta personal attacks, unadhihirisha ufinyu wa fikra zako. Poleeeeeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mungu alisha toa mwongonzo so yakitukia msishangae

Warumi 1:26
Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
Warumi 1:27
wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.
Warumi 1:28
Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
Warumi 1:29
Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya,
 
Halafu mkuu huelewi maana ya "Ndoa!"
Ndoa ni kati ya Mwanaume na Mwanamke tu, si zaidi ya hapo wala pungufu!
Hao wanao pumuliana watamnyoshe kwa jina jingine!
Hivi mkuu huku uswazi mchezo huo kwa nini unaitwa mchezo wa kiisilamu?
Tembelea magereza wafungwa wengi ni kutoka tawi hilo la imani, hata waharibifu wengi mtaani ni kutoka huko. Rejea wimbo wa Mambo ya Pwani wa Solo Thang
 
Inafikirisha sana. Mpaka mwisho binafsi naona dini ni sehemu ya utamaduni wa pahala fulani, Kwanini wakatae ndoa za mitara ila wakubali ndoa za jinsia moja. Jibu rahisi kiutamaduni ubeberuni utamaduni wao ni mke na mume mmoja.
Ni lazima na sisi tukubali kuishi kwenye uhalisia wetu. Tuzingatie tamaduni zetu nzuri
Wasitupangie maisha
 
Yupo kiongozi alisema mkiona wazungu wananipigia makofi mjue nimewasaliti!.. tuliacha tamaduni zetu nakukimbilia tamaduni za hovyo,ilitakiwa tuboreshe vyakwetu. Hivi sasa tumeshikwa macho na hatuoni wapo wachache wameshafunguka macho naandika tena hata hizi dini ni utawala umbao umejichimbia kwa uzalimu fulani mtakuja kuyaona haya kwa kuchelewa hii sio nadharia.
Mafundisho ya Ukristo yanapinga ushoga , ushoga ni maagizo ya binadamu na sio ya Kimungu
 
Back
Top Bottom