Niliahidi kuja na 'Exclusives' Saba (7) Saa 3 hii sasa naweka Mambo yote hadharani...

Unasema sababu kubwa ya wana Yanga kusema kuwa watachukua kombe kwa miaka 7-8 ni uhusiano wa Barbara na Hersi, kwa maana ya kwamba atakuwa anamvujishia siri za Simba Sc.

Lakini wewe huyohuyo umedai kuwa muda wowote CEO wa Simba Sc na Muddy watajiudhuru, sasa hizo Siri za Simba Sc Barbra atazitoa wapi??

Kwa haya maandiko yako yenye kutaka attention kijinga utakuwa unawashika wenye akili ndogo kama wewe.
 
Watani zangu HawaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸΆ
Hawakosi la kusema. Tukiwashinda lazima kuwe na mgogoro au viongozi kutimuliwa.
Endeleeni kuvuana nguo hadharani sisi tunaendelea kujiandaa kucheza mpira UWANJANI.
 
Acha Kuteseka na Kusumbuka nami MImi ndiyo GENTAMYCINE na kwa Kujiamini kabisa tena 100% zote nilichokiandika hapa ni sahihi na ukweli mtupu tu.

Huwa sibahatishi pale nikiamua Kufanya Investigative Journalism ambayo pia nimeibobea ole mbaya na hakuna Mfano.

I'm Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer na Kinachowadanyeni mpate Taabu nami ni hii 'Natural Charm' yangu niliyobarikiwa nayo na Mwenyezi Mungu.
 
Mbona hata tu huu Uandishi wako hapa unaonyesha Wewe ni Mwendawazimu ( Chizi ) Mwenzangu?

Naona leo umeamua uje na hii ID na ile nyingine Uipumzishe kwani huwa nakupiga Madongo ya Ukweli kabisa kuhusu 'Kukaziwa' Mkeo na Dereva Bodaboda.

Cc: Matola
Wewe gendaeka huna lolote,umekaa kijiweni umekunywa kahawa yako,ukawaza na kuwazua uje na mpya gani[emoji23][emoji23][emoji23] ndio unabumba huu ujinga!! Tunashukulu kwa vichekesho vyako japo havichekeshi ila tunatambua uwezo wako wa comedy!!pambana muda so mrefu utampita hata kingwendu ngwendulile!!popoma limenyanyua panga uku bukta imechanika matakoni.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Mji wa moto huu πŸ”₯
Nimeshalipua Bomu hilo ( hili ) Mkuu na sasa hivi nimetoka Kudokezwa kuwa karibia 90% ya Viongozi wa Simba SC akiwemo Mo Dewji Mwenyewe na CEO Barbara Gonzalez wameshausoma huu Uzi huku Wajumbe wengine sasa wakijuta Kumuamini huyu Barbara Gonzalez kwa Nafasi yake hiyo ya CEO.

Kuna Tukio litatokea mkae tayari Wote.
 
Mwaka huu makolo wamesoma na kuzusha vitu vingi sana kwenye mitandao
 
Unasema sina Ajira ( Kazi ) na ndiyo maana muda wowote nipo JamiiForums tu, sasa inakuwaje Wewe mwenye nayo unaacha kufanya Kazi na Unahangailka tu hivi nami?

Leo Dereva 'Bodaboda' anasema ana Ratiba ya 'Kumbandua' tena Mkeo Alasiri hivyo Usiku utakula tu 'Makombo' yake sawa?

Cc: Matola
 
Kuongoza waswahili lazima ujifunze na kuroga...hawatambui usomiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu sio kila mtu anaweza kujiajiri, halafu pia ujue wasomi wengi ni waogakujiajiri hatari
 
MO Hana hela na kama anazo basi ni mswahili kama wa Swahili wengine
 
Kunguni wamesagwa kisawasawa hapa na sasa wamegeuka unga wa ugali...


Mzee umetisha
 
Your article is too personal to be believed by any sober person.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…