Niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza, mbona siwaoni?

Niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza, mbona siwaoni?

Nikiwa o level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza

Mbona huku chuo siwaoni??
AU wanakuwa wapi??
Mbona kila nikitongoza nakataliwa?
Mbona mademu wanapenda

Maneno Haya si mageni jijini.
Labda kwa mgeni jijini
Ila kwa wenyeji wa jiji
Ni maneno yaliyozoeleka jijini.
😂😂😂

Dogo unamaisha mafupi mno jijini 😂🇹🇿
 
Chuo gani kwanza upo,

Nenda samaki samaki , starpark utawakuta sana ikibidi sogea hadi Kaumba pale, mali safi pesa kidogo.

Kwasaivi kuwapata ni ngumu subiri boom likate kwanza, utakula uchoke yani wewe mfuko wako na nguvu zako.

Kwa Mbeya sogea hapo Mafiati wee kuna vitoto vya SAUT CUOM tena certificates vibichi kabisa

Hapo makao makuu, sogea viwanja kama Pestana, shuka hadi Mipango pale, CBE hukosi

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
umeacha kazi ya udereva bajaji?

Oya bro kausha Basi mbona unataka kuharibu Hali ya hewa😂
 
Nikiwa o level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza

Mbona huku chuo siwaoni?
AU wanakuwa wapi?
Mbona kila nikitongoza nakataliwa?
Mbona mademu wanapenda Hela?
Wamemaliza chuo now
 
Nikiwa o level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza

Mbona huku chuo siwaoni?
AU wanakuwa wapi?
Mbona kila nikitongoza nakataliwa?
Mbona mademu wanapenda Hela?
Kujiuza Kuna aina tatu ya kwanza n wale wanaokaa barabarani kujiuza ya pili ni una Dem lakin humli mpaka uwe umeshampa hela ya kutosha na ya tatu ni Dem hata sio wako ila anakuomba umkopeshe hela lakn ukimdai anakupa K
 
Eti wanapenda hela,hapo hapo huoni wakijiuza,,sema huna hela ya kuwanunua.
 
Nikiwa o level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza

Mbona huku chuo siwaoni?
AU wanakuwa wapi?
Mbona kila nikitongoza nakataliwa?
Mbona mademu wanapenda Hela?
Si wewe ndiye huyo uliyeambiwa anajiuza ?
Kama haujioni, tafuta kioo ujitazame.
 
Ungekomaa kwanza na shule hasa Communication Skills n DS...GPA nzuri hutengenezwa 1st n 2nd semisters
 
Kama unachokiona hakiendani na ulichoambiwa,basi unatakiwa kuamini macho yako
 
Nikiwa o level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza

Mbona huku chuo siwaoni?
AU wanakuwa wapi?
Mbona kila nikitongoza nakataliwa?
Mbona mademu wanapenda Hela?
Elewa neno kujiuza.

Kuna anaejiuza na kuna anaenunua kinachojiuza. Kiunganishi ni HELA.

Kwani wewe hupendi HELA. Tafuta pesa ndio utaiona bidhaa.. Unatongoza, halafu akubali umchafue, ataoga na nini kama hatapenda pesa, atakula nini aendelee kutikisa nyashi, atanukiaje, jinz la Vunja bei na Tshirt atanunua na nini.

Acha masihara bhana, subiri upate pesa, sio unaingia first year tu unaanza kutafuta mademu.

Wa bure kama upo Dar nenda kambi ya fisi kuna walevi wa buku 2 hadi 3 utapata. Hapo chuo ukihonga utakufa njaa
 
Nikiwa o level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza

Mbona huku chuo siwaoni?
AU wanakuwa wapi?
Mbona kila nikitongoza nakataliwa?
Mbona mademu wanapenda Hela?
Nani alikwambia?

Rudi ukamuulize akuonyeshe walipo.
 
Back
Top Bottom