Niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza, mbona siwaoni?

Niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza, mbona siwaoni?

Nikiwa o level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza

Mbona huku chuo siwaoni?
AU wanakuwa wapi?
Mbona kila nikitongoza nakataliwa?
Mbona mademu wanapenda Hela?
Tuwekee sura yako kwanza tuone tatizo ni nini.
 
Nikiwa o level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza

Mbona huku chuo siwaoni?
AU wanakuwa wapi?
Mbona kila nikitongoza nakataliwa?
Mbona mademu wanapenda Hela?
Huna hela
 
Ila mademu wa chuo wengi wanafake sana maisha hasa hawa wanaopanga kama kigamboni, ukimuona chuo anaonekana toto la kisha na ki iPhone kumbe hata vocha hana hapo bado sijazungumzia alipopanga
 
Kwenye hayo mageti ya Chuo si Kuna Bodaboda hapo, mwambie unahitaji kampani ya mtoto wa Chuo.

Japo huwa hawapendi ku-date na wanachuo wenzao.

Ila andaa kama 70k hivi kama signing fee yao 🤗
 
Know the model of business,

Wanawake wote wanajiuza nikujua namna gan anafanya biashar yake
 
Nakumbuka miaka hiyo nilikuwa nikivaa shati kubwa sichomekei, linakuwa kama mkia wa mjusi, huku nywele nikizifuga.

Miaka hiyo kulikuwa kuna visu kweli, ndio fasheni ya kuvaa vipedo ndio ilikuwa imeingia, nilikuwa nikitembelea chuo kwa chuo angalau kuosha macho tu.
Maisha ya 'boom' yalikuwa raha sana.

Unakuta mzee ana miaka 65, anasoma ngazi ya cheti fani ya ICT​
 
Usijekuwa SEKUCO ukachanganya na vyuo wakati huko mademu wote wanavaa masketi ya malinda kama wanakwaya wa kisabato. Njoo IFM dogo nikupeleke Tips
 
Malaya hatongozwi na kupenda hela ndio sifa yake kuu. Wewe si hajabu hata Venues huzioni sasa.
 
Nikiwa o level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza

Mbona huku chuo siwaoni?
AU wanakuwa wapi?
Mbona kila nikitongoza nakataliwa?
Mbona mademu wanapenda Hela?
ukiona huwaoni ujue we sio customer, wanafata wale wanaoona potential clients. Ukiona huwaoni, ni vile you'r not the needed customer. huna cha muhimu cha kufanya uwe mteja wao my son[emoji4]
 
Nikiwa o level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza

Mbona huku chuo siwaoni?
AU wanakuwa wapi?
Mbona kila nikitongoza nakataliwa?
Mbona mademu wanapenda Hela?
Fala Sana wee kijana eti mbona mademu wanapenda hela?😂

Huko ndio kujiuza kwenyewe.
 
ukiona huwaoni ujue we sio customer, wanafata wale wanaoona potential clients. Ukiona huwaoni, ni vile you'r not the needed customer. huna cha muhimu cha kufanya uwe mteja wao my son[emoji4]
buswagg hiyo profile pic ni wewe?
 
Back
Top Bottom