Niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza, mbona siwaoni?

Niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza, mbona siwaoni?

Hivi ww jamaa una akili kweli?
Yaani unasema wanapenda hela alafu wakati huo unasema huwaoni wanawake wanao jiuza?
Kwahiyo ww ulitaka wajiuze kwa kutaka maembe na sio hela?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanajiuza ndani ya Mahusiano

Utaelewa Tu mwanangu na kama Demu kapanga Utaenjoy Tu

Ni heri udate na Demu anayekaa kwao kuliko Hawa wanaopanga utakuwa na majukumu kumzidi babaako
Mnachekeshaaaa nyiee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usijekuwa SEKUCO ukachanganya na vyuo wakati huko mademu wote wanavaa masketi ya malinda kama wanakwaya wa kisabato. Njoo IFM dogo nikupeleke Tips
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbavu zangu mie, Woiiiiiiih
 
Back
Top Bottom