aikamatemu
JF-Expert Member
- Jan 29, 2020
- 464
- 1,897
muebrania wewe ni kiboko, maana madereva wazoefu wa hiyo barabara kwa mchana mkali hawawezi kufika Singida kwa muda huko, kuna vizuizi kibao bumps 50kmp/h road block km za Dumila Gairo Kintikunk, bado barabara ni mbovu si mkeka.
ungekuwa ulitembea usiku na gari za serikali labda
Halafu hii tabia ya kupenda kukimbiza magari nayo ni kama aina flani ya uraibu. Kuna watu wakiwa road yuko radhi atumie gharama kulipa tu faini ila gari akimbize.
Heshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
Na uwezo wa kuhandle barabara mbovu ...lkn kuchanganya na speed ni kawaida sana sedan nyingi sana zinaeza tembea zaidi ya hapo...Ni kweli.
LC 200 zinawanyanyasa kina Harrier au Vanguard.
Ila ikikutana na proper german machine anatema ulimi.
Subaru ni balaa...hata kama haina turbo subaru ni gari ya mbio na mafuta haili sana, ligi za barabarani hua zinanoga sana na zinachamgamshaGari yangu bora kwa muda woote ni subaru,soon navuta Ford renger niwe imara mjini
Huyo ni tahira sasa hz linafika hata 180 kweli🤔 mwenye hz anaachwa na noah lami vizuri tu ...Mashine ni M5 4.4 L twin turbo V8 engine, nimewahi kuendesha hii gari from Dar to Mbeya napita ilula jamaa yupo na cruiser HZ ilikuwa DFP yupo na mzungu akaanza ligi nikamfurahisha na cruiser lake alikuja kunikuta Igurusi akasimama akaja kuangalia ile gari hakuamini kama ingemfunika vile akaomba rematch mpaka naingia mbeya hakuniona nilipopita[emoji23] GERMAN CARS ARE THE BEST
Dualis gari ya kike hio mwanaume endesha murano, xtrail
Subaru Legacy B4 na Forester SG5/SH5 zipo makini sana ziwe ma turbo zisiwe na turbo ni wanyama wa kuotea mbali mkuu, ila huwezi shindanisha gari kubwa na ndogo yenye engine hioMashine ni M5 4.4 L twin turbo V8 engine, nimewahi kuendesha hii gari from Dar to Mbeya napita ilula jamaa yupo na cruiser HZ ilikuwa DFP yupo na mzungu akaanza ligi nikamfurahisha na cruiser lake alikuja kunikuta Igurusi akasimama akaja kuangalia ile gari hakuamini kama ingemfunika vile akaomba rematch mpaka naingia mbeya hakuniona nilipopita[emoji23] GERMAN CARS ARE THE BEST
x trail gari moja ya kijinga sana.....kaulizie mafundi
Murano siipendi mimi
Mafundi wabongo ndiyo wakijinga...kawaulize Wajapani......wakishindwa kutengeneza kitu hawataki kukubali kuwa wameshindwa...wanaaza kusingizia kuwa hakifai.....
Ingekuwa ni gari ya kijinga ungeshasikia recall huko kiwandani na leo hii kusingekuwepo na Xtrail Generation ya tatu..
ni haki yako,1HZ haina mwendo ila ina nguvu na namini haikuwa na turbo.....kutana na 1VD single turbo tu au 2UZMashine ni M5 4.4 L twin turbo V8 engine, nimewahi kuendesha hii gari from Dar to Mbeya napita ilula jamaa yupo na cruiser HZ ilikuwa DFP yupo na mzungu akaanza ligi nikamfurahisha na cruiser lake alikuja kunikuta Igurusi akasimama akaja kuangalia ile gari hakuamini kama ingemfunika vile akaomba rematch mpaka naingia mbeya hakuniona nilipopita[emoji23] GERMAN CARS ARE THE BEST
Hela sina ila xtrail hata bure sitaki[emoji23][emoji23]Dualis gari ya kike hio mwanaume endesha murano, xtrail
Kama anaizungumzia hiyo naamini kabisa dere alikua amejichokea na hahitaji kutoa rushwa wala fine.Hapa unazungumzia Subaru Forester XT ?
kuna jamaa ilikuwa Hiyo ndo kazi yake,
toka alivyokula mzinga kitonga,
breki anakanyagia kisigino mafuta anakanyagia dole gumba
sijui nani alianzisha huu uvumiHela sina ila xtrail hata bure sitaki[emoji23][emoji23]
Gari mbovu hizi sijapata ona. Kweli mkuu katika magari ukaamua utaje xtrail??
Nimejisisikia vibaya sana[emoji23][emoji23]
Aah wapi. Mabovu haya. Yani ni kubwa jinga hili gari[emoji23]sijui nani alianzisha huu uvumi