Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Mashine ni M5 4.4 L twin turbo V8 engine, nimewahi kuendesha hii gari from Dar to Mbeya napita ilula jamaa yupo na cruiser HZ ilikuwa DFP yupo na mzungu akaanza ligi nikamfurahisha na cruiser lake alikuja kunikuta Igurusi akasimama akaja kuangalia ile gari hakuamini kama ingemfunika vile akaomba rematch mpaka naingia mbeya hakuniona nilipopita[emoji23] GERMAN CARS ARE THE BEST
 
muebrania wewe ni kiboko, maana madereva wazoefu wa hiyo barabara kwa mchana mkali hawawezi kufika Singida kwa muda huko, kuna vizuizi kibao bumps 50kmp/h road block km za Dumila Gairo Kintikunk, bado barabara ni mbovu si mkeka.
ungekuwa ulitembea usiku na gari za serikali labda

Boss sehemu mbaya ni katikati ya gairo na dumila tuu ndio barabara imesagika sanaaa,.

Nimesema nilitenga kiasi cha faini 150,000 na nilipigwa 100,000
 
Crossrider naikubali
Heshima kwenu wakuu.

Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)

Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.

Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu

Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.

Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)

Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,

Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa

Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.

Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.

Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
 
Ni kweli.

LC 200 zinawanyanyasa kina Harrier au Vanguard.

Ila ikikutana na proper german machine anatema ulimi.
Na uwezo wa kuhandle barabara mbovu ...lkn kuchanganya na speed ni kawaida sana sedan nyingi sana zinaeza tembea zaidi ya hapo...

Eg kuna siku tumesimama sehemu tukaona Prado j150 ya serikali li diesel limeshakolea ni hii engine ya miaka ya karibuni 1gd ftv ...ilikuwa inatembea ..ni kipande ambacho unaeza ona zaidi ya kilometa maana kuna ka mlima imekuja speed mno kila mtu alikuwa anashangaa bajaj zikakaa pembeni mwamba alipita na shimo hadi nilimpa saluti afu ngoma iko stable ....

Later ikaja brevis ilikuwa inatembea mno ila kupita kwa lile shimo pale dereva ilibidi apaki aanze kagua gari...ndipo nikaona utofaut wa gari dogo na kubwa ...ila wakiekewa runway yule wa prado anaachwa vizuri ila kwenye kona na mabonde ya kushtukiza yule mwamba alikuwa na more than 160 na kapita kama kakanyaga tu ka simu gari ipo stable...
 
Gari yangu bora kwa muda woote ni subaru,soon navuta Ford renger niwe imara mjini
Subaru ni balaa...hata kama haina turbo subaru ni gari ya mbio na mafuta haili sana, ligi za barabarani hua zinanoga sana na zinachamgamsha
 
Mashine ni M5 4.4 L twin turbo V8 engine, nimewahi kuendesha hii gari from Dar to Mbeya napita ilula jamaa yupo na cruiser HZ ilikuwa DFP yupo na mzungu akaanza ligi nikamfurahisha na cruiser lake alikuja kunikuta Igurusi akasimama akaja kuangalia ile gari hakuamini kama ingemfunika vile akaomba rematch mpaka naingia mbeya hakuniona nilipopita[emoji23] GERMAN CARS ARE THE BEST
Huyo ni tahira sasa hz linafika hata 180 kweli🤔 mwenye hz anaachwa na noah lami vizuri tu ...

Tushatoka na noah DT ...tulikuwa nane ile tumesimama sehemu ikapita cruza ule upepo hadi gari ikayumba ..huwezi amin less than a minute dere wa noah akaanza iomba cruza tukaipita
 
Mashine ni M5 4.4 L twin turbo V8 engine, nimewahi kuendesha hii gari from Dar to Mbeya napita ilula jamaa yupo na cruiser HZ ilikuwa DFP yupo na mzungu akaanza ligi nikamfurahisha na cruiser lake alikuja kunikuta Igurusi akasimama akaja kuangalia ile gari hakuamini kama ingemfunika vile akaomba rematch mpaka naingia mbeya hakuniona nilipopita[emoji23] GERMAN CARS ARE THE BEST
Subaru Legacy B4 na Forester SG5/SH5 zipo makini sana ziwe ma turbo zisiwe na turbo ni wanyama wa kuotea mbali mkuu, ila huwezi shindanisha gari kubwa na ndogo yenye engine hio
 
Acha ubish ww huijui xtrail,ile sio gar rafik kwa mazingira yetu,ugonjwa wake mkubwa kuchemasha na gia box
Mafundi wabongo ndiyo wakijinga...kawaulize Wajapani......wakishindwa kutengeneza kitu hawataki kukubali kuwa wameshindwa...wanaaza kusingizia kuwa hakifai.....

Ingekuwa ni gari ya kijinga ungeshasikia recall huko kiwandani na leo hii kusingekuwepo na Xtrail Generation ya tatu..
 
Mashine ni M5 4.4 L twin turbo V8 engine, nimewahi kuendesha hii gari from Dar to Mbeya napita ilula jamaa yupo na cruiser HZ ilikuwa DFP yupo na mzungu akaanza ligi nikamfurahisha na cruiser lake alikuja kunikuta Igurusi akasimama akaja kuangalia ile gari hakuamini kama ingemfunika vile akaomba rematch mpaka naingia mbeya hakuniona nilipopita[emoji23] GERMAN CARS ARE THE BEST
ni haki yako,1HZ haina mwendo ila ina nguvu na namini haikuwa na turbo.....kutana na 1VD single turbo tu au 2UZ
 
Back
Top Bottom