yaramazlik
Senior Member
- Apr 7, 2012
- 174
- 251
Moja ya gari ya kijinga interms of speed ni hii toyota vanguard with 2AZ engine bora ile ya 2GR engine.CC sio sababu ila Dualis hawezi kumuacha Vanguard. 2AZ ina nguvu sana, angalau kwenye Vanguard naweza kushuhudia, na gearbox yake gia 7 si mchezo
Moja ya gari ya kijinga interms of speed ni hii toyota vanguard with 2AZ engine bora ile ya 2GR engine.
Huyo wa Subaru aliogopa fine tu. Forester ya mwaka 2009 tu kwa mfano, Dualis haiwez kupambana nayo asilani!Heshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
Dualis haiwez kuipita Subaru Forester,mimi nakataa. Ingekua Nissan Fuga, anaweza kupambana na kidogo na Subaru kama Forester. Inawezekana dereva wa Subaru hakua na haraka au hakutaka ligi.Mkuu samahani kidogo hyo subaru ulio ichapa ni ipi.maana subaru ni mziki mzito au dere mchovu
Alikua huyu jamii wa DED Geita?.VXR ni moto wa kuotea mbali. Bei ni Tsh 460m/-Huyo mnyama achana nae, tulipishana nae tukiwa na Audi, tulikuwa tunaenda mtwara,barabara nyeupe mixer pori asee jamaa alitoka huko alikotokea in a minute Alikuwa ashapotea kwenye anga zetu. Tulikuwa tunatembea 160-180/kph
Jumatatu naitest Wish, Dar MbeyaHeshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
CC sio sababu ila Dualis hawezi kumuacha Vanguard. 2AZ ina nguvu sana, angalau kwenye Vanguard naweza kushuhudia, na gearbox yake gia 7 si mchezo
Ni jamii hiyo. Sasa tumefika Mtwara hotel tuliyofikia ndo tukaikuta ile gari imepaki maana nao walifikia hapo pia na dreva yuko kwa nje ndani ya ile hotel na ilionekana kama wamefika muda mrefu sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787],tukamwambia asee ulitupita kama upepo sehemu fulani akacheka sana!!Alikua huyu jamii wa DED Geita?.VXR ni moto wa kuotea mbali. Bei ni Tsh 460m/-
Ha ha [emoji16][emoji16][emoji1787]uwongo chalii akeeHahah aiseee basi basi mkuu inatosha.
Jumatatu naitest Wish, Dar Mbeya
Nikutumie na picha yangu unijue mkuu[emoji23][emoji23]binadamu hatufanani tunaridhika na tulivyopewa uwezo wa kuvihandleView attachment 1647569View attachment 1647571
Rav 4 L kilitime inakukalisha chini jombaa.Heshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
Swali zuri sana hili,atujibu kwanzaHao wakina crown kabla ya safari mlikubaliana mshindane? au ulikuwa unajishindanisha peke yako?
Vanguard ina HP nadhai 170 au ina ngapi mkuu?
Unataka Peugeot 504, dahNdaga piijoooo, nalooliiii.
Ndaga piijoooo, nalooliiii.
Hayo ni mabadiliko ya teknolojia, na dhumuni la teknolojia ni kurahisisha shughuli za binadam za kila siku, sio automatic tu bado tutakuja kuona uzalishaji mkubwa wa magari yanayojiendesha yenyewe.Na mwanaume unajisifia unaendesha dualis,ist, mwanaume anaendesha manual hzo automatic achien dada zetu
Mbona ulichelewa saba mkuu... Saa3 asubuh?Huo mnyama nlishatoka nao dar saa 10 alfajir dom nkafika saa 3 asubh anajitahid kiukwel
Nissan Dualis engine power yake haina uwezo wa kuishinda toyota crown ama subaru either forester ama legacy. Ukweli ni kwamba ww ulikuwa unashindana mwenyewe. Mwenye Crown na Subaru hawakuwa wanashindana. Yaani Dualis imuache Crown.. MaweeeeeHeshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
unaijua vizuri Nissan fuga yenye VQ35..??Huyo wa crown mzembe sana, nikiwa na crown hamna toyota (ukiitoa v8) au Nissan itakayoniacha,
Unijie na mtoto mkali kutoka mbeya..[emoji41][emoji41]Jumatatu naitest Wish, Dar Mbeya