Huu mtindo wa ligi si upend kabisaa, unaweza kufa kwa pressure iv iv,
Kuna likizo nlkua natoka home Songea kuja shule Pwani, sasa shemeji yeye ana gari lake V8, nae alikuwepo kule ndo alikua anarud home kwake Moro,
Jaman kweny gari tulikua me na yeye tu, tobaaaaah nilihis sitafika shule yaaan anaburuza gari utadhan anafukuzwa na kiumbe hatari,
Ndan ya gari nakesha kuomba na kusali, yeye wala hajari.
Kona za njombe ana mimina tyuuuh,. Yaan analala nazo,
Yaaan ana overtake hat pasipotakiwa,.
Songea tumetoka SAA 10 alfajir, Moro tumeingia 7 na dk 50,, stasahau kamweeeh, shule nliumwa sku 3 nalala tyuuuh.
Sitak tena kupand gari yake. Khaaaaaah.