Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

Umasikini sio laana na utajiri sio baraka.

Unaweza ukawa tajiri na bado ukawa na laana ya Mungu na unaweza ukawa masikini na ukapewa baraka na Mungu and vice versa !!

Hakuna mwanadamu anapenda umasikini ila kuzaliwa ktk familia duni au yenye utajiri ni mipango tu ya Mungu. Mungu humpa na kumnyima amtakae kutokana na elimu na hekma yake..
Mungu halaani. Acha fix
 
Mtoa mada, nikweli kabisa, hamna mtu anayependa umasikin.


Lakini hapa Duniani, mambo makubwa mawili usopasa kuyacheka /kudharau

1---UMASIKINI

2----JELA.


hivi vitu ni rahisi Kwa mtu yoyote chini ya Jua Tajiri, Masikin, mwenye Elimu n k kuvipata .
 
Hiyo Ni tabia tu ya kupenda kitonga na uoga wa majukumu ambao Ni janga la hiki kizazi.....yaani mwanaume kabisa unajinadi lazima nioe mtoto wa kishua ili iweje wajomba wakuendeshee familia kwa Mali za baba mkwe??Kitawakuta kitu Shauri zenu
Wanaume tunaisha sana maombi yenu tafadhali
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni kitu fulani hivi cha kurithi

Wanaume masikini kuachwa ruksa ila wanawake masikini kuacha utaambiwa ni kukufuru Mungu...

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mbinguni moja kwa moja
Aisee
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni kitu fulani hivi cha kurithi

Wanaume masikini kuachwa ruksa ila wanawake masikini kuacha utaambiwa ni kukufuru Mungu...

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mbinguni moja kwa moja
Tujifunze kupenda bila sababu
 
Nilijenga ukweni nyumba ya kawaida ya rooms tatu na kuikarabati ile ya zamani.
Pia nilisaidia kusomesha wadogo zake mke wangu wote watano, wawili tokea wapo primary na watatu tokea wapo secondary, chuo kikuu wako wawili mmoja SUA na mmoja KCMC na hao watatu wako ufundi wote wapo VETA.
Kwanza wakwe zangu wananipenda hadi kero ukija kwa hawa mashemeji zangu wananiheshimu na kunithamini kama baba yao.
Mkuu tumebarikiwa afya na mali ili tuwe msaada na faraja kwa wahitaji.

Nilijenga ukweni nyumba ya kawaida ya rooms tatu na kuikarabati ile ya zamani.
Pia nilisaidia kusomesha wadogo zake mke wangu wote watano, wawili tokea wapo primary na watatu tokea wapo secondary, chuo kikuu wako wawili mmoja SUA na mmoja KCMC na hao watatu wako ufundi wote wapo VETA.
Kwanza wakwe zangu wananipenda hadi kero ukija kwa hawa mashemeji zangu wananiheshimu na kunithamini kama baba yao.
Mkuu tumebarikiwa afya na mali ili tuwe msaada na faraja kwa wahitaji.
Mkuu hongera sana!
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni kitu fulani hivi cha kurithi

Wanaume masikini kuachwa ruksa ila wanawake masikini kuacha utaambiwa ni kukufuru Mungu...

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mbinguni moja kwa moja
Ukienda kwetu na ukija kwangu ni vitu viwili tofauti,umesema alikuwa ana miliki simu kali basi wewe ukaconclude hata kwao ni mambo swafi ila ulipofika kwao mambo yakawa tofauti,iko hivi kwa upande wangu ninaamini ili mimi niweze kuikomboa familia yangu kutoka kwenye umaskini ni lazima nianze kwanza mimi kupanda juu kisha nigeuke nyum kuanza kushika mkono mmoja mmoja na ndiyo tutaweza kujikwamua kimaisha,ila eti umeanza tu kupata vijisenti hapohapo uanze na wazazi mwisho wa siku mnajikuta wote ni maskini na Choka mbaya
 
Tatizo sio mtu ananini mkononi.muhimu ni mtu ana ndoto gani.


Hogopa sana mtu mwenye ndoto.dharau kila mtu lakini katika maisha yako usithubutu kumdharau mtu mwenye ndoto.


Yes naweza oana na masikini kapuku…wa fedha lakini lakini kama hana ndoto kwangu ni mzigo
Unalolisema ni kweli,nilifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi,mwanzo alikuwa na ndoto kubwa na tukiwa wachumba nilijitahidi kumsupport kuzitimiza,hakuwa na hata godoro la kulalia ila nilimpenda hivyohivyo,niliamini kupitia ndoto zake basi maisha yatabadilika na atakuwa mtu mwingine,shida I kaja baada ya kufunga ndoa alikuwa ni muumini wa kanisa flani hivi la kilokole,mchungaji ndio akawa mwamuzi wa maisha yetu,kila akitaka kufanya kitu mpaka mchungaji aseme hicho kweli fanya,na bahati mbaya yake alikuwa amemzidi mchungaji elimu sasa mambo mengi alipokuwa akienda kumshirikisha mchungaji wake huyo pastor akawa anajenga picha ya kupinduliwa kichwani hivyo mwisho wa siku akawa anamdisappoint,mwisho wa siku akawa anamuonesha na anamjengea picha kichwani kwa kumuonesha kuwa hata yeye anaweza kuwa mchungaji mkubwa na atapata pesa nyingi kupitia uchungaji hivyo aachane na masuala ya kufuata ndoto zake maana zinamdanganya hatokuwa hivyo alivyo,kila nikijaribu kumuonesha jinsi mchungaji wake anavyompotosha anaenda kunishtaki kwa mchungaji wake mwisho wa siku mchungaji wake akamconvice aende akadai talaka mahakamani ili tuachane maana mimi nampeleka shimoni,hakimu aliyeendesha kesi yake kusikia kisa na mkasa wala hakuremba wala nini akaruhusu talaka itoke,tukaachana kwa style hiyo nikaamua kumuachia kila kitu nikaenda kuanza na moja,siku ya siku nakuja kupata taarifa tu aliuza kila kitu maana alikosa hela ya kodi hivyo akaamua kuweka vitu bondi nikaona sio shida zangu zilikuwa shida zake maana yeye aliamua kufuata maono ya mchungaji na si ndoto zake
 
Back
Top Bottom