Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela zangu zinatosha babyNipe muda kidogo nitafute hela
Ahaaa hawajaamua ni mazingira yao yana changamoto sana,huwezi hata kuotesha mchicha ,nyuma ya nyumba ,maji ya kunywa wanafuata km kadhaaSio kwamba wameamua tu Mkuu, zile alzeti na kuku mbona kama wana nafasi ya kuwa kawaida Mkuu?
Ukija kwetu shida itaanzia hapo, ngoja nikapakarabati home kwanza yasinikute ya MdukuziHela zangu zinatosha baby
watuelewe tu, hatutakubali kuanzisha kizazi sehemu zenye uchumi duni. Ni muhimu kujiwekea standards wasituchukulie oya oya tu.Ukweli mchungu 😃
Kuna mwamba alishafanya kitu kama hiki
Demu alikuwa mzuri ila jamaa alipopata file anapotoka akarudi nyuma ila msichana hakujua sabb kwann jamaa kachomoa
Aise noma sana, ila jamaa wana watoto visuuAhaaa hawajaamua ni mazingira yao yana changamoto sana,huwezi hata kuotesha mchicha ,nyuma ya nyumba ,maji ya kunywa wanafuata km kadhaa
Kuna wadau naona hawajamuelewa mtoa madaMwamba kaongea ukweli usiotakiwa kusikika. Japo kiukweli kupanga ni kuchagua ila usioe sehemu ambayo mnapishana sana hali ya maisha. Sio umaskini au utajiri lazima pazingue tu maana mna mifumo tofauti ya maisha na malezi.
Sure MkuuKuna wadau naona hawajamuelewa mtoa mada
Suala sio kuoa mtoto wa tajiri au kuoa ili mke akusaidie hapana
Mtoa mada ana maanisha ukweni kuwe kuna angalau hali fulani hivi sio umaskini ulio topea
Noma sanaUle ukanda wote,kondoa ,singida,manyara ,arusha,unaongoza kwa mademu wakali
Mchumba acha basi 🤣🤣🤣We wakishua Evelyn Salt mtoto wa Isamilo
We umewajengea ama ni zile ulikuta?Tafuta hela mjengee mzazi wako choo