Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una roho ya uchoyo na ubinafsi!! Wewe inaonekana hata ndugu wa mkeo wakija kwako utanuna na kuwatimua.Gheto nilikaa kipindi nasoma
Haya I miss you baby wangu T.....S....tungeshaoana sema una mambo mengi weweDah kweli aisee nimejichanganyaa
Tushaonana mara nyingi kipenzi na tunajuana vizuuuri tu since 2014 km sikoseiMambo gani tena jamani hebu fanya tuonane
Namuonea huruma mtoa mada kwa kulelewa na single mother.Lovelovie mbona unatia huruma
Naelewa sana hilo. Jf naijua sana na nimeandika hapo nikiwa nime relax kabisa. Hata hivyo shukran sana mkuu kwa kujali.Maisha ya jf ukiyachukulia siriaz utapoteza dira ndugu
Tukija kwa ngazi ya Taifa huoni umasikini wa waafrika au tanzania kuwa ni laana.Umasikini sio laana na utajiri sio baraka.
Unaweza ukawa tajiri na bado ukawa na laana ya Mungu na unaweza ukawa masikini na ukapewa baraka na Mungu and vice versa !!
Hakuna mwanadamu anapenda umasikini ila kuzaliwa ktk familia duni au yenye utajiri ni mipango tu ya Mungu. Mungu humpa na kumnyima amtakae kutokana na elimu na hekma yake..
Mwaka Mpya na zuzumagic mpya. Angekuwa na pesa, siku angefungasha ma ya kupeleka ukweni. Ukweni kashindwa kwenda hata na Catton moja ya maji. Huyu ni zuzu kabisa, walifanya vyema sana kumnywesha maji yenye rangi ya asaliMwaka mpya na mambo mapya [emoji23]