Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

Niliamua kumuacha huyu 'wife material' sababu ya umasikini wa kwao

Um.bwaa moja hii ukute hata wewe n kwa neema tu umekuta nyumba wazazi walijenga we mwenyewe age ishasoma mileage za basi namba B huna ata kiwanja bado uko kwenu.......@mdukuzi nakufuata pm mwenyewe tuyajenge
Karibu sana best
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni kitu fulani hivi cha kurithi

Wanaume masikini kuachwa ruksa ila wanawake masikini kuacha utaambiwa ni kukufuru Mungu...

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mbinguni moja kwa moja
Kwahiyo mzee unatunywesha chai wanao na wajukuu zako.

1673730197817.png
 
Tatizo liko wapi nimeeleza katika paragraph ya pili kuwa ni kisa cha zamani shehe
Kwahiyo hiyo simu kali aliyokuwa nayo binti ilikuwa ni zile simu kubwa kama tofali au? Ambazo hata hivyo nadhani zimekuja Bongo miaka ya 90 na mtu aliyekuwa nazo enzi hizo si rahisi awe maskini unayemzungumzia.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu
Hata hivyo kwa akili ya kawaida tu, ukizingatia umri wako uliowahi kuutaja, hiki kisa chako ima ni cha miaka ya 70 au 80 ambayo hizo "simu kali" sio tu hazikuwepo Bongo bali hazikuwepo duniani.

Hiki kisa nahisi ni chai.
 
Kwahiyo hiyo simu kali aliyokuwa nayo binti ilikuwa ni zile simu kubwa kama tofali au? Ambazo hata hivyo nadhani zimekuja Bongo miaka ya 90 na mtu aliyekuwa nazo enzi hizo si rahisi awe maskini unayemzungumzia.


Hata hivyo kwa akili ya kawaida tu, ukizingatia umri wako uliowahi kuutaja, hiki kisa chako ima ni cha miaka ya 70 au 80 ambayo hizo "simu kali" sio tu hazikuwepo Bongo bali hazikuwepo duniani.

Hiki kisa nahisi ni chai.
Maisha ya jf ukiyachukulia siriaz utapoteza dira ndugu
 
Kwahiyo hiyo simu kali aliyokuwa nayo binti ilikuwa ni zile simu kubwa kama tofali au? Ambazo hata hivyo nadhani zimekuja Bongo miaka ya 90 na mtu aliyekuwa nazo enzi hizo si rahisi awe maskini unayemzungumzia.


Hata hivyo kwa akili ya kawaida tu, ukizingatia umri wako uliowahi kuutaja, hiki kisa chako ima ni cha miaka ya 70 au 80 ambayo hizo "simu kali" sio tu hazikuwepo Bongo bali hazikuwepo duniani.

Hiki kisa nahisi ni chai.
Hivi miaka nane sio zamani?
Hivi kuoa mwisho miaka mingapi?
Wazee haturuhusiwi kuoa?
 
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.

Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.

Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.

Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.

Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.

Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze

Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.

Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.

Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni kitu fulani hivi cha kurithi

Wanaume masikini kuachwa ruksa ila wanawake masikini kuacha utaambiwa ni kukufuru Mungu...

Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mbinguni moja kwa moja
Mhhh haya sawa
 
Back
Top Bottom