Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mzee unatunywesha chai wanao na wajukuu zako.Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.
Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.
Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.
Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.
Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.
Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze
Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.
Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.
Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni kitu fulani hivi cha kurithi
Wanaume masikini kuachwa ruksa ila wanawake masikini kuacha utaambiwa ni kukufuru Mungu...
Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mbinguni moja kwa moja
Nakumiss ujueeKaribu sana best
Kwahiyo hiyo simu kali aliyokuwa nayo binti ilikuwa ni zile simu kubwa kama tofali au? Ambazo hata hivyo nadhani zimekuja Bongo miaka ya 90 na mtu aliyekuwa nazo enzi hizo si rahisi awe maskini unayemzungumzia.Tatizo liko wapi nimeeleza katika paragraph ya pili kuwa ni kisa cha zamani shehe
Hata hivyo kwa akili ya kawaida tu, ukizingatia umri wako uliowahi kuutaja, hiki kisa chako ima ni cha miaka ya 70 au 80 ambayo hizo "simu kali" sio tu hazikuwepo Bongo bali hazikuwepo duniani.Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu
Ushaanza kujichanganya sasaNakuja Arusha best
Maisha ya jf ukiyachukulia siriaz utapoteza dira nduguKwahiyo hiyo simu kali aliyokuwa nayo binti ilikuwa ni zile simu kubwa kama tofali au? Ambazo hata hivyo nadhani zimekuja Bongo miaka ya 90 na mtu aliyekuwa nazo enzi hizo si rahisi awe maskini unayemzungumzia.
Hata hivyo kwa akili ya kawaida tu, ukizingatia umri wako uliowahi kuutaja, hiki kisa chako ima ni cha miaka ya 70 au 80 ambayo hizo "simu kali" sio tu hazikuwepo Bongo bali hazikuwepo duniani.
Hiki kisa nahisi ni chai.
Hivi miaka nane sio zamani?Kwahiyo hiyo simu kali aliyokuwa nayo binti ilikuwa ni zile simu kubwa kama tofali au? Ambazo hata hivyo nadhani zimekuja Bongo miaka ya 90 na mtu aliyekuwa nazo enzi hizo si rahisi awe maskini unayemzungumzia.
Hata hivyo kwa akili ya kawaida tu, ukizingatia umri wako uliowahi kuutaja, hiki kisa chako ima ni cha miaka ya 70 au 80 ambayo hizo "simu kali" sio tu hazikuwepo Bongo bali hazikuwepo duniani.
Hiki kisa nahisi ni chai.
Kama unaenda kazini jumapili, hiyo sio kazi bali ni MISHE MISHE.Na hizi ndio NDOA ZENU
Na hawa ndio WAUME ZENU..!!!
Ngoja nimalizie hii Hanson's Choice yangu Kubwa nikalale, Kesho kazini..!!!
🚶🏿♂️🚶🏿♂️🚶🏿♂️
#YNWA
Kijana anachukulia maisha ya jf siriaz sana hadi namhurumia 🤣🤣🤣🤣Anadhani vijana tu ndio wanachumbia!!!
Mhhh haya sawaWanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.
Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.
Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.
Hakuwa na makuu kivile ila alikuwa na simu kali kuliko yangu, akivaa anapendeza sana nikasema mke ndio huyu twende kwenu.
Tukaenda kwao Singida, kutoka Singida mjini hadi kwao ni masaa sita, kata inaitwaje sijui ila ni kabila la Wanyisanzu.
Nilichokiona sikuamini, kwanza kijiji hakina mtandao wa simu mpaka upande kichuguuni, maji ya kunywa yana rangi ya chai ya maziwa, choo cha shimo hakina mlango ukisikia mtu anakuja unakohoa ili ageuze
Kitanda cha kamba, kajumba kenyewe ukipiga teke kanadondoka.
Baada ya kurudi mjini nilifuta namba yake palepale.
Mimi ninaamini umasikini kama sio laana basi ni kitu fulani hivi cha kurithi
Wanaume masikini kuachwa ruksa ila wanawake masikini kuacha utaambiwa ni kukufuru Mungu...
Wanawake tafuteni hela. Na nyie makamanda mnaoa watoto masikini mbinguni moja kwa moja