Nilibahatika sikupitia njia hii ila najua ni njia inayowaumiza sana watoto kisaikolojia na kuwaacha na chuki kwa wazazi

Nilibahatika sikupitia njia hii ila najua ni njia inayowaumiza sana watoto kisaikolojia na kuwaacha na chuki kwa wazazi

Huyo jamaa akishaoa ndio anaweza kujua vizuri kama baba yake alikua sahihi ama aliku anampiga tu mamaake bila sababu.

AOE KWANZA.
 
Nimekuwa nikishuhudia mama anadundwa vilivyo na mshua kiukweli ilikuwa inaniuma sana pia, hata mimi nilimchukia sana mzee sema ndo nilikuwa namtegemea kwa kila kitu
ia
Hata kosa la namna gani ila mwanaume kumpiga mke mbele ya watoto Ni upungufu wa akili
 
Mwanaume kumpiga mke mbele ya watoto ni upungufu wa akili, ni kosa lenye gharama kubwa sana

Mwanamke mwenye busara ni ukipigwa na mumeo hakikisha watoto hasa km Ni wadogo wasione Wala wasisikie lasivyo chuki ya watoto na baba yao itakutafuna wewe mwenyewe, acha wamchukie kwa sababu zao wakikua nk

Niliwahi kuchezea kichapo cha mbwa koko sababu tu sikutaka watoto washuhudie hilo tukio
 
Nimekulia mazingira ya vipigo....hadi nikifika familia isiyo na kash kash naona bado hayo sio maisha
 
Sasa wewe unadhani ni jina au ID inayo-matter hapa au content ya kuwa unatoa siri za watu. Unajuaje kama jamaa yupo humu unadhani atakuchukulia wewe ni rafiki wa namna gani?
Mtu hamjaonana miaka leo mnaonana anakupa siri za familia yake unazimwaga mitandaoni. Hivi unadhani humu hakuna tuliosoma nao au waliokuwa wanaishi nao mtaa au jamii moja. Unadhani watu hawawezi kuonganisha dots kwa namna moja au nyingine. unadhani hiyo siri ya kutomjali mzee wake unajua wewe tu? Haya umeyatapika kuwa mama yake alikuwa anadundwa. Unadhani jamaa anakuchukulia vipi?
kifupi wewe ni rafiki mpuuzi
Sasa mkuu, hoja yako ni nini?...Kwamba amedhalilishwa au imekuwaje?...Na atakuwaje na uhakika kama ni yeye 100%..Je kama nimeweka codes ili kuificha, we unajuaje?...Hii hoja imeletwa lengo kuu ni kujifunza na kupeana ushauri na siku zote tunajifunza kupitia yale yanayotokea katika jamii zetu either kutukuta sisi wenyewe au kwa kuona na kusikia yanayowakuta wengine...story zote humu ndani za mafunzo ni either zinaletwa na watu husika au watu walioambiwa au kuona kutoka kwa wahusika wenyewe...kwahiyo nao ni wambeya au wapuuzi?

Swali fikirishi kwako...Je ukikutana na huyu ndugu ninaemzungumzia hapa utamjua?..au amedhalilika kwa namna gani labda ikiwa hakuna jina lake na hakuna member mwingine ambae anamjua humu zaidi yangu?...

sawa mimi ni mpuuzi ndiyo nakubali..ila wewe ni zaidi ya mpuuzi kupanick kwa kitu kisicho na mantiki..Hivi akili zenu wengine huwa mnaziweka wapi?..We jamaa una matatizo sana aisee..Isije ikawa wewe ndiye mshua wa jamaaa...Unaboa sana mkuu...

Ndiyo mm ni mpuuzi na nimetapika yote ila wewe ni Marterko kabisaa....
 
Siri ya mtungi aijuaye kata.....baba kumpiga mama tena mbele ya watoto inaweza kusababishwa na Mambo mengi ambayo watoto hamyajui...labda mama kazngua au mihemko ya baba...lakn pia watu wengi husahau maudhi ya mama anayomdharirisha baba mbele ya watoto(nazan hii inasababishwa na kauli za kukariri za nani Kama mama bila kujali uwepo wa baba) hivyo Basi, Kama mtoto unayejitambua hakuna haja ya kumchukia baba yako wakat kuna maujinga mengi mama ameshafanya.

Note: ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji, wew mwanaume kumbuka utakuja kuwa baba wa familia, imagine wanao wakuchukie Kama unavyomchukia baba yako, does it makes sense?
 
Hata kosa la namna gani ila mwanaume kumpiga mke mbele ya watoto Ni upungufu wa akili
Kufikia mwanamke unapigwa pia ni ukosefu wa akili (hekima) umekosea kili kosa omba kusamehewa na usirudie tena kosa hilo uone kama utakuwa unapigwa

Yaani ukoseee nikuambie why umefanya vile then uje juu, my friend utajuta kuolewa na mimi

Sisi usukumani ukikosea wewe mama na mtoto kakosea mda huo huo mnaadhibiwa wote pamoja

Yaani mama yupo sehemu ya himaya ya baba, baba kama kiongozi
 
Kufikia mwanamke unapigwa pia ni ukosefu wa akili (hekima) umekosea kili kosa omba kusamehewa na usirudie tena kosa hilo uone kama utakuwa unapigwa

Yaani ukoseee nikuambie why umefanya vile then uje juu, my friend utajuta kuolewa na mimi

Sisi usukumani ukikosea wewe mama na mtoto kakosea mda huo huo mnaadhibiwa wote pamoja

Yaani mama yupo sehemu ya himaya ya baba, baba kama kiongozi
😂😂😂 nikucheke tu maana mwanaume anaepiga mke Ni tafsiri ya uoga na upumbavu na wasukuma wengi mpo kundi hili, kalagabao, jioni njema
 
Nimekuwa nikishuhudia mama anadundwa vilivyo na mshua kiukweli ilikuwa inaniuma sana pia, hata mimi nilimchukia sana mzee sema ndo nilikuwa namtegemea kwa kila kitu

Shule anilipie ada yeye, Mavazi yeye Chakula kiufilupi kila kitu yaani, hata mama mwenyewe pia alikuwa ni mama wa nyumbani tu, kuna siku mzee alimchalaza mama tena mbele ya washikaji kabisa wamekuja home kunitembelea iliniuma sana, ikawa wimbo school watu wote wakaelewa nilimchukia sana mzee japo sikuacha kumuomba mahitaji

Siku zote mama alikuwa anadundwa bila sisi (watoto) kuijua sababu ya ugomvi wao, na wakati huo watoto wote tulijikuta upendo upo kwa mama, alikuwa akudundwa tunamfariji sana, ilitokea siku moja nimeenda home kusalimia nikakuta ugomvi pia

Nimeshakuwa sasa simtegemei tena mshua, nikaona isiwe tabu ngoja leo niwakalishe wazee, nikamshika mzee nikamuomba akae tuongee nikamuita mama pia niliongea nao kama vile mimi ndo mzazi vile kiukweli nashukuru hawakuniona nimewakosea heshima baada ya mazungumzo nikaelewa mpaka leo sina kinyongo tena na mshua aiseee kwanza ana roho ngumu sana,

Ipo hivi kulikuwa kesi kama tatu hivii, kwanza mama kaenda kuvuna mazao shamba kauzia huko huko gunia nne za mpunga bila mzee kujua, pale home kuna dogo wa kike yupo kidato cha nne ni mwanakwaya sana (mtu wa dini) sasa mzee hakutaka aimbe alimruhu kusali ila sio kuimba kwaya maana alikuwa anapoteza sana mda badala ya huo mda kuutumia kusoma mama alipoona dogo anazuiwa kuimba wakashauriana na dogo, dogo akahamia kwa mchungaji wao tena bila hata mshua kujua

Mpaka mda huu mzee ndo anahudumia kila kitu home, ila mama kachukua madogo wawili wa kanisani kawaleta home wanaishi tu na mzee hakujulishwa pia

Aiseee washa mshua atie adabu watu wake, yaani mama anamzingua mzee anamnyima nyapu harafu mzee akitumia madaraka yake nijifanye kumchukia
Ukweli ndio huo. Watoto wanaweza kudhani baba Ni mnyanyasaji lakini nyuma huko Kuna mengi yakiwemo usaliti na kuchepuka
 
😂😂😂 nikucheke tu maana mwanaume anaepiga mke Ni tafsiri ya uoga na upumbavu na wasukuma wengi mpo kundi hili, kalagabao, jioni njema
Mimi sio msukuma, lakini naweza his sababu ya kula kichapo toka kwa mumeo! Una kauli chafu aisee.
 
Mi nipigwe na MTU moyo umempenda na anahhudumia familia vizuri wala sina shida,ila inipige kitu tumeamua tu tuishi wala moyo haupo kwake na mkwanja hana.Aisee,hiyo mechi humo ndani mbona ataomba poo au kuamua kuniua kabisa.Maana mi bila kunikata mikono nitakurudishia vibao mpaka watoto wataamulia.
 
Mi nipigwe na MTU moyo umempenda na anahhudumia familia vizuri wala sina shida,ila inipige kitu tumeamua tu tuishi wala moyo haupo kwake na mkwanja hana.Aisee,hiyo mechi humo ndani mbona ataomba poo au kuamua kuniua kabisa.Maana mi bila kunikata mikono nitakurudishia vibao mpaka watoto wataamulia.
Hahahahhahah! harafu ana kibamia, akikupeleka sehemu hafiki anaishia njiani, na hapo masikini wanapenda sana kuomba mbususu

Baada ya ugomvi shooo shooooo
 
Mwanamke wa kibongo bila makofi ndoa haifiki mbali, hivyo vibao ndio vimesaidia wazazi wetu hata wazazi wa huyo jamaa kudumu kwenye ndoa, piga makofi tafadhali utakuja kunishukuru
Ulipiga wangapi ukadumu nao mkuu! Unafananisha nyakati za wazazi wetu na kizazi chetu kweli? Zama zimebadilika
 
Back
Top Bottom