Nilichekwa sana Style yangu ya malezi ila leo hii watu wanatamani kuniiga

Cultural collision hiyo inaitwa au mila gongana kiswahili
 
Hahaha mkuu labda nami nikujibu kiustaarabu tu. Kwanza kabisa jua Sina chuki nao ila maisha waliyokulia siyakubali na sitawaacha waendelee na maisha hayo wakiwa chini yangu. Baba yao alishatangulia mbele za haki na mama yao yupo ughaibuni kikazi Sasa no zaidi ya miaka 8. Am totally responsible to these children and the matter of fact I treat them the same way I treat of my own.
Swala la kujua kiingereza hizo ni accusations za walimu kila ninapoitwa shuleni kisa kafanya makosa haya mara muda mwengine mengine kabisa. Sasa ni form Four na mpaka kufikia hapo nimeshamuhamisha shule tatu kwa utovu wa nidhamu, ni bahati hii aliyopo sasa ndio amemaliza form three na sasa ameingia form four. Hivi hao walimu anaowadharau na wenyewe wakaamua wasimpe materials yanayotakiwa au wakamsusa, hiyo NECTA atatoboaje?
Wewe Kama unaona kuna chuki sawa, Kama watoto wako unawalea kimayai as you're living in America, that's ok with you, acha mi nipambane na kuwapa maadili sahihi ya kitanzania
 
Jibu la maswali yako lipo kwenye post no. 115
 
Safi sana,
Lakini rohoni wanakulaani kinoma.
Wameshaanza kunyooka na wanajichanganya na wenzao Kama kawaida. Sasa si wavivu, kufua wanafua na sometimes wakiwa nyumbani utasikia wa kike mwenyewe anamuomba mfanyakazi amsaidie kufanya kazi ambayo mfanyakazi alikuwa akifanya. Kama ningesema niwaache waishi maisha waliyokuwa wakiishi, haya mabadiriko yangetokea lini?
Kwasasa Ile chuki waliyonayo juu yangu imeshakwisha maana wako free kwangu kunieleza lolote na nawaelekeza na kuwatimizia. Upendo wa familia umerudi, hawana tofauti na wenzao sasa. Nafurahi kuwaona wakijichanganya na wenzao wakicheza kwa furaha au wakiwa wanafundishana huku wakitaniana
 
Sijaimaliza yote lakini mkuu, umekua sasa. Kuna malezi ambayo ni muhimu kwa kila mtu ili kupata jamii inayozingatia miiko na tamaduni za kiafrika.
 
Uko sahihi kabisa dada yangu. Hata exposure ya watoto inakuwa kubwa. Mtoto anaenda o level anakuwa exposed kwenye robotics and programming, wakati akina sisi tunazikuta chuo kikuu tena inanistukiza tu. Kizazi hakibadiriki kwa sababu thinking process yetu yote ni ya shida tupu.
 
Hii muendelezo wa bandiko lako hili ? Mbinu niliyotumia kumlea mwanangu anayesoma private awe mjanja, awe na furaha, na asigeuke kuwa kuku wa kisasa.
 
Una hoja hao watoto wanatakiwa kuishi maisha yako sio wewe uishi maisha yao unawapa somo zuri kuwa wajifunze kuwa when you go to Romans you behave like a Roman not like Americans from American Donld Trump Academy!! Big up

Sio litoto linatoka Marekani linaenda kwa bibi yake bukoba kijijini halafu linalilia bibi yake alipikie Pizza eti ndizi halili
 
Toto bila viboko litaharibikia ndio aana hadi Mungu akasema usimnyime mtoto viboko

ulaya na Marekani viboko hawataki kwa watoto ndio kunaongoza kwa kuwa na misagaji na mishoga na mijitu ya ndoa za jinsia moja hadi mijaji mibunge serikalini na mikanisani

Tanzania makabila ya pwani na Zanzibar ndiko kuna mishoga na misagaji Mingi sababu viboko mwiko kabila kama mkurya au masai msagaji au shoga utamtoa wapi wanapiga likiaonyesha tu dalili hata ndogo tu ya ujeuri hadi kutishia kuua so litoto linaanza kujua boundaries za ethics mapema na kubehave
 
I smell a rotten rat siongei na shoga au msagaji au mtu wa ndoa ya jinsia moja humu?
 
Tazama ulichokiandika ndicho hopeless
 
Mimi sijui hata hao waliokupa ''likes'' wamekupa za ni nini kwani umeelezea mtoto/watoto wa watu wengi wanavyolelewa siku zote tofauti na ulivyokuwa ''mkoloni'' hapo zamani.
 
Mmmm kukaa porin wik nzima?

Tena wakat mwingine wiki 2 zinafika, na huko hakuna nyumba wala kibanda, mnalala kichakani kando kando ya mto na Moto mkuubwaaaaaaaaa!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nilijua lazima nitakutana na comment kama hii
 
Hilo anatakiwa alifahamu mapema, hatari ipo hapo.
 
Maisha ni uchaguzi,,anaweza kuwa low income class,, middle au high lakini ameeleza vizuri alivoamua kuishi,,haha mambo ya classes hayana maana sana,,sababu shabby,,abood,,Omar awadh,,Dangote anaweza kuwaita low income class,,wakati mwingine anaweza kuwa anapata 500k tu kwa mwezi akatafsiriwa na wengine Kama middle au high class,,,ametushirikisha namna anavomlea mwanae hilo tu
 
Siku zote ishi unavyoona ni sahihi bila kuvunja sheria za nchi wala kukiuka maadili na tamaduni, ukianza kufanya maisha yaendane na fulani ni kiashiria cha wazi kwamba upo weak kwenye maamuzi.

Nimetoka hapa youtube kuangalia mahafali cha chuo fulani huko afrika kusini nimeona mtu anaitwa jina lake kuchukua cheti, kaenda na nguo za kitamaduni na kacheza kwa furaha ngoma ya kitamaduni na hakuna alichokosea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…