Nilichekwa sana Style yangu ya malezi ila leo hii watu wanatamani kuniiga

Nilichekwa sana Style yangu ya malezi ila leo hii watu wanatamani kuniiga

Hongera kwa namna unavyomlea mwanao, mwanzoni nilipokua nikisoma maelezo yako nilifikiri uliamua kumuhamisha mwanao kwa sababu ya ukata.
Wazazi tuliowengi tunafikiri nkija sahihi ya kuonesha upendo kwa mtoto ni kumdekeza, kumchekea hata anapokosea.

Mtoto ili awe ni mwenye nidhamu akemewe, afundishwe stadi za Maisha na inapobidi aadhibiwe kwa fimbo au namna yeyote ilosahihi
 
Ni vizuri pia
Ongera kwa kujiongeza kumtengenezea mazingira ya kukuza mahusiano yake na jamii
Kuna mambo mabaya anaweza kujifunza njia anazopita, you can't believe.Don't trust neighbour.
 
Bora umngangalishe mapema mkuu maana Ukimlea kimayai akipata tabu kidogo tayari anakua "Mali ya Wenye Mali" [emoji2]
 
Ni changamoto kubwa katika malezi hasa kwa sisi tuliopitia vyuoni na kuna vimishahara au vifaida vya kusongesha life tunajikuta mara nyingi tunalea watoto ndivyo sivyo

1. Mwanzoni mtoto wangu alikuwa anasoma hizi shule za kutoka saa 11 na shuleni wapo wachache darasani hawazidi 20. Pia maendeleo ya social skills sikuyafurahia na hii shule ilichangia katika hili tatizo.

Nikamuhamisha shule ambayo wanawaigi kutoka mchana na darasani wamo kama 57 hivi, nilifanya hivi ili kupanua chances zake za kuwa na marafiki wengi maana kiukweli ile shule ya zamani alikuwa na rafiki moja tu ila kwa sasa ana marafiki wengi, na kitu kingine ike shule ya zamani ilikuwa ni masomo mtundo moja mpaka jioni hii iliminya mda wa wanafunzi kupata mda wa kujuana, hii shuke ya sasa naona wana kmjuoindi cha michezo mara 2 kika wiki, na pia muda wa wanafunzi kujuana zaidi wanapowahi kutoka mchana upo.

Nafurahi sana mwanangu kwa sasa sio mpweke sana kama zamani, shuleni pia iww sehem ya kujenga social skils sio kusoma tu darasani, nami pia kila siki za shule nahakikisha usiku nakaa nae lisaa kumsaidia masomo maana nilipewa syllabus na vitabu wanavyotymia kuwafundishia na wala havinipigi chenga.

2. School bus silipii, sioni umuhimu wake labda mwanafunzi wa mtoto asiezidi miaka mitano na shuke ipo mbali sana, Shule anayosoma mwanangu ukitembea ni mwendo wa dakika 25 tu na wapo wenzake wachache ambao hawalipii school bus wanapitaga njia hii pamoja na wenzao wengi wanaosoma shule ya serikali iliyopo karibu na shule yao, Hii hali nikaona ni kumdumaza tu mtoto hizi school bus, tangu mwaka jana anatwanga mguu na wala sijaona tatizo, Wenzake wengi pia wanaopanda school bus ananiambiaga huwa wanapenda kutembea lakini wazazi hawataki, Kutembea kuna raha yake 😁.

3. Akitoka shuleni inabidi afue nguo zake, kuosha vyombo atavyolia chakula, kusafisha chumba chake, n.k hivi nlimpiga stop house girl kuvifanya kwa mwanangu japo wife alipinga kudai bado wadogo ila nikamwambia silei mayai, baada ya hapo ataweza kucheza na marafiki zake hapa kwangu ama kwao kwa kutoa taarifa mapema tutamkuta nyumba ya rafiki yake yupi, zamani nlikuwa nampiga geti kali ila sikuona faida, kwa sasa amekuwa msaada mkubwa kwa wenzake mageti kali ambao kwamfano nyumba flani mzazi aliniomba mtoto wangu awe anaenda pale kila jumapili maana ni siku ambayo mtoto wake anakuwa hajabanwa na hizi shule wanazotoka saa 11 juoni, hana homework, n.k ila kwake hataki kabisa mtoto wake kutoka nje, ni jambo zuri kuwapa kampani wenzake mi nikamkubalia maana huyo mtoto ndio alikuwa best wake wa shule ya zamani na hata wazazi wake tunajuana nao na ni mfano wa familia bora yenye maadili kwa hio huwa sina shaka, japo nilimuambia mwanangu akijiona hataki au kachoka kwenda awe free kuniambia, haniogopi huwa hasiti kuniambia chochote

4. Zamani nilimwekea Playstation (game ya tv) na katuni nikijidanganya ndio vitampa kampani kama rafiki, kiukweli nilijidanganya, kwanza hii playstation ikaanza kumpa kama uraibu flani wa kuwa teja, yani akisikia playstation anakuwa kama teja hivi, weekend ukifika ndo kabisa anaweza kushinda hapo kwenye screen hadi mnashangaaa. Kiukweli nikaona hizo kampani zake za katuni na magem yatamuharibu na kumfanya afikirie katika ulimwengu ambao haupi kama huo w akwene game na katuni, Ikabidi nimletee mpira awe anacheza cheza nje maana alikuwa anashinda sana ndani, ile game nikaficha nikamdanganya ipo kwa fundi, kidogo kidogo akaanza kuzoea nje, nikamletea na ka mbwa kadogo basi akawa anakapenda sana saizi ni mbwa mkubwa wa ulinzi hapa, furaha yangu ni kumuona akiwa nje, hivi na vile nikaamwamisha shule akaanza kuwa na marafiki kadhaa, nikaacha kulipia schoolbus ili awe ananyoosha vimiguu, n.k basi ndo namimi nafurahi hapo

5. Kuna kipindi flani nilipokuwa naenda kijijini (ni mwendo wa saa moja toka napishi) kwenye vikao hivi na kuwajulia hali ndugu zangu, nilikuwa naenda na huyu mwanagu nae, navyoendelea na shughuli zangu alikuwa anachangamana na wenzake, akiwa huko na wenzake aliweza kufundishwa kujipikia ugali maana kule kijijini kujipikia ni kitu cha lazima kukijua, Hii hali inamwandaa mapema hata atakapoanza maisha yake asiwe mpya kwenye kujilisha, Mke wangu hili jambo mwanzoni alichukizwa nalo sana na kuanza kuniambia mtoto wetu hafai kupika hadi awe mkubwa kwa sasa asome tu lakini kwangu nilipingana nae nikamwambia hakuna tatizo mtoto wetu kujua kupika, ipo siku atahitaji hiki alichojifunza, Hpa fundisho kuu ni kwamba mtoto inabidi ajue kujilisha, Isiwe tu kwa watoto wa kike bali hata wa kume.

6. Michezo - hapa kwanza kabisa nianze na kuelezea kwambaniliwahi kugharamie ajifunze kuogelea, maana kule kijijini nilihofia kuna siku wataenda huko mtoni na majanga yakampata, kwa hio nilichukua hii precaution haraka, Nawaasa sana wazazi mambo kama kuogelea msiyapuuze, ni kitu kinachweza kuokoa maisha ya mwanao au yeye kuokoa maisha ya wengine. Kitu kungine kwa kuchangamana na wezake huku kwetu na shuleni ameweza kuwa mchezaji mzuri tu wa mpira ni kitu kizuri ila pia kijijini kule alifundishwa hizi sarakasi aliteguka mkono mama yake tuligombana sana hii ishu, ila hakuacha aliendelea na kufanikiwa kuweza kuruka hizi sarakasi, Mwaka jana siku ya wazazi wanapofunga shule nilipata kujisikia vizuri nilipomuona mwanagu akiwa anaonyesha ujuzi wake mwele ya umati wa wanafunzi na wazazi tuliofika hapo, Ni jambo lililonifurahisha na hata marafiki zangu na wa mke wangu walipoona zile video tulipewa visifa kidgo, basi hata wife zile hasira zake za mtoto kujifunza sarakasi zikawa zinashuka

7. Kuhusu kumlimbikizia kazi house girl mbazo ni wajibu wa mtoto kuzifanya nimezingatia hili suala japo tumekorofishana sana na mke wangu anaetaka housegirl afanye karibu kila kitu watoto wakae tu, Binafsi nilikataa kabisa huu mpango na mtoto ameshauzoea na umekuwa na tija kwake kujua mapema kwamba maisha ni majukumu, Hata hivyo leo hii au kesho hali yetu inaweza ikawa mbaya watoto wakapata wakati mgumu maana hakutauwa na house girl, Ni kwamba kwa sasa kazi zilizokuwa zinafanywa na house girla anazifanya huyu mwanangu ama awanapeana zamu inapobidi baadhi ya kazi ni : Kabla hajalala inabidi apasi nguo zake, Inabidi atandike kitanda chake kila siku, asafishe chumba chake, akitoka shuleni afue uniform zake, Asubuhi akiamka anafagia uwanja kwa zamu na house girl leo yeye kesho hause gerl, Viombo anavyolia inabidi aoshe yeye, n.k Mwanzoni alikuwa mgumu ila nilimfundisha, na alipokuwa mzembe nilimuonya, na aliporudia uzembe bakora ilitumika.

8. Matumizi ya bakora yanatumika kwa sasa mwanangu napomfundisha kitu flani, akarudia nikamuonya, akarudia tena nikamkaripia ila akiendelea kuna viboko vya mpera, Matumizi ya viboko kwa usahihi ni muhimu sana katika malezi ya watoto, Yapasa atambue kuna madhara ya kutofata anachofundishwa na wazazi wake na kutokiheshimu, Hii pia hata akiwa mkubwa anajitegemea atakuwa anajua kabisa kwamba asipofata hizi sheria jela inamhusu au atafunzwa na walimwengu, Wazazi msipuuzie viboko hivi, kuna maana kubwa sana vimeruhusiwa kutumika hata kwenye biblia na korani na hata kutumuka vizazi hadi vizazi hadi hapa tulipo, haya malezi ya wazungu mnayoyaiga ni kuacha asili yenu, Narudi tena tuvitumie viboko kwa njia sahihi sio kila mda unapiga tu.
safi sana...mkuu
 
Hongera kwa namna unavyomlea mwanao, mwanzoni nilipokua nikisoma maelezo yako nilifikiri uliamua kumuhamisha mwanao kwa sababu ya ukata.
Wazazi tuliowengi tunafikiri nkija sahihi ya kuonesha upendo kwa mtoto ni kumdekeza, kumchekea hata anapokosea.

Mtoto ili awe ni mwenye nidhamu akemewe, afundishwe stadi za Maisha na inapobidi aadhibiwe kwa fimbo au namna yeyote ilosahihi

Wazazi wengi utasikia tukisema "sitaki mwanangu apate shida nilizopata mimi". Au "mimi natafuta hela ili mwanangu asiteseke" Hapo ndio tunadhani kwamba tunamsaidia huyo mtoto, na ndio tunaonyesha upendo. Tunasahau kwamba hizo shida tulizopata sisi ndio zimetufanya tukawa wapambanaji mpaka tumeweza kufikia hapa tulipo!

Matokeo yake sasa tunatengeneza kizazi cha watu nyoronyoro wasioweza kufanya kitu chochote.
 
1
Wazazi wengi utasikia tukisema "sitaki mwanangu apate shida nilizopata mimi". Au "mimi natafuta hela ili mwanangu asiteseke" Hapo ndio tunadhani kwamba tunamsaidia huyo mtoto, na ndio tunaonyesha upendo. Tunasahau kwamba hizo shida tulizopata sisi ndio zimetufanya tukawa wapambanaji mpaka tumeweza kufikia hapa tulipo!

Matokeo yake sasa tunatengeneza kizazi cha watu nyoronyoro wasioweza kufanya kitu chochote.

Kizazi cha ajabu kabisa, walaini kama mlenda. Mtoto ana miaka 35 anaishi nyumbani. Anasema hakuna ajira.

Kulikuwa na ajira miaka ya 1950's hadi 1970's.

Wanaume, vijana hawakukaa nyumbani wakilalamika,kupinga, kutukana mitandaoni?

Nyerere alikuwa na ajira ya kuungaunga mwazoni (Mwalimu). Baadaye akasaidiwa.

Pamoja na matatizo yetu Tanzania bado ina fursa kibao.

Muhimu kuziona, kuchacharika. Hakuna kitu chochote muhimu kimekuja kirahisi.
 
Hongera mkuu kwa kuanza safari ila safari bado sana akiweza kupita salama kwenye changamoto akiwa sekondary then chuo na mahusiano basi umempata.

Tuleee kwa kumuomba Mungu aweke baraka zake
 
Hilo swala la kutembea miguu kuna raha yake nalikubali kabisa 100%...nakumbuka kipindi npo o level niliwahi nunuliwa baiskel na mshua lakini nilkuwa naiacha home ili mradi tu nitembee na wenzangu tupige story njian
Vuta picha mshua angekulipia schoolbus
 
Hao wazazi wapo sahihi

Umesomea kibatari,mtoto nae asomee kibatari?

Does not make any sense wewe

Umesoma kayumba mpaka leo una degree hujui Kingereza,hujui kuandika report iliyopo gramatically correct,mtoto wako eti nae apitie hiyo aibu?

Does not make any sense

Ni haki yake kupitia next level,awe well educated na sophistications zingine bora zaidi ya wewe ulizopitia

Hiyo ndio maana ya generation wealth

Ila mambo ya adabu,kujituma,kutumia akili,kuheshimu wakubwa,etc haina uhusiano wowote na vihela vyako au kumpeleka shule nzuri,ni nyie wazazi mlivyo tight nao,basi

Wabongo wanasingizia hela...what a stupid thinking

Kuna vitu ambavyo logically havi make sense kama hilo la kusomea vibatari maana kwa sasa hata hivyo vibatari havipo. Lakini pia "generation wealth" haimaanishi kuachana na kila kitu tulichokua tunafanya (hata vile vizuri) na kuanza kufanya vitu vingine in the name of maendeleo. Wealth inajengwa juu ya kile kilichopo, haijengwi hewani.

Mfano, kwani kutembea kuna ubaya gani? Kama shule haiko mbali, ni walking distance, mtoto sio mdogo, kuna ubaya gani akatembea badala ya kupanda schoolbus au kupelekwa na gari? Mtoto kusaidia kazi ndogondogo za nyumbani kuna ubaya gani? Sasa hapo ndio mtu anakuambia "sitaki mwanangu apate shida, mimi nilifanya sana hizi kazi sitaki mwanangu apitie hayo!"

Na kingine, haya mambo ya maadili, heshima nk hayajengwi na mzazi peke yake! Ni ngumu sana kwa mzazi kujifungia na mtoto wako useme unamfundisha maadili. Hayo yanajengwa partly na mzazi, partly na jamii inayomzunguka kwa kuona, kusikia na kujifunza kwa wengine. Sasa inapotokea mtoto muda wote yupo kwenye gari ya shule, au ya mzazi kupelekwa na kurudishwa, na nyumbani ni geti kali, automatically anakua isolated kutoka kwenye community, matokeo yake anaona wa kuheshimiwa ni baba yake na mama tu, wengine ni vikaragosi tuu.
 
Kuna vitu ambavyo logically havi make sense kama hilo la kusomea vibatari maana kwa sasa hata hivyo vibatari havipo. Lakini pia "generation wealth" haimaanishi kuachana na kila kitu tulichokua tunafanya (hata vile vizuri) na kuanza kufanya vitu vingine in the name of maendeleo. Wealth inajengwa juu ya kile kilichopo, haijengwi hewani.

Mfano, kwani kutembea kuna ubaya gani? Kama shule haiko mbali, ni walking distance, mtoto sio mdogo, kuna ubaya gani akatembea badala ya kupanda schoolbus au kupelekwa na gari? Mtoto kusaidia kazi ndogondogo za nyumbani kuna ubaya gani? Sasa hapo ndio mtu anakuambia "sitaki mwanangu apate shida, mimi nilifanya sana hizi kazi sitaki mwanangu apitie hayo!"

Na kingine, haya mambo ya maadili, heshima nk hayajengwi na mzazi peke yake! Ni ngumu sana kwa mzazi kujifungia na mtoto wako useme unamfundisha maadili. Hayo yanajengwa partly na mzazi, partly na jamii inayomzunguka kwa kuona, kusikia na kujifunza kwa wengine. Sasa inapotokea mtoto muda wote yupo kwenye gari ya shule, au ya mzazi kupelekwa na kurudishwa, na nyumbani ni geti kali, automatically anakua isolated kutoka kwenye community, matokeo yake anaona wa kuheshimiwa ni baba yake na mama tu, wengine ni vikaragosi tuu.

Common sense is kind of difficult kwa binadamu wa leo kuifuata. Yeye anatafuta likes.

Mfundishe mapema sana kujitegemea despite all dangers. Ikiwezekana ajifunze kupigana mapema sana. Hata pen knive inaweza kusaidia kutembea nayo.

Tembelea naye hospitalini, watoto yatima, omba omba mtaani, wagonjwa wa Cancer, HIV kila mwezi na kutoa misaadaa.

Atajifunza kitu kitachomsaidia kwenye maisha yake.
 
Mleta mada inaonyesha unakaa eneo la low class kwa Walala hoi ila wewe una kanafuu kidogo ni kama wewe ni katajiri fulani katikati ya maskini kwa ulivyojieleza lakini ungekuwa unakaa high class areas hicho ulichoandika chote ni hopeless mfano hakuna mtoto high class anatembea kwa miguu dakika 25 kwenda shule
Ndiyo mkae na upuuzi wenu namuendelee kuzalisha mashoga kwenye hizo shule zenu
 
Ni changamoto kubwa katika malezi hasa kwa sisi tuliopitia vyuoni na kuna vimishahara au vifaida vya kusongesha life tunajikuta mara nyingi tunalea watoto ndivyo sivyo

1. Mwanzoni mtoto wangu alikuwa anasoma hizi shule za kutoka saa 11 na shuleni wapo wachache darasani hawazidi 20. Pia maendeleo ya social skills sikuyafurahia na hii shule ilichangia katika hili tatizo.

Pesa ya muhula mzima nilikuwa nimeshalipa ila nikamuhamisha shule nyingine ambayo wanawaigi kutoka mchana na darasani wamo kama 57 hivi, nilifanya hivi ili kupanua chances zake za kuwa na marafiki wengi maana kiukweli ile shule ya zamani alikuwa na rafiki moja tu ila kwa sasa ana marafiki wengi, na kitu kingine ike shule ya zamani ilikuwa ni masomo mtundo moja mpaka jioni hii iliminya mda wa wanafunzi kupata mda wa kujuana, hii shuke ya sasa naona wana kmjuoindi cha michezo mara 2 kika wiki, na pia muda wa wanafunzi kujuana zaidi wanapowahi kutoka mchana upo.

Nafurahi sana mwanangu kwa sasa sio mpweke sana kama zamani, shuleni pia iww sehem ya kujenga social skils sio kusoma tu darasani, nami pia kila siki za shule nahakikisha usiku nakaa nae lisaa kumsaidia masomo maana nilipewa syllabus na vitabu wanavyotymia kuwafundishia na wala havinipigi chenga.

2. School bus silipii, sioni umuhimu wake labda mwanafunzi wa mtoto asiezidi miaka mitano na shuke ipo mbali sana, Shule anayosoma mwanangu ukitembea ni mwendo wa dakika 25 tu na wapo wenzake wachache ambao hawalipii school bus wanapitaga njia hii pamoja na wenzao wengi wanaosoma shule ya serikali iliyopo karibu na shule yao, Hii hali nikaona ni kumdumaza tu mtoto hizi school bus, tangu mwaka jana anatwanga mguu na wala sijaona tatizo, Wenzake wengi pia wanaopanda school bus ananiambiaga huwa wanapenda kutembea lakini wazazi hawataki, Kutembea kuna raha yake [emoji16].

3. Akitoka shuleni inabidi afue nguo zake, kuosha vyombo atavyolia chakula, kusafisha chumba chake, n.k hivi nlimpiga stop house girl kuvifanya kwa mwanangu japo wife alipinga kudai bado wadogo ila nikamwambia silei mayai, baada ya hapo ataweza kucheza na marafiki zake hapa kwangu ama kwao kwa kutoa taarifa mapema tutamkuta nyumba ya rafiki yake yupi, zamani nlikuwa nampiga geti kali ila sikuona faida, kwa sasa amekuwa msaada mkubwa kwa wenzake mageti kali ambao kwamfano nyumba flani mzazi aliniomba mtoto wangu awe anaenda pale kila jumapili maana ni siku ambayo mtoto wake anakuwa hajabanwa na hizi shule wanazotoka saa 11 juoni, hana homework, n.k ila kwake hataki kabisa mtoto wake kutoka nje, ni jambo zuri kuwapa kampani wenzake mi nikamkubalia maana huyo mtoto ndio alikuwa best wake wa shule ya zamani na hata wazazi wake tunajuana nao na ni mfano wa familia bora yenye maadili kwa hio huwa sina shaka, japo nilimuambia mwanangu akijiona hataki au kachoka kwenda awe free kuniambia, haniogopi huwa hasiti kuniambia chochote

4. Zamani nilimwekea Playstation (game ya tv) na katuni nikijidanganya ndio vitampa kampani kama rafiki, kiukweli nilijidanganya, kwanza hii playstation ikaanza kumpa kama uraibu flani wa kuwa teja, yani akisikia playstation anakuwa kama teja hivi, weekend ukifika ndo kabisa anaweza kushinda hapo kwenye screen hadi mnashangaaa. Kiukweli nikaona hizo kampani zake za katuni na magem yatamuharibu na kumfanya afikirie katika ulimwengu ambao haupi kama huo w akwene game na katuni, Ikabidi nimletee mpira awe anacheza cheza nje maana alikuwa anashinda sana ndani, ile game nikaficha nikamdanganya ipo kwa fundi, kidogo kidogo akaanza kuzoea nje, nikamletea na ka mbwa kadogo basi akawa anakapenda sana saizi ni mbwa mkubwa wa ulinzi hapa, furaha yangu ni kumuona akiwa nje, hivi na vile nikaamwamisha shule akaanza kuwa na marafiki kadhaa, nikaacha kulipia schoolbus ili awe ananyoosha vimiguu, n.k basi ndo namimi nafurahi hapo

5. Kuna kipindi flani nilipokuwa naenda kijijini (ni mwendo wa saa moja toka napishi) kwenye vikao hivi na kuwajulia hali ndugu zangu, nilikuwa naenda na huyu mwanagu nae, navyoendelea na shughuli zangu alikuwa anachangamana na wenzake, akiwa huko na wenzake aliweza kufundishwa kujipikia ugali maana kule kijijini kujipikia ni kitu cha lazima kukijua, Hii hali inamwandaa mapema hata atakapoanza maisha yake asiwe mpya kwenye kujilisha, Mke wangu hili jambo mwanzoni alichukizwa nalo sana na kuanza kuniambia mtoto wetu hafai kupika hadi awe mkubwa kwa sasa asome tu lakini kwangu nilipingana nae nikamwambia hakuna tatizo mtoto wetu kujua kupika, ipo siku atahitaji hiki alichojifunza, Hpa fundisho kuu ni kwamba mtoto inabidi ajue kujilisha, Isiwe tu kwa watoto wa kike bali hata wa kume.

6. Michezo - hapa kwanza kabisa nianze na kuelezea kwambaniliwahi kugharamie ajifunze kuogelea, maana kule kijijini nilihofia kuna siku wataenda huko mtoni na majanga yakampata, kwa hio nilichukua hii precaution haraka, Nawaasa sana wazazi mambo kama kuogelea msiyapuuze, ni kitu kinachweza kuokoa maisha ya mwanao au yeye kuokoa maisha ya wengine. Kitu kungine kwa kuchangamana na wezake huku kwetu na shuleni ameweza kuwa mchezaji mzuri tu wa mpira ni kitu kizuri ila pia kijijini kule alifundishwa hizi sarakasi aliteguka mkono mama yake tuligombana sana hii ishu, ila hakuacha aliendelea na kufanikiwa kuweza kuruka hizi sarakasi, Mwaka jana siku ya wazazi wanapofunga shule nilipata kujisikia vizuri nilipomuona mwanagu akiwa anaonyesha ujuzi wake mwele ya umati wa wanafunzi na wazazi tuliofika hapo, Ni jambo lililonifurahisha na hata marafiki zangu na wa mke wangu walipoona zile video tulipewa visifa kidgo, basi hata wife zile hasira zake za mtoto kujifunza sarakasi zikawa zinashuka

7. Kuhusu kumlimbikizia kazi house girl mbazo ni wajibu wa mtoto kuzifanya nimezingatia hili suala japo tumekorofishana sana na mke wangu anaetaka housegirl afanye karibu kila kitu watoto wakae tu, Binafsi nilikataa kabisa huu mpango na mtoto ameshauzoea na umekuwa na tija kwake kujua mapema kwamba maisha ni majukumu, Hata hivyo leo hii au kesho hali yetu inaweza ikawa mbaya watoto wakapata wakati mgumu maana hakutauwa na house girl, Ni kwamba kwa sasa kazi zilizokuwa zinafanywa na house girla anazifanya huyu mwanangu ama awanapeana zamu inapobidi baadhi ya kazi ni : Kabla hajalala inabidi apasi nguo zake, Inabidi atandike kitanda chake kila siku, asafishe chumba chake, akitoka shuleni afue uniform zake, Asubuhi akiamka anafagia uwanja kwa zamu na house girl leo yeye kesho hause gerl, Viombo anavyolia inabidi aoshe yeye, n.k Mwanzoni alikuwa mgumu ila nilimfundisha, na alipokuwa mzembe nilimuonya, na aliporudia uzembe bakora ilitumika.

8. Matumizi ya bakora yanatumika kwa sasa mwanangu napomfundisha kitu flani, akarudia nikamuonya, akarudia tena nikamkaripia ila akiendelea kuna viboko vya mpera, Matumizi ya viboko kwa usahihi ni muhimu sana katika malezi ya watoto, Yapasa atambue kuna madhara ya kutofata anachofundishwa na wazazi wake na kutokiheshimu, Hii pia hata akiwa mkubwa anajitegemea atakuwa anajua kabisa kwamba asipofata hizi sheria jela inamhusu au atafunzwa na walimwengu, Wazazi msipuuzie viboko hivi, kuna maana kubwa sana vimeruhusiwa kutumika hata kwenye biblia na korani na hata kutumuka vizazi hadi vizazi hadi hapa tulipo, haya malezi ya wazungu mnayoyaiga ni kuacha asili yenu, Narudi tena tuvitumie viboko kwa njia sahihi sio kila mda unapiga tu.
Hii ndio nyungu iliyo sahihi...

Hongera sana mkuu, pia Ahsante sana kwa hili somo zuri la malezi!
 
Tuliozaliwa kijijini na Kisha kuja mjini ukubwani aloo tunayajua maisha kinoma.

Utotoni Kwanza full kucheza porini michezo ya kujificha, kombolela, rede, kuruka kamba, kuwinda ndege, kuwinda nyani, kuchoma misitu Moto (utukutu), kutafuta uyoga, kugema ulimbo wankutegea ndege, kutega kware na tetere kwa mitego.

Kuchonga PIA, kuchonga ngorogojo (sijui Ni kkswahili sahihi??) Kuchonga magari ya udongo na magunzi.

Kuchunga mbuzi porini masafa ya mbaaaaali huko milimani na mabondeni mnakutana kundi kubwa na wachungaji mnafurahi pamoja. Kuogelea mtoni na mabwawani, kuvua samaki kwa ndoano mtoni.

Kwenda kuvua samaki kwa nyavu mnakaa porini huko wiki nzima. Kufanya vibarua vya kulima maporini hukoo mnakuwa mnalala huko kama wiki nzima. Kuwinda nyani, sungura, swala n.k kwa mbwa!!


Daaah let me go to the village next year!!!!!!
Mmmm kukaa porin wik nzima?
 
Kuna vitu ambavyo logically havi make sense kama hilo la kusomea vibatari maana kwa sasa hata hivyo vibatari havipo. Lakini pia "generation wealth" haimaanishi kuachana na kila kitu tulichokua tunafanya (hata vile vizuri) na kuanza kufanya vitu vingine in the name of maendeleo. Wealth inajengwa juu ya kile kilichopo, haijengwi hewani.

Mfano, kwani kutembea kuna ubaya gani? Kama shule haiko mbali, ni walking distance, mtoto sio mdogo, kuna ubaya gani akatembea badala ya kupanda schoolbus au kupelekwa na gari? Mtoto kusaidia kazi ndogondogo za nyumbani kuna ubaya gani? Sasa hapo ndio mtu anakuambia "sitaki mwanangu apate shida, mimi nilifanya sana hizi kazi sitaki mwanangu apitie hayo!"

Na kingine, haya mambo ya maadili, heshima nk hayajengwi na mzazi peke yake! Ni ngumu sana kwa mzazi kujifungia na mtoto wako useme unamfundisha maadili. Hayo yanajengwa partly na mzazi, partly na jamii inayomzunguka kwa kuona, kusikia na kujifunza kwa wengine. Sasa inapotokea mtoto muda wote yupo kwenye gari ya shule, au ya mzazi kupelekwa na kurudishwa, na nyumbani ni geti kali, automatically anakua isolated kutoka kwenye community, matokeo yake anaona wa kuheshimiwa ni baba yake na mama tu, wengine ni vikaragosi tuu.
Very deep thoughts mkuu, kweli tuna watu walioelimika humu jf, umegongea nyundo points nyingi sana,
 
Kuna mambo mabaya anaweza kujifunza njia anazopita, you can't believe.Don't trust neighbour.
uwangalizi wa karibu na kumfatilia mara kwa mara yupo wap, anacheza na nan na ni mchezo gan anaocheza. Hii itasaidia pia
 
Ni changamoto kubwa katika malezi hasa kwa sisi tuliopitia vyuoni na kuna vimishahara au vifaida vya kusongesha life tunajikuta mara nyingi tunalea watoto ndivyo sivyo

1. Mwanzoni mtoto wangu alikuwa anasoma hizi shule za kutoka saa 11 na shuleni wapo wachache darasani hawazidi 20. Pia maendeleo ya social skills sikuyafurahia na hii shule ilichangia katika hili tatizo.

Pesa ya muhula mzima nilikuwa nimeshalipa ila nikamuhamisha shule nyingine ambayo wanawaigi kutoka mchana na darasani wamo kama 57 hivi, nilifanya hivi ili kupanua chances zake za kuwa na marafiki wengi maana kiukweli ile shule ya zamani alikuwa na rafiki moja tu ila kwa sasa ana marafiki wengi, na kitu kingine ike shule ya zamani ilikuwa ni masomo mtundo moja mpaka jioni hii iliminya mda wa wanafunzi kupata mda wa kujuana, hii shuke ya sasa naona wana kmjuoindi cha michezo mara 2 kika wiki, na pia muda wa wanafunzi kujuana zaidi wanapowahi kutoka mchana upo.

Nafurahi sana mwanangu kwa sasa sio mpweke sana kama zamani, shuleni pia iww sehem ya kujenga social skils sio kusoma tu darasani, nami pia kila siki za shule nahakikisha usiku nakaa nae lisaa kumsaidia masomo maana nilipewa syllabus na vitabu wanavyotymia kuwafundishia na wala havinipigi chenga.

2. School bus silipii, sioni umuhimu wake labda mwanafunzi wa mtoto asiezidi miaka mitano na shuke ipo mbali sana, Shule anayosoma mwanangu ukitembea ni mwendo wa dakika 25 tu na wapo wenzake wachache ambao hawalipii school bus wanapitaga njia hii pamoja na wenzao wengi wanaosoma shule ya serikali iliyopo karibu na shule yao, Hii hali nikaona ni kumdumaza tu mtoto hizi school bus, tangu mwaka jana anatwanga mguu na wala sijaona tatizo, Wenzake wengi pia wanaopanda school bus ananiambiaga huwa wanapenda kutembea lakini wazazi hawataki, Kutembea kuna raha yake 😁.

3. Akitoka shuleni inabidi afue nguo zake, kuosha vyombo atavyolia chakula, kusafisha chumba chake, n.k hivi nlimpiga stop house girl kuvifanya kwa mwanangu japo wife alipinga kudai bado wadogo ila nikamwambia silei mayai, baada ya hapo ataweza kucheza na marafiki zake hapa kwangu ama kwao kwa kutoa taarifa mapema tutamkuta nyumba ya rafiki yake yupi, zamani nlikuwa nampiga geti kali ila sikuona faida, kwa sasa amekuwa msaada mkubwa kwa wenzake mageti kali ambao kwamfano nyumba flani mzazi aliniomba mtoto wangu awe anaenda pale kila jumapili maana ni siku ambayo mtoto wake anakuwa hajabanwa na hizi shule wanazotoka saa 11 juoni, hana homework, n.k ila kwake hataki kabisa mtoto wake kutoka nje, ni jambo zuri kuwapa kampani wenzake mi nikamkubalia maana huyo mtoto ndio alikuwa best wake wa shule ya zamani na hata wazazi wake tunajuana nao na ni mfano wa familia bora yenye maadili kwa hio huwa sina shaka, japo nilimuambia mwanangu akijiona hataki au kachoka kwenda awe free kuniambia, haniogopi huwa hasiti kuniambia chochote

4. Zamani nilimwekea Playstation (game ya tv) na katuni nikijidanganya ndio vitampa kampani kama rafiki, kiukweli nilijidanganya, kwanza hii playstation ikaanza kumpa kama uraibu flani wa kuwa teja, yani akisikia playstation anakuwa kama teja hivi, weekend ukifika ndo kabisa anaweza kushinda hapo kwenye screen hadi mnashangaaa. Kiukweli nikaona hizo kampani zake za katuni na magem yatamuharibu na kumfanya afikirie katika ulimwengu ambao haupi kama huo w akwene game na katuni, Ikabidi nimletee mpira awe anacheza cheza nje maana alikuwa anashinda sana ndani, ile game nikaficha nikamdanganya ipo kwa fundi, kidogo kidogo akaanza kuzoea nje, nikamletea na ka mbwa kadogo basi akawa anakapenda sana saizi ni mbwa mkubwa wa ulinzi hapa, furaha yangu ni kumuona akiwa nje, hivi na vile nikaamwamisha shule akaanza kuwa na marafiki kadhaa, nikaacha kulipia schoolbus ili awe ananyoosha vimiguu, n.k basi ndo namimi nafurahi hapo

5. Kuna kipindi flani nilipokuwa naenda kijijini (ni mwendo wa saa moja toka napishi) kwenye vikao hivi na kuwajulia hali ndugu zangu, nilikuwa naenda na huyu mwanagu nae, navyoendelea na shughuli zangu alikuwa anachangamana na wenzake, akiwa huko na wenzake aliweza kufundishwa kujipikia ugali maana kule kijijini kujipikia ni kitu cha lazima kukijua, Hii hali inamwandaa mapema hata atakapoanza maisha yake asiwe mpya kwenye kujilisha, Mke wangu hili jambo mwanzoni alichukizwa nalo sana na kuanza kuniambia mtoto wetu hafai kupika hadi awe mkubwa kwa sasa asome tu lakini kwangu nilipingana nae nikamwambia hakuna tatizo mtoto wetu kujua kupika, ipo siku atahitaji hiki alichojifunza, Hpa fundisho kuu ni kwamba mtoto inabidi ajue kujilisha, Isiwe tu kwa watoto wa kike bali hata wa kume.

6. Michezo - hapa kwanza kabisa nianze na kuelezea kwambaniliwahi kugharamie ajifunze kuogelea, maana kule kijijini nilihofia kuna siku wataenda huko mtoni na majanga yakampata, kwa hio nilichukua hii precaution haraka, Nawaasa sana wazazi mambo kama kuogelea msiyapuuze, ni kitu kinachweza kuokoa maisha ya mwanao au yeye kuokoa maisha ya wengine. Kitu kungine kwa kuchangamana na wezake huku kwetu na shuleni ameweza kuwa mchezaji mzuri tu wa mpira ni kitu kizuri ila pia kijijini kule alifundishwa hizi sarakasi aliteguka mkono mama yake tuligombana sana hii ishu, ila hakuacha aliendelea na kufanikiwa kuweza kuruka hizi sarakasi, Mwaka jana siku ya wazazi wanapofunga shule nilipata kujisikia vizuri nilipomuona mwanagu akiwa anaonyesha ujuzi wake mwele ya umati wa wanafunzi na wazazi tuliofika hapo, Ni jambo lililonifurahisha na hata marafiki zangu na wa mke wangu walipoona zile video tulipewa visifa kidgo, basi hata wife zile hasira zake za mtoto kujifunza sarakasi zikawa zinashuka

7. Kuhusu kumlimbikizia kazi house girl mbazo ni wajibu wa mtoto kuzifanya nimezingatia hili suala japo tumekorofishana sana na mke wangu anaetaka housegirl afanye karibu kila kitu watoto wakae tu, Binafsi nilikataa kabisa huu mpango na mtoto ameshauzoea na umekuwa na tija kwake kujua mapema kwamba maisha ni majukumu, Hata hivyo leo hii au kesho hali yetu inaweza ikawa mbaya watoto wakapata wakati mgumu maana hakutauwa na house girl, Ni kwamba kwa sasa kazi zilizokuwa zinafanywa na house girla anazifanya huyu mwanangu ama awanapeana zamu inapobidi baadhi ya kazi ni : Kabla hajalala inabidi apasi nguo zake, Inabidi atandike kitanda chake kila siku, asafishe chumba chake, akitoka shuleni afue uniform zake, Asubuhi akiamka anafagia uwanja kwa zamu na house girl leo yeye kesho hause gerl, Viombo anavyolia inabidi aoshe yeye, n.k Mwanzoni alikuwa mgumu ila nilimfundisha, na alipokuwa mzembe nilimuonya, na aliporudia uzembe bakora ilitumika.

8. Matumizi ya bakora yanatumika kwa sasa mwanangu napomfundisha kitu flani, akarudia nikamuonya, akarudia tena nikamkaripia ila akiendelea kuna viboko vya mpera, Matumizi ya viboko kwa usahihi ni muhimu sana katika malezi ya watoto, Yapasa atambue kuna madhara ya kutofata anachofundishwa na wazazi wake na kutokiheshimu, Hii pia hata akiwa mkubwa anajitegemea atakuwa anajua kabisa kwamba asipofata hizi sheria jela inamhusu au atafunzwa na walimwengu, Wazazi msipuuzie viboko hivi, kuna maana kubwa sana vimeruhusiwa kutumika hata kwenye biblia na korani na hata kutumuka vizazi hadi vizazi hadi hapa tulipo, haya malezi ya wazungu mnayoyaiga ni kuacha asili yenu, Narudi tena tuvitumie viboko kwa njia sahihi sio kila mda unapiga tu.
Waafrika huwa wanajiandaa kuishi maisha duni. Mtoto akipelekwa shule nzuri kila mtu anashangaa... roho ya umaskini.
 
Ni vizuri kumpa elimu sahihi katika mazingira sahihi; kuna mzee mmoja yeye ni mfanya biashara ameweza kumiliki asset mbalimbali ikiwamo viwanda , hotel, shule, usafirishaji n.k Na watoto wake wote watano amewasomesha nje, kuanzia chekechea mpaka masters. Cha ajabu mpaka leo hii, huyo mzee anapambana tu, watoto wamekuwa sio wazalishaji zaidi ya kutumia tu. Nadhani njia unayotumia ni sahihi, na inamjengea mtoto kuishi mazingira halisi ya kitanzania kwa sababu hutegemei akawe Director IMF
 
Back
Top Bottom