Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
UmeonaeeeHater huyo utamuweza always negativity!!!
Kweli mkuu....kama Tanga vile,mchana watu ushungi usiku vimini
Popote pale afrika mashariki na kusini..Ni kweli wanawake sio mombasa tu yaani Kenya kwa ujumla wake wanapenda wanaume wa Kitanzania,tena wanafurahi sana pale tunapoongea kiswahili chetu.
Tanga kwenda Mombasa unakatisha tu Duga Maforoni. Vijana wa Tanga Jumamosi wanakwenda disco Mombasa wanarudi JumapiliMombasa ni Zanzibar au Tanga
ingekuwa Nairobi ndio ungejua kwamba ni vipi. Maana wenzetu kule hata msibani huvaa kama party tuu.
Tanga kwenda Mombasa unakatisha tu Duga Maforoni. Vijana wa Tanga Jumamosi wanakwenda disco Mombasa wanarudi Jumapili
kwa wale wanaoskia tu Manza Bay waambie nayo yapatikana barabara kuu ya Tanga Mombasa....Tanga kwenda Mombasa unakatisha tu Duga Maforoni. Vijana wa Tanga Jumamosi wanakwenda disco Mombasa wanarudi Jumapili
imekua ligiHata mimi niko Arusha huwa naenda disco nairobi Ijumaa jioni narudi Jpili mchana
Somo wake yupo vizuri! kwakweli kibao cha Nyota ndogo kimburudishe huko aliko....Bi harusi pambeeee!Wana stara haswaa na haiba ya kike nimependa bi harusi alivyo na hayaa na staraa!hana matashtitiii mdada wa watu!hongera kungwiiii mwl wetu sio kigegooo!
Ingia na wewe ucheze. huo ndio ukweli wenyeweimekua ligi
Mzee ktk ubora wako...kama kawa number 1WABONGO KWA NINI TUNAPENDA NEGATIVE THINKING?? SASA AWE MIAKA 23 AU ASIWE 23 WEWE INAKUATHIRI VIPI
AHHAHAHA NAPITA TUMzee ktk ubora wako...kama kawa number 1