Nilichogundua kuhusu Wanawake wa Mombasa...

Ni mara 30 ya mombasani kuliko bongo [HASHTAG]#wanaume[/HASHTAG] kuchezea tz kuona another country #
 
Kwani yeye kiba mtoto? Mitoto ina miaka 23 imeshafanya mambo ya wamama wa miaka 45 toa mimba vibaya sana hadi ukiingia unaitwa kibamia acheni kiba apete kama kawaida wa bongo kwa unafiki na majungu hayo yanamfanya had leo mond kuwa kama chizi kwa wanawake mana maisha yake yanaendeshwa na watu wa mitandaoni na familia yake
 
Wewe hii story umeipata kutoka insta kny page ya udakutz..siyo utafiti wako labda uwe mmiliki wa udakutz.
 
Wabongo bwana kwani mmesikia alikiba anatafuta timu vijana chini ya umri Wa miaka 18
 
Anayo kaweka private. Akija Tz awafungie vioo kabisaa maisha yake yawe yake na familia yake itakua poa. Maisha ya kiki na mashindano awaachie akina fulani
Ninacho mkubali Ali maisha ya privacy anayaweza kwahyo wale wachokonoaji watakula za uso tu
 
Kuna saa anavujisha kwa team yake hii sifa kusema kiba msiri si kweli ila tu hatumii account zake,ukienda kwa team zake unapata habari zake za kila aina. Bi harus walimtangaza wee na mapicha kibao wengi hawakuamin. Ila bidada akimcontrol vizuri team hazitapata udaku udaku
Ninacho mkubali Ali maisha ya privacy anayaweza kwahyo wale wachokonoaji watakula za uso tu
 
Ninacho mkubali Ali maisha ya privacy anayaweza kwahyo wale wachokonoaji watakula za uso tu
Kiba ana privacy yoyote sema anatumia timu yke kutangaza habari zke iwe ya malipo anayopewa na mafanikio tembelea Group za O. G ZA Team kiba utaona
 
povu la mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…