Nilichogundua mimi ni kwamba Rais Samia yuko mbele ya muda kwenye kuongoza

Nilichogundua mimi ni kwamba Rais Samia yuko mbele ya muda kwenye kuongoza

Mkungunero

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2023
Posts
401
Reaction score
569
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.
Wanaamini sana rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana jpm alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho Yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Hebu tajeni matusi aliotukanwa raisi. Alafu kuuza nchi na uwekezaji ni mambo mawili tofauti. Kiufupi hatuna kiongozi hata ukimsikiliza unaona kabisa hana maono ya mbali. Amalizeuda wake apumzike hana jipya
 
Hebu tajeni matusi aliotukanwa raisi. Alafu kuuza nchi na uwekezaji ni mambo mawili tofauti. Kiufupi hatuna kiongozi hata ukimsikiliza unaona kabisa hana maono ya mbali. Amalizeuda wake apumzike hana jipya
Mlizoea muuaji yule huyo yupo tofauti kabisa. Anamuogopa mungu
 
Dar ipi hiyo ambapo mvua kisoda mafuriko mpka matakoni acha kudanganya watu hatuna mji wenye miundo mbinu ya maana mnasifia ujinga
Jpm alianzisha mradi Gani ulioisha. Nitajie hata mmoja tu. Yote kaimaliza mama kwa uungwana tu mana angeweza kuitelekeza akaanzisha vya kwake ila mama siyo mtu wa masifa. Jpm yeye alitelekeza miradi ya jk yote ili apate sifa yeye tu
 
Jpm alianzisha mradi Gani ulioisha. Nitajie hata mmoja tu. Yote kaimaliza mama kwa uungwana tu mana angeweza kuitelekeza akaanzisha vya kwake ila mama siyo mtu wa masifa. Jpm yeye alitelekeza miradi ya jk yote ili apate sifa yeye tu
😂😂😂😂
 
Halafu hao hao ambao shule ni tatizo ndio wanajaa kwenye mikutano ya Samia maana wenye elimu hawawezi kuacha mambo yao na kwenda kusimama juani kumsikiliza, hao hao ambao shule ni tatizo ndio wanaenda kwa wingi kupiga kura kuliko ambao wenye elimu.
 
Halafu hao hao ambao shule ni tatizo ndio wanajaa kwenye mikutano ya Samia maana wenye elimu hawawezi kuacha mambo yao na kwenda kusimama juani kumsikiliza, hao hao ambao shule ni tatizo ndio wanaenda kwa wingi kupiga kura kuliko ambao wenye elimu.
Unataka kusema akina prof lipumba au .kandala hawana elimu
 
Hebu tajeni matusi aliotukanwa raisi. Alafu kuuza nchi na uwekezaji ni mambo mawili tofauti. Kiufupi hatuna kiongozi hata ukimsikiliza unaona kabisa hana maono ya mbali. Amalizeuda wake apumzike hana jipya
Mm ananishangaza na misemo yake ya uswahili hiv watu wa ndani ndani huko wanamuelewa kweli ,, awe anaongea vitu vilivyoonyooka siyo mafumbo
 
Jpm alianzisha mradi Gani ulioisha. Nitajie hata mmoja tu. Yote kaimaliza mama kwa uungwana tu mana angeweza kuitelekeza akaanzisha vya kwake ila mama siyo mtu wa masifa. Jpm yeye alitelekeza miradi ya jk yote ili apate sifa yeye tu
Ubungo interchange, elimu bure, umeme wa bure REA kwa 27,000/= tu, kurekebisha mikatataba ya majizi ya migodi, n.k. Hii ni baadhi aliyoianzisha na kuikamilisha! Mingine aliacha kalipa zaidi ya 75% ya gharama zake, mfano: tanzanite bridge (Dar), kufufua shirika la ndege, Bwawa la Nyerere, daraja la busisis (mwanza), SGR (DAR hadi Makutupora), Nyumba nyingi za askari polisi nchi nzima alizijenga na zikaisha (hawa jamaa walikuwa hawana makazi yenye staha). Alinunua Rada zaidi ya nne za kulinda anga na mipaka ya nchi zikakamilika 100% (nchi hii ilikuwa haina ulinzi kabisa). Viwanja vyote vya ndege vipya katika mikoa ambayo haikuwa na viwanja vya ndege alivuanzisha yeye na vingi aliacha amevikamilisha zaidi ya 90%. N.k., n.k, nk., ANAYEMBEZA JPM atakuwa hajui kinachaendelea ndani ya nchi hii
 
Back
Top Bottom