Nilichogundua mimi ni kwamba Rais Samia yuko mbele ya muda kwenye kuongoza

Nilichogundua mimi ni kwamba Rais Samia yuko mbele ya muda kwenye kuongoza

Yuko mbele ya muda kwenye kuhamasisha ufisadi
 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
e8f2b5781c320699ac9d946a0d68bff5.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Purchasing power imeongezeka kwanza na uchumi ni purchasing power.
Aliye kufundisha uchumi ni purchasing power ni nani?

Purchasing power ni kipengele kimojawapo tu kinacho athiri uchumi.

Vipi kuhusu,
Mfumuko wa bei
Unemployment rate
Taxation
Sera za serikali
Kiwango cha uwekezaji na Teknolojia
Kiwango cha uzalishaji
Trade
n.k

Hivyo navyo vimeboreka sio??
 
Dar ipi hiyo ambapo mvua kisoda mafuriko mpka matakoni acha kudanganya watu hatuna mji wenye miundo mbinu ya maana mnasifia ujinga

Huu ni unafki miundo mbinu kila cku inajengwa masoko ya hadhi yanajengwa dsm kila siku inazid kua kali na sio dar tuh maeneo mengi ila mtu akileta hizo habari mnamuita chawa
Habar mnazotaka ni mbaya tuh za kuponda serikali
 
Aliye kufundisha uchumi ni purchasing power ni nani?

Purchasing power ni kipengele kimojawapo tu kinacho athiri uchumi.

Vipi kuhusu,
Mfumuko wa bei
Unemployment rate
Taxation
Sera za serikali
Kiwango cha uwekezaji na Teknolojia
Kiwango cha uzalishaji
Trade
n.k

Hivyo navyo vimeboreka sio??
Mfumko wa bei unaweza kuwa positive au negative kutegemeana na rate ya mfumko. Ukiwa kwenye 5. O had 6 ni mzuri kwa wawekezaji mana Kuna faida kubwa. Ukiwa below 5 ni mbaya sana kwa investment.
 
Huu ni unafki miundo mbinu kila cku inajengwa masoko ya hadhi yanajengwa dsm kila siku inazid kua kali na sio dar tuh maeneo mengi ila mtu akileta hizo habari mnamuita chawa
Habar mnazotaka ni mbaya tuh za kuponda serikali
Huu sio muda wakukaa kusifia serikali.tuko nyuma wa muda nyie mnawaza kusifiana.Marekani kwenyewe wako busy na kazi sisi tumebaki kusifiana.kwa kipi cha ajabu kilichofanyika?
 
Mfumko wa bei unaweza kuwa positive au negative kutegemeana na rate ya mfumko. Ukiwa kwenye 5. O had 6 ni mzuri kwa wawekezaji mana Kuna faida kubwa. Ukiwa below 5 ni mbaya sana kwa investment.
Tuambie mfumuko wa bei wa Tz kwa sasa wacha siasa nyepesi.
Investment zipi zimefanyika Tz zikitumia ongezeko la bei za bidhaa kama advantage?

Utasemaje mfumuko wa bei kuanzia 5.0 mpaka 6.0 ni mzuri kwa wawekezaji wakati hakuna uwekezaji wowote uliofanyika ukitumia faida ya huo mfumuko wa bei?
Acha upotoshaji.
 
Tuambie mfumuko wa bei wa Tz kwa sasa wacha siasa nyepesi.
Investment zipi zimefanyika Tz zikitumia ongezeko la bei za bidhaa kama advantage?

Utasemaje mfumuko wa bei kuanzia 5.0 mpaka 6.0 ni mzuri kwa wawekezaji wakati hakuna uwekezaji wowote uliofanyika ukitumia faida ya huo mfumuko wa bei?
Acha upotoshaji.
Hotel za watalii zimeongeka, wawekezaji wanamiminika kama mvua na ndo mana do world wamekuwa attracted kuja kwa sababu Kuna conducive invitinment kwa wao kuja. Ingekuwa kipindi Cha jpm wasingekuja kabisa hata Mo alitaka kukimbia
 
Mama abdul ana IQ ndogo sana, ana relate na feitoto alivoropoka pale clouds fm
 
Halafu hao hao ambao shule ni tatizo ndio wanajaa kwenye mikutano ya Samia maana wenye elimu hawawezi kuacha mambo yao na kwenda kusimama juani kumsikiliza, hao hao ambao shule ni tatizo ndio wanaenda kwa wingi kupiga kura kuliko ambao wenye elimu.
Wenye elimu kazi yao ni kukosoa na kusambaza vibonzo vya matusi na kejeli. Samia anakwenda kwa hao hao wenye elimu ndogo na ndio wapiga kura waaminifu.
 
Hotel za watalii zimeongeka, wawekezaji wanamiminika kama mvua na ndo mana do world wamekuwa attracted kuja kwa sababu Kuna conducive invitinment kwa wao kuja. Ingekuwa kipindi Cha jpm wasingekuja kabisa hata Mo alitaka kukimbia
Unalewa hata nilicho kuuliza?
Umekubali Tz kuna mfumuko wa bei?

Hoteli kuongezeka inahusiana mfumuko wa bei wa bidhaa gani hasa?
Nimekuuliza huo mfumuko wa bei umepelekea kuongezeka kwa investment gani?
Wewe unaniambia wawekezaji wanamiminika kwa sababu wamekua attracted na conduncive environment.
Acha kurukaruka. Jibu ulicho ulizwa.
 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Chawa kazini.... Mkeka wa Ma DC haupo mbali
 
Unalewa hata nilicho kuuliza?
Umekubali Tz kuna mfumuko wa bei?

Hoteli kuongezeka inahusiana mfumuko wa bei wa bidhaa gani hasa?
Nimekuuliza huo mfumuko wa bei umepelekea kuongezeka kwa investment gani?
Wewe unaniambia wawekezaji wanamiminika kwa sababu wamekua attracted na conduncive environment.
Acha kurukaruka. Jibu ulicho ulizwa.

Don’t waste ur energy, hajielewi…
 
Back
Top Bottom