Nilichogundua mimi ni kwamba Rais Samia yuko mbele ya muda kwenye kuongoza

Nilichogundua mimi ni kwamba Rais Samia yuko mbele ya muda kwenye kuongoza

Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Mama Samaia ana muono wa mbali sana tena sana, niliwahi kuandika hivi:

 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.













Hii mindset ni ya mtu aliepatwa na ugonjwa wa utapiamlo wakati wa utoto kiasi ukaathiri mpaka ubongo.





Inawezekana kabisa kuwasilisha hoja zenu bila kuwatusi wengine wala kutweza Utu wa wengine Kisa mnatofautiana mitizamo ya kisiasa.
 
Mafuriko hata nchi zilizoendelea yanatokea huko acha ushamba wako
Tofautisha mafuriko yanayoletwa na majanga ya asili sisi mvua ya siku moja tena ndogo tu inajaza nyumba za watu. Ww ndio mshamba wa kutojua miundo mbinu yetu haihimili hata mvua ya masaa mawili.
 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.

unalaliwa ww siyo bure
 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Ww una akili ndogo kaa kimya waache watu wenye akili kubwa walipitishe Taifa salama ktk wakati tulionao ww ni chawa wa SAMIA hivyo ni ngumu kwa ww kujua ugumu ujao huko mbele,watu wanajua zaidi economic diplomacy zaidi ya mama yako.Kuongoza nchi hakutaki ujanja ujanja.
 
Pale "r" inapowekwa katika "l"...

Kuongea ni sawa...leo hadi kuandika ?!!!

Saaalaaleeee shule mlikwenda kusomea "ungeseeerrrrrr"?!! [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe ni kiazi tu, hata unachochangia huwa hakieleweki, unabaki kurukaruka na kujichekesha tu. Tangu ulawitiwe shule basi unaona kila aliyepita shule ni mhanga mwenzako. Huo msala ulikupata peke yako, vumilia tu, utasahau taratibu, hivyo unavyojikumbushiakumbushia ndiyo unazidi kujitesa.
 
Wawekezaji kwenye Nchi zenye viongozi mafisadi ni hatari kuliko Vita yoyote Duniani.

Nchi nyingi za Afrika Zina watawala mafisadi . Wawekezaji wanaingia Afrika Kama majambazi wakishirikiana na watawala kupora Mali za umma. Ndiyo maana hawataki mabadiliko yanayogusa maslahi Yao.

Kama Rais hajui kazi ya Katiba na na utawala unaosimamia Katiba unategemea atawaweza wawekezaji wanapogeuka KUWA wezi kama kule Loliondo.

Tanzania Kwa idadi ya wawekezaji waliopo na rasilimali za Nchi haiiingii akililini KUWA Bado tunategemea vikodi vya watumishi Wa umma na miamala na Tozo na vikokotoo kuendesha Nchi.

CCM na Serikali yake imeshindwa vibaya .
Lakini Mwenyekiti wao ameshindwa zaidí.

Afrika kusini ni Nchi iliyoendelea sana barani Afrika lakini maendeleo yake hayawanufaishi waafrika wazawa Kwa sababu rasilimali walizopewa na Mungu zimeporwa na wageni.
Kwa Sasa Fursa pekee ya waafrika kule Afrika ya kusini ni kupata uongozi Wa kisiasa . Weusi hawana Ardhi ,hawana migodi ,hawana mazoo ya wanyama kama Wazungu , hawana majengo na majumba ya kupangisha ,hawana , viwanda , hawana mahoteli, hawakai maeneo mazuri.
Ndiko anakotupeleka Rais Samia . Analiza rasilimali zote za Nchi Kwa Wageni kutimiza malengo ya Wakoloni waliyokua wameyadhamiria KUWA wamiliki rasilimali na waafrika wamiliki siasa . Wawe ni vibaraka Wa Wazungu na Waarabu na madalali Wa Wahindi kwenye biashara na madili.

Kifupi Nchi za Kiafrika hazina watawala Wazalendo ,ndiyo maana yanapotokea Mapinduzi au vita wanabeba mabegi ya Mapesa na kukimbilia Ulaya .

Watawala Wa Afrika wanaficha Mapesa ndani Badala ya kuwekeza Badala yake wanakimbilia kuficha Huko ughaibuni .

Wapinzani wakiwa na akili NZURI waraiondosha CCM madarakani Kwa katiba hii hii na CCM watalia na kusaga meno. Hata KANU iliondoshwa wakiwa na Katiba ya chama kimoja na TANU ikafutika kabisa kwenye uso Wa Dunia.

Wapinzani wakiwa anazunguka kufanya mikutano bila kufanya harambee ya kukusanya fedha Kwa ajili ya uchaguzi Wa 2024 na 2025 ni kubweteka huko. Hakuna wafadhili wema kwenye pesa bila kujitoa wenyewe.
Mfano Chadema ni vyema ikajiimarisha Kwa kuweka malengo ya kukusanya kama bil. 100 kuelekea uchaguzi mkuu . Na fedha hizo zitumike kwenye ngazi za Chini kabisa na Sio kufanya madili ya Kununua T-shirt na magari mabovu.
Pesa hizo zielekezwe Kwa wapiga debe wale Wa vijijini kabisa. Kwa mabodaboda , mama Ntilie wamyeviti Wa ngazi za Msingi kabisa . Pia Kila jijiji kiwe na Ofisi ya inayomilikiwa na chama Sio kupangisha majengo ya Watu Binafsi ambao anapoacha chama na Ofisi inafungwa .


CCM Kwa Sasa Haina MTU Mwenye uwezo Wa kueleza Dirá ya Taifa na Maono ya mbele Kwa vizazi vijavyo. Kwa Sasa tu madalali Wa kuuza Nchi kama alivyosema Ndugai . Ukweli ni ukweli Hata kama utasemwa na mpinzani wako. Ndugai na Magufuli walikua na Maono Fulani juu ya Taifa hili. Walichoshwa na Siasa zisizo na mafanikio zaidi ya sanaa.

Tatizo ni KUWA na wapinzani wenye uroho Wa kupata umaarufu na kuoneana wivu.
Wapinzani wanaosema Bora Wote tukose.

Katiba Mpya ingewasaidia CCM kuendelea kudumu Kama Chama Hata kama watashindwa na Chadema . Lakini Amini Amini na waambia CCM itashindwa vibaya sana na Chadema itatumia nguvu ya Katiba hii hii kuiondoa CCM na rasilimali ZAKE zote kuzitaifisha na kupotea kabisa kwenye ramani ya uso Wa Dunia . Katiba hii itakuja kuwaliza CCM kilio cha Mbwa Koko maana watajuta sana . Wananchi hasa Watanganyika hawapo tayari kuendelea kuiruhusu CCM kuuza Rasilimali zao. Wageni wanapopata Fursa wanauza rasilimali za Tanganyika bila Huruma .
Hii haikubaliki Hata kidogo. Idi Amini alipigwa Kwa sababu ya kutaka kutwaa ardhi ya Tanganyika. Wananchi WASIOJUA Katiba na Sheria Kama anavyodai Rais Samia walipambana kufa na kupona na kumwondoa Iddi Amini Amini.
Waliopigana Vita ya Uganda ni Watoto Wa maskini na wanyonge . Hawakua na maslahi zaidí ya kulinda Nchi yao.
Wangweza kusema hawana cha kupoteza mana Ardhi IPO tu Hata ikiwa inatawaliwa na Iddi Amini.

WanaCCM wamejawa na dharau na Jesuri kubwa sana Kwa wanyonge . Hata hao wawekezaji na mawakala wao nguvu Yao ni Umaskini Wa Watanzania. Watanzania Leo hii Wanaitwa Wajinga wasiojitambua lakini wanasahau KUWA Watu mil. 60 wanaishi bila Msaada Wa Serikali na wanaendesha maisha yao ,Nchi Haina njaa Kwa Sio Kwa sababu ya Wazungu Wala Waarabu Bali ni watanzania wenyewe lakini leo kuna Watu waliovimbiwa maharage na pesa za DPW wanawatukana watanzania KUWA ni Wajinga .
Masoko Yote yamejaa vyakula na vingine vinauzwa nje kutoka Kwa wakulima Wa kawaida Wa kitangananyika.
Hao ndio wakiompenda Magufuli. Hao ndio wanaokataa Ardhi Yao kupewa marafiki Wa watawala Toka Uarabuni na Marekani .
Hawa ndio watakaoiondosha CCM madarakani Kwa Uwezo Wa Mungu aliyeumba mbingu na Ardhi na kuweka rasilimali nyingi bila kupangiwa na MWANADAMU yeyote Hata awe Rais . Mungu anapotaka kufanya jambo humu Duniani anawatumia Watu na wanaoshindwa basi analeta adhabu kali Ili Kila MTU arejee Kwa hofu kubwa.
 
Ubungo interchange, elimu bure, umeme wa bure REA kwa 27,000/= tu, kurekebisha mikatataba ya majizi ya migodi, n.k. Hii ni baadhi aliyoianzisha na kuikamilisha! Mingine aliacha kalipa zaidi ya 75% ya gharama zake, mfano: tanzanite bridge (Dar), kufufua shirika la ndege, Bwawa la Nyerere, daraja la busisis (mwanza), SGR (DAR hadi Makutupora), Nyumba nyingi za askari polisi nchi nzima alizijenga na zikaisha (hawa jamaa walikuwa hawana makazi yenye staha). Alinunua Rada zaidi ya nne za kulinda anga na mipaka ya nchi zikakamilika 100% (nchi hii ilikuwa haina ulinzi kabisa). Viwanja vyote vya ndege vipya katika mikoa ambayo haikuwa na viwanja vya ndege alivuanzisha yeye na vingi aliacha amevikamilisha zaidi ya 90%. N.k., n.k, nk., ANAYEMBEZA JPM atakuwa hajui kinachaendelea ndani ya nchi hii
Kwanza hilo la ubungo interchange ni mradi ulio anzishwa na kikwete JPM kakuta utekelezaji wake ni zaidi ya asilimia 60.

Pili mradi wa Rea umebuniwa na kikwete na mpaka magufuri anaingia madarakani kakuta vijiji zaidi ya 5000 vimesha unganishiwa umeme na bado alikuta pesa ya kusabaza umeme vijiji vingine imesha lipwa yeye alicho kifanya ni utekelezaji tu pesa zote zililipwa na serikali ya kikwete na nchi wahisani.

Kuhusu mradi wa reli tiyari ulikuwa kwenye mipango na wala sio wazo lake.

Mradi pekee JPM wa maana ambao mm ninaweza kuusifu ni mradi wa bwawa la umeme lakini miradi mingine aliyo ianzisha JPM ilikuwa ni miradi ya kipumbavu na isiyo na faida yeyote kwa maisha ya raia wa kawaida.
 
Ubungo interchange, elimu bure, umeme wa bure REA kwa 27,000/= tu, kurekebisha mikatataba ya majizi ya migodi, n.k. Hii ni baadhi aliyoianzisha na kuikamilisha! Mingine aliacha kalipa zaidi ya 75% ya gharama zake, mfano: tanzanite bridge (Dar), kufufua shirika la ndege, Bwawa la Nyerere, daraja la busisis (mwanza), SGR (DAR hadi Makutupora), Nyumba nyingi za askari polisi nchi nzima alizijenga na zikaisha (hawa jamaa walikuwa hawana makazi yenye staha). Alinunua Rada zaidi ya nne za kulinda anga na mipaka ya nchi zikakamilika 100% (nchi hii ilikuwa haina ulinzi kabisa). Viwanja vyote vya ndege vipya katika mikoa ambayo haikuwa na viwanja vya ndege alivuanzisha yeye na vingi aliacha amevikamilisha zaidi ya 90%. N.k., n.k, nk., ANAYEMBEZA JPM atakuwa hajui kinachaendelea ndani ya nchi hii
Kazi nzuri ya ccm
 
Wawekezaji kwenye Nchi zenye viongozi mafisadi ni hatari kuliko Vita yoyote Duniani.

Nchi nyingi za Afrika Zina watawala mafisadi . Wawekezaji wanaingia Afrika Kama majambazi wakishirikiana na watawala kupora Mali za umma. Ndiyo maana hawataki mabadiliko yanayogusa maslahi Yao.

Kama Rais hajui kazi ya Katiba na na utawala unaosimamia Katiba unategemea atawaweza wawekezaji wanapogeuka KUWA wezi kama kule Loliondo.

Tanzania Kwa idadi ya wawekezaji waliopo na rasilimali za Nchi haiiingii akililini KUWA Bado tunategemea vikodi vya watumishi Wa umma na miamala na Tozo na vikokotoo kuendesha Nchi.

CCM na Serikali yake imeshindwa vibaya .
Lakini Mwenyekiti wao ameshindwa zaidí.

Afrika kusini ni Nchi iliyoendelea sana barani Afrika lakini maendeleo yake hayawanufaishi waafrika wazawa Kwa sababu rasilimali walizopewa na Mungu zimeporwa na wageni.
Kwa Sasa Fursa pekee ya waafrika kule Afrika ya kusini ni kupata uongozi Wa kisiasa . Weusi hawana Ardhi ,hawana migodi ,hawana mazoo ya wanyama kama Wazungu , hawana majengo na majumba ya kupangisha ,hawana , viwanda , hawana mahoteli, hawakai maeneo mazuri.
Ndiko anakotupeleka Rais Samia . Analiza rasilimali zote za Nchi Kwa Wageni kutimiza malengo ya Wakoloni waliyokua wameyadhamiria KUWA wamiliki rasilimali na waafrika wamiliki siasa . Wawe ni vibaraka Wa Wazungu na Waarabu na madalali Wa Wahindi kwenye biashara na madili.

Kifupi Nchi za Kiafrika hazina watawala Wazalendo ,ndiyo maana yanapotokea Mapinduzi au vita wanabeba mabegi ya Mapesa na kukimbilia Ulaya .

Watawala Wa Afrika wanaficha Mapesa ndani Badala ya kuwekeza Badala yake wanakimbilia kuficha Huko ughaibuni .

Wapinzani wakiwa na akili NZURI waraiondosha CCM madarakani Kwa katiba hii hii na CCM watalia na kusaga meno. Hata KANU iliondoshwa wakiwa na Katiba ya chama kimoja na TANU ikafutika kabisa kwenye uso Wa Dunia.

Wapinzani wakiwa anazunguka kufanya mikutano bila kufanya harambee ya kukusanya fedha Kwa ajili ya uchaguzi Wa 2024 na 2025 ni kubweteka huko. Hakuna wafadhili wema kwenye pesa bila kujitoa wenyewe.
Mfano Chadema ni vyema ikajiimarisha Kwa kuweka malengo ya kukusanya kama bil. 100 kuelekea uchaguzi mkuu . Na fedha hizo zitumike kwenye ngazi za Chini kabisa na Sio kufanya madili ya Kununua T-shirt na magari mabovu.
Pesa hizo zielekezwe Kwa wapiga debe wale Wa vijijini kabisa. Kwa mabodaboda , mama Ntilie wamyeviti Wa ngazi za Msingi kabisa . Pia Kila jijiji kiwe na Ofisi ya inayomilikiwa na chama Sio kupangisha majengo ya Watu Binafsi ambao anapoacha chama na Ofisi inafungwa .


CCM Kwa Sasa Haina MTU Mwenye uwezo Wa kueleza Dirá ya Taifa na Maono ya mbele Kwa vizazi vijavyo. Kwa Sasa tu madalali Wa kuuza Nchi kama alivyosema Ndugai . Ukweli ni ukweli Hata kama utasemwa na mpinzani wako. Ndugai na Magufuli walikua na Maono Fulani juu ya Taifa hili. Walichoshwa na Siasa zisizo na mafanikio zaidi ya sanaa.

Tatizo ni KUWA na wapinzani wenye uroho Wa kupata umaarufu na kuoneana wivu.
Wapinzani wanaosema Bora Wote tukose.

Katiba Mpya ingewasaidia CCM kuendelea kudumu Kama Chama Hata kama watashindwa na Chadema . Lakini Amini Amini na waambia CCM itashindwa vibaya sana na Chadema itatumia nguvu ya Katiba hii hii kuiondoa CCM na rasilimali ZAKE zote kuzitaifisha na kupotea kabisa kwenye ramani ya uso Wa Dunia . Katiba hii itakuja kuwaliza CCM kilio cha Mbwa Koko maana watajuta sana . Wananchi hasa Watanganyika hawapo tayari kuendelea kuiruhusu CCM kuuza Rasilimali zao. Wageni wanapopata Fursa wanauza rasilimali za Tanganyika bila Huruma .
Hii haikubaliki Hata kidogo. Idi Amini alipigwa Kwa sababu ya kutaka kutwaa ardhi ya Tanganyika. Wananchi WASIOJUA Katiba na Sheria Kama anavyodai Rais Samia walipambana kufa na kupona na kumwondoa Iddi Amini Amini.
Waliopigana Vita ya Uganda ni Watoto Wa maskini na wanyonge . Hawakua na maslahi zaidí ya kulinda Nchi yao.
Wangweza kusema hawana cha kupoteza mana Ardhi IPO tu Hata ikiwa inatawaliwa na Iddi Amini.

WanaCCM wamejawa na dharau na Jesuri kubwa sana Kwa wanyonge . Hata hao wawekezaji na mawakala wao nguvu Yao ni Umaskini Wa Watanzania. Watanzania Leo hii Wanaitwa Wajinga wasiojitambua lakini wanasahau KUWA Watu mil. 60 wanaishi bila Msaada Wa Serikali na wanaendesha maisha yao ,Nchi Haina njaa Kwa Sio Kwa sababu ya Wazungu Wala Waarabu Bali ni watanzania wenyewe lakini leo kuna Watu waliovimbiwa maharage na pesa za DPW wanawatukana watanzania KUWA ni Wajinga .
Masoko Yote yamejaa vyakula na vingine vinauzwa nje kutoka Kwa wakulima Wa kawaida Wa kitangananyika.
Hao ndio wakiompenda Magufuli. Hao ndio wanaokataa Ardhi Yao kupewa marafiki Wa watawala Toka Uarabuni na Marekani .
Hawa ndio watakaoiondosha CCM madarakani Kwa Uwezo Wa Mungu aliyeumba mbingu na Ardhi na kuweka rasilimali nyingi bila kupangiwa na MWANADAMU yeyote Hata awe Rais . Mungu anapotaka kufanya jambo humu Duniani anawatumia Watu na wanaoshindwa basi analeta adhabu kali Ili Kila MTU arejee Kwa hofu kubwa.
Unafikra na mawazo ambayo mwalimu Nyerere tu alishayaandikia kitabu cha tujisahihishie ila wewe unayarudia tena na ajabu zaidi unayasema hayo 2023 .
 
Wawekezaji kwenye Nchi zenye viongozi mafisadi ni hatari kuliko Vita yoyote Duniani.

Nchi nyingi za Afrika Zina watawala mafisadi . Wawekezaji wanaingia Afrika Kama majambazi wakishirikiana na watawala kupora Mali za umma. Ndiyo maana hawataki mabadiliko yanayogusa maslahi Yao.

Kama Rais hajui kazi ya Katiba na na utawala unaosimamia Katiba unategemea atawaweza wawekezaji wanapogeuka KUWA wezi kama kule Loliondo.

Tanzania Kwa idadi ya wawekezaji waliopo na rasilimali za Nchi haiiingii akililini KUWA Bado tunategemea vikodi vya watumishi Wa umma na miamala na Tozo na vikokotoo kuendesha Nchi.

CCM na Serikali yake imeshindwa vibaya .
Lakini Mwenyekiti wao ameshindwa zaidí.

Afrika kusini ni Nchi iliyoendelea sana barani Afrika lakini maendeleo yake hayawanufaishi waafrika wazawa Kwa sababu rasilimali walizopewa na Mungu zimeporwa na wageni.
Kwa Sasa Fursa pekee ya waafrika kule Afrika ya kusini ni kupata uongozi Wa kisiasa . Weusi hawana Ardhi ,hawana migodi ,hawana mazoo ya wanyama kama Wazungu , hawana majengo na majumba ya kupangisha ,hawana , viwanda , hawana mahoteli, hawakai maeneo mazuri.
Ndiko anakotupeleka Rais Samia . Analiza rasilimali zote za Nchi Kwa Wageni kutimiza malengo ya Wakoloni waliyokua wameyadhamiria KUWA wamiliki rasilimali na waafrika wamiliki siasa . Wawe ni vibaraka Wa Wazungu na Waarabu na madalali Wa Wahindi kwenye biashara na madili.

Kifupi Nchi za Kiafrika hazina watawala Wazalendo ,ndiyo maana yanapotokea Mapinduzi au vita wanabeba mabegi ya Mapesa na kukimbilia Ulaya .

Watawala Wa Afrika wanaficha Mapesa ndani Badala ya kuwekeza Badala yake wanakimbilia kuficha Huko ughaibuni .

Wapinzani wakiwa na akili NZURI waraiondosha CCM madarakani Kwa katiba hii hii na CCM watalia na kusaga meno. Hata KANU iliondoshwa wakiwa na Katiba ya chama kimoja na TANU ikafutika kabisa kwenye uso Wa Dunia.

Wapinzani wakiwa anazunguka kufanya mikutano bila kufanya harambee ya kukusanya fedha Kwa ajili ya uchaguzi Wa 2024 na 2025 ni kubweteka huko. Hakuna wafadhili wema kwenye pesa bila kujitoa wenyewe.
Mfano Chadema ni vyema ikajiimarisha Kwa kuweka malengo ya kukusanya kama bil. 100 kuelekea uchaguzi mkuu . Na fedha hizo zitumike kwenye ngazi za Chini kabisa na Sio kufanya madili ya Kununua T-shirt na magari mabovu.
Pesa hizo zielekezwe Kwa wapiga debe wale Wa vijijini kabisa. Kwa mabodaboda , mama Ntilie wamyeviti Wa ngazi za Msingi kabisa . Pia Kila jijiji kiwe na Ofisi ya inayomilikiwa na chama Sio kupangisha majengo ya Watu Binafsi ambao anapoacha chama na Ofisi inafungwa .


CCM Kwa Sasa Haina MTU Mwenye uwezo Wa kueleza Dirá ya Taifa na Maono ya mbele Kwa vizazi vijavyo. Kwa Sasa tu madalali Wa kuuza Nchi kama alivyosema Ndugai . Ukweli ni ukweli Hata kama utasemwa na mpinzani wako. Ndugai na Magufuli walikua na Maono Fulani juu ya Taifa hili. Walichoshwa na Siasa zisizo na mafanikio zaidi ya sanaa.

Tatizo ni KUWA na wapinzani wenye uroho Wa kupata umaarufu na kuoneana wivu.
Wapinzani wanaosema Bora Wote tukose.

Katiba Mpya ingewasaidia CCM kuendelea kudumu Kama Chama Hata kama watashindwa na Chadema . Lakini Amini Amini na waambia CCM itashindwa vibaya sana na Chadema itatumia nguvu ya Katiba hii hii kuiondoa CCM na rasilimali ZAKE zote kuzitaifisha na kupotea kabisa kwenye ramani ya uso Wa Dunia . Katiba hii itakuja kuwaliza CCM kilio cha Mbwa Koko maana watajuta sana . Wananchi hasa Watanganyika hawapo tayari kuendelea kuiruhusu CCM kuuza Rasilimali zao. Wageni wanapopata Fursa wanauza rasilimali za Tanganyika bila Huruma .
Hii haikubaliki Hata kidogo. Idi Amini alipigwa Kwa sababu ya kutaka kutwaa ardhi ya Tanganyika. Wananchi WASIOJUA Katiba na Sheria Kama anavyodai Rais Samia walipambana kufa na kupona na kumwondoa Iddi Amini Amini.
Waliopigana Vita ya Uganda ni Watoto Wa maskini na wanyonge . Hawakua na maslahi zaidí ya kulinda Nchi yao.
Wangweza kusema hawana cha kupoteza mana Ardhi IPO tu Hata ikiwa inatawaliwa na Iddi Amini.

WanaCCM wamejawa na dharau na Jesuri kubwa sana Kwa wanyonge . Hata hao wawekezaji na mawakala wao nguvu Yao ni Umaskini Wa Watanzania. Watanzania Leo hii Wanaitwa Wajinga wasiojitambua lakini wanasahau KUWA Watu mil. 60 wanaishi bila Msaada Wa Serikali na wanaendesha maisha yao ,Nchi Haina njaa Kwa Sio Kwa sababu ya Wazungu Wala Waarabu Bali ni watanzania wenyewe lakini leo kuna Watu waliovimbiwa maharage na pesa za DPW wanawatukana watanzania KUWA ni Wajinga .
Masoko Yote yamejaa vyakula na vingine vinauzwa nje kutoka Kwa wakulima Wa kawaida Wa kitangananyika.
Hao ndio wakiompenda Magufuli. Hao ndio wanaokataa Ardhi Yao kupewa marafiki Wa watawala Toka Uarabuni na Marekani .
Hawa ndio watakaoiondosha CCM madarakani Kwa Uwezo Wa Mungu aliyeumba mbingu na Ardhi na kuweka rasilimali nyingi bila kupangiwa na MWANADAMU yeyote Hata awe Rais . Mungu anapotaka kufanya jambo humu Duniani anawatumia Watu na wanaoshindwa basi analeta adhabu kali Ili Kila MTU arejee Kwa hofu kubwa.
Nimekusamehe kwa sababu huna akili kabisa
 
Kwani uchumi ni nini ndugu?
Hujui na hutaki kukiri kama hujui? Sasa shule Ina kazi Gani. Si uende usome angalau hata diploma.ya uchumi. Kumbe ndo mana mnabishana sana vitu ambavyo hata hamvijui!!
 
Kwanza hilo la ubungo interchange ni mradi ulio anzishwa na kikwete JPM kakuta utekelezaji wake ni zaidi ya asilimia 60.

Pili mradi wa Rea umebuniwa na kikwete na mpaka magufuri anaingia madarakani kakuta vijiji zaidi ya 5000 vimesha unganishiwa umeme na bado alikuta pesa ya kusabaza umeme vijiji vingine imesha lipwa yeye alicho kifanya ni utekelezaji tu pesa zote zililipwa na serikali ya kikwete na nchi wahisani.

Kuhusu mradi wa reli tiyari ulikuwa kwenye mipango na wala sio wazo lake.

Mradi pekee JPM wa maana ambao mm ninaweza kuusifu ni mradi wa bwawa la umeme lakini miradi mingine aliyo ianzisha JPM ilikuwa ni miradi ya kipumbavu na isiyo na faida yeyote kwa maisha ya raia wa kawaida.
Hata Bwawa la Nyerere lilibuniwa na Wakoloni na Nyerere .
Makao makuu ya Dodoma yalibuniwa na Nyerere.
Na mengie Mengi yalikua kwenye vitabu . Na mambo Mengi Dunia yapo kwenye vitabu na Sio Kikwete Wala nani !.
Tatizo ni Kubuni au kuangalia mipango na Kisha kuitumia Kwa Dili la Kupiga pesa za umma Kwa miradi isiyoisha Kwa muda Mrefu.
JPM Kwa miaka mitano akajenga Jiji lenye Ikulu kubwa sana Afrika.
Na miradi I'll tekelezwa Kwa wakati.
Pesa za fungu kubwa la Ikulu lisilohojiwa ni Wazi KUWA JPM alilitumia kujenga Nchi . Wengine wanaotumia mafungu ya Ikulu kujitajirisha na kuanzisha mabiashara Kila MAHALI na kujibinafsishia rasilimali za umma.

Kwa miaka mitano mpaka Sasa hatujaona Biashara kubwa ya familia ya JPM inayomilikiwa na mkewe au mtoto au Ndugu. Wengine Kwa miaka michache wanaimiliki mabiashara Kila MAHALI na kushirikiana na wakwepa Kodi Wanaoitwa wawekezaji uchwara kuliibia Taifa .

JPM asilinganishwe na wahuni popote kwenye bara la Afrika .
Ni dhambi kubwa kumlinganisha JPM na wengineo.
JPM alikua na Maono Kwa Taifa hili na Dunia Nzima.
Historia ya Afrika itamtaja JPM Kila MAHALI.
Usione Mapinduzi yanayoibuka Afrika ni Kwa sababu ya Roho ya MAGUFULI kusambaa Afrika Nzima . Wazalendo kote barani Afrika wamejifunza KUWA kumbe tunaweza kushirikiana na kuleta maendeleo bila Kuwategemea Wazungu na Kupinga Wizi na hila zao .
 
Jpm alianzisha mradi Gani ulioisha. Nitajie hata mmoja tu. Yote kaimaliza mama kwa uungwana tu mana angeweza kuitelekeza akaanzisha vya kwake ila mama siyo mtu wa masifa. Jpm yeye alitelekeza miradi ya jk yote ili apate sifa yeye tu
Kwani nani kamsifia huyo Jpm?
Tuambie mama ameleta vipi maendeleo ya kiuchumi Tz.
 
Hata Bwawa la Nyerere lilibuniwa na Wakoloni na Nyerere .
Makao makuu ya Dodoma yalibuniwa na Nyerere.
Na mengie Mengi yalikua kwenye vitabu . Na mambo Mengi Dunia yapo kwenye vitabu na Sio Kikwete Wala nani !.
Tatizo ni Kubuni au kuangalia mipango na Kisha kuitumia Kwa Dili la Kupiga pesa za umma Kwa miradi isiyoisha Kwa muda Mrefu.
JPM Kwa miaka mitano akajenga Jiji lenye Ikulu kubwa sana Afrika.
Na miradi I'll tekelezwa Kwa wakati.
Pesa za fungu kubwa la Ikulu lisilohojiwa ni Wazi KUWA JPM alilitumia kujenga Nchi . Wengine wanaotumia mafungu ya Ikulu kujitajirisha na kuanzisha mabiashara Kila MAHALI na kujibinafsishia rasilimali za umma.

Kwa miaka mitano mpaka Sasa hatujaona Biashara kubwa ya familia ya JPM inayomilikiwa na mkewe au mtoto au Ndugu. Wengine Kwa miaka michache wanaimiliki mabiashara Kila MAHALI na kushirikiana na wakwepa Kodi Wanaoitwa wawekezaji uchwara kuliibia Taifa .

JPM asilinganishwe na wahuni popote kwenye bara la Afrika .
Ni dhambi kubwa kumlinganisha JPM na wengineo.
JPM alikua na Maono Kwa Taifa hili na Dunia Nzima.
Historia ya Afrika itamtaja JPM Kila MAHALI.
Usione Mapinduzi yanayoibuka Afrika ni Kwa sababu ya Roho ya MAGUFULI kusambaa Afrika Nzima . Wazalendo kote barani Afrika wamejifunza KUWA kumbe tunaweza kushirikiana na kuleta maendeleo bila Kuwategemea Wazungu na Kupinga Wizi na hila zao .
Huyo magufuri mnamkuza tu lakini hakuna cha maana alicho kifanya zaidi ya kuasisi siasa za hovyo ndani ya taifa hili za wanasiasa kutaka kuabudiwa kama mungu.
Katika taifa hili hakuna kiongozi aliye fanya mambo yaliyo kuwa yanawagusa moja moja raia wa hali zote kama kikwete japo nyinyi huo ukweli hamtaki kuukubali.

Kikwete ndio kiongozi aliye jenga km nyingi za barabara kuliko kiongozi yeyote ndani ya taifa hili.

Bila kikwete kubuni na kuanzisha mradi wa Rea bibi yako kijiji hata barubu ya umeme asinge kuwa anajua umeme unafananaje.

Bila kikwete kujenga shule za kata mtoto wa masikini asingekuwa anajua hata radha ya elimu inafananaje.

Asilimia 50 ya vyanzo vya umeme ndani ya nchi vilijegwa na kikwete.

Kipindi cha kikwete bidhaa za viwandani zilikuwa na bei ya chini.

Sasa ww unakuja kumsifu jiwe eti kajenga ikulu sasa hiyo ikulu ina faida gani kwa raia wa kawaid
 
Back
Top Bottom