Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda huko usukumani kwenu wasukuma wamehama kwenye nyumba zao wanalala kwenye hospitali na vituo vya afya alivojenga rais samia.Ameanzisha na kukamilisha miradi gani?
Wana JF wote wewe peke yako ndio unaishi Dar?Njoo dar uone kila pahala mabarabara yanajengwa na ndo yamesababisha foleni.
Magu mkali wa kufoka mama mkali wa mashairi wote wanatoka bendi mmoja lakini hawakupendana.Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.
Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.
Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.
Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.
Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Miradi aliyoacha JPM anayeikamilisha ni nani kama siyo mama au ni mropokaji na mkurupukaji wenu huyoAmeanzisha na kukamilisha miradi gani?
Mafuriko hata nchi zilizoendelea yanatokea huko acha ushamba wakoDar ipi hiyo ambapo mvua kisoda mafuriko mpka matakoni acha kudanganya watu hatuna mji wenye miundo mbinu ya maana mnasifia ujinga
[emoji7]Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.
Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.
Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.
Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.
Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Mafuta tunanunua kiasi gani kwanini anashindwa kusimamia bei?We unawaza miradi tu. Nani kakukalilisha kwamba miradi ndo uchumi peke yake.
Usijione nadhifu katika kedi ,dharau na matusi kwa wengine.....Magu mkali wa kufoka mama mkali wa mashairi wote wanatoka bendi mmoja lakini hawakupendana.
Wote si waumini wa katiba,kusolewa kwao ni sawa na matusi,hizi ndizo tabia za kidikitekta.
Huwezi kutaka uwekezaji kwa kukabidhi chote kilicho Chako. Huo ni Umwinyi huenda Mila na tamaduni zake zinamruhusu,lakini alipaswa Tanzania ni ya Watanzania urais ni dhamana tu
Umesahau kuwa chini ya Samia nchi haiwezi kupiga hatua sababu ni rais haramu aliyetokana na wizi wa kuraWatanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.
Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.
Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.
Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.
Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Ukijiangalia, ukiringanisha naye unaishia kumuona yupo mbele ya muda. Haujui kuwa.Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.
Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.
Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.
Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.
Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Du hii ngumu kumesaWatanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.
Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.
Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.
Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.
Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Pale "r" inapowekwa katika "l"...Ukijiangalia, ukiringanisha naye unaishia kumuona yupo mbele ya muda. Haujui kuwa.
Unavyojiona wewe unaweza ukawa benchmark kweli? Au umeamua tu kudharirisha watanzania wenzako?
Kumbe anamuogopa mungu basi sawa nilidhani anamuogopa MunguMlizoea muuaji yule huyo yupo tofauti kabisa. Anamuogopa mungu
Mkuu hebu basi jitahidi usiandike kama mume wa Zamaradi.Ni kweli hujui majina ya watu au Nchi yanapaswa kuanza na herufi kubwa?Labda kama kiswahili hukijui sawa. Tofautisha kupora au kuuza na kuwekeza. Shida kiswahili kinakupiga chenga. Elon musk amewekeza rwanda miradi kibao lakini haweseni kapora nchi
Magufuli alijua kucheza na akili za hawa mafukara na masikini,furaha ya masikini jamii ya kina Nyani Ngabu nikuona tajiri anapewa misukosukoWatanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.
Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.
Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.
Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.
Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.