Nilichogundua mimi ni kwamba Rais Samia yuko mbele ya muda kwenye kuongoza

Nilichogundua mimi ni kwamba Rais Samia yuko mbele ya muda kwenye kuongoza

Hoja yako ingekuwa inamashiko kama usingeingiza vijembe dhidi ya Wapinzani.

Nilikuwa nimekupa like lakini niamua kuichukua.
 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Magu mkali wa kufoka mama mkali wa mashairi wote wanatoka bendi mmoja lakini hawakupendana.

Wote si waumini wa katiba,kusolewa kwao ni sawa na matusi,hizi ndizo tabia za kidikitekta.

Huwezi kutaka uwekezaji kwa kukabidhi chote kilicho Chako. Huo ni Umwinyi huenda Mila na tamaduni zake zinamruhusu,lakini alipaswa Tanzania ni ya Watanzania urais ni dhamana tu
 
Hao ndg zetu kwenye kuwa mbele kwa IQ sahau ww. Linganisha hata Class kwenu tu.
 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Magu mkali wa kufoka mama mkali wa mashairi wote wanatoka bendi mmoja lakini hawakupendana.

Wote si waumini wa katiba,kusolewa kwao ni sawa na matusi,hizi ndizo tabia za kidikitekta.

Huwezi kutaka uwekezaji kwa kukabidhi chote kilicho Chako. Huo ni Umwinyi huenda Mila na tamaduni zake zinamruhusu,lakini alipaswa Tanzania ni ya Watanzania urais ni dhamana tu
Usijione nadhifu katika kedi ,dharau na matusi kwa wengine.....

Unawezaje kuthubutu kusema "tamaduni zake ni za kukubali kumilikisha vyake kwa wengine" ?!!!

Hii nayo ni "mentality" duni na chafu ambayo wazee wa "bigotry" wamekuwa ana ADA nayo....

Matusi hayauzwi dukani[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Umesahau kuwa chini ya Samia nchi haiwezi kupiga hatua sababu ni rais haramu aliyetokana na wizi wa kura
 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Ukijiangalia, ukiringanisha naye unaishia kumuona yupo mbele ya muda. Haujui kuwa.
Unavyojiona wewe unaweza ukawa benchmark kweli? Au umeamua tu kudharirisha watanzania wenzako?
 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Du hii ngumu kumesa
 
Ukijiangalia, ukiringanisha naye unaishia kumuona yupo mbele ya muda. Haujui kuwa.
Unavyojiona wewe unaweza ukawa benchmark kweli? Au umeamua tu kudharirisha watanzania wenzako?
Pale "r" inapowekwa katika "l"...

Kuongea ni sawa...leo hadi kuandika ?!!!

Saaalaaleeee shule mlikwenda kusomea "ungeseeerrrrrr"?!! [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Labda kama kiswahili hukijui sawa. Tofautisha kupora au kuuza na kuwekeza. Shida kiswahili kinakupiga chenga. Elon musk amewekeza rwanda miradi kibao lakini haweseni kapora nchi
Mkuu hebu basi jitahidi usiandike kama mume wa Zamaradi.Ni kweli hujui majina ya watu au Nchi yanapaswa kuanza na herufi kubwa?
 
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu.

Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa kudhani kwamba ni relief kwao ili watanzania wote wafanane.

Ndo mana Hayati Magufuli alipenda na kada ya chini sana hasa wasiolewa kesho yao na wengi shule ni tatizo. Kwao tajiri akinyanyaswa ndo relief kwao.

Sasa mama kaja kivingine wamepoteana hawajui walalamikie kipi imebaki ni matusi tu basi ilimradi wameongea.

Mama kaziba hoja zao zote kwa kuwaachia waropoke tu na polisi wamewaacha tu wanatafuta wa kuwakamata lakini wapi. Mdude anatafuta angalau wa kumpiga risasi hata ya paja lakini amekosa amebaki kumtukana tu.
Magufuli alijua kucheza na akili za hawa mafukara na masikini,furaha ya masikini jamii ya kina Nyani Ngabu nikuona tajiri anapewa misukosuko
 
Back
Top Bottom