Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #61
Mungu shahidi, sijawai kuona akili za hovyo kama za viongozi wa Tanzania. Hii nchi ikiwezekana tuikodishe kwa wazungu tu kuiendeshaKuwepo na sheria za muda wa kuuza chakula pia, sio watu mnakula kula tu muda wote[emoji16].
Kuwepo na sheria za muda wa kuangalia TV
Kuwepo na sheria za muda wa kuingia mitandaoni
Tuishi kama Korea Kaskazini kwa Kiduku[emoji16]
Nimekuja kugundua ana akili za kindezi sana huyu Amos Makala na sio yeye tu, pamoja na viongozi wengi sana. Na kwa aina ya viongozi hawa tutasikia tu kwenye bomba kuondoa umaskiniAkili za kimkundu hizi huyo makaa sijui mkaaa bure kabisa.Mkaa out.
Hao ng'ombe wanaeza mchunga huyo jamaaKwa akili yako maendeleo ni umeme flyover na sgr tu?
Endelea kuchunga ng'ombe tu
Kwamba hio thread hukuonaMkuu unaijua lakini $18milioni??? Isije ukawa unasema dollar ambazo thamani yake Kwa tz ni 18milioni?
Akili za ajabu kabisa.Bongo ili uwe kiongozi usiwe mpenda starehe,. Ukiwa mtu wa club nk waanaona hufai kuwa kiongozi sijui nani alituloga matokeo yake ndio hayo sasa tuzidi kusali tu pengine mungu atasikia koliko chetu
🤣🤣Hao ng'ombe wanaeza mchunga huyo jamaa
Kweli kabisa, hiyo Kempu ipo imejitenga mbali kabisa mtu akienda huko ujue ana hela zake, sio vijana wa kawaida wa mtaaniLeo nimekutana na Habari Mkuu wa Mkoa wa Dar kaenda na kamati yake ya Ulinzi na Usalama Wavuvi Kempu na kawapiga biti kuhusu clip iliyorushwa inayoonesha namna watu wanavyokula bata.
Mbaya zaidi baada ya Amos Makala kuongea kaongea kiongozi mwingine sijui nani nae akapiga biti kuhusu club hiyo kuuza vinywaji asubuhi.
Nimeona pia habari ya kiongozi mmoja akitoa habari kuwa kuna vifarangq viliagizwa kutoka nje vimefia Airport.
Baada ya habari hizi nilichogundua ni kwamba kwa hapa Tanzania hata atawale malaika hatuwezi pata maendeleo tunayotakiwa kuyapata kamwe.
Ukiona taifa viongozi wanaenda kupiga marufuku sehemu ya starehe iliyopo ufukweni inayolipa kodi na kuingiza mapato, iliyoajiri watanzania na kuwalipa mishahara inayowawezesha kuhudumia familia zao kufanya biashara asubuhi basi ujue hiyo sehemu shida ni akili za watu.
Tanzania tuna safari ndefu sana.View attachment 2466793
Mmh hiyo hesabu ya fedha ni ngumu kuamini, Dola milioni kumi na nane ni bilioni ishirini na ushee huko kwa fedha za madafuKwamba hio thread hukuona
Mil 18 si pesa ambayo huwa napelek bank at once .? Kuna gari tunauza cash
Tena sehemu kama hizi ndo za kuzihamasisha kufanya biashara alafu TRA wanakuwa wanakusanya chao tu. ila tulivyo na viongozi wa hovyo eti anasema hawaruhusiwi kuuza vinywaji asubuhi.Kweli kabisa, hiyo Kempu ipo imejitenga mbali kabisa mtu akienda huko ujue ana hela zake, sio vijana wa kawaida wa mtaani
Una elimu gani kwanzaMmh hiyo hesabu ya fedha ni ngumu kuamini, Dola milioni kumi na nane ni bilioni mía mbili na ushee huko kwa fedha za madafu
Kumbe ndio maana unawashwa ukiona mada imeanzishwa ni kuleta hilo jitu lenuNdio nyumbani
Wewe utazikwa wapi? Au hufagi😃😃
wamegoma kuanua matanga ndugu zetu hawa. tuwasamehe tuKumbe ndio maana unawashwa ukiona mada imeanzishwa ni kuleta hilp jitu lenu
Misukule mmekuja juu balaa baada ya mungu wenu kusemwaHiki chako unadhani kimejaa nini, kamasi; maana sioni unafuu wowote kati ya hicho chako na hivyo vingine!
Unaijua Dol mil 18 lkn??Acha akili za kimaskini wewe. Sasa kuna shida gani mtu kupeleka cash dola Mil 18 bank?
Kuna watu akili zenu zimejaa ufukara tu
Naijua ndiyo. kuna shida gani mtu kuweka hiyo hela Bank?Unaijua Dol mil 18 lkn??
Kuna watu wengi wenye akili na exposure wapo nje ya uongozi wa umma alafu kuna wajinga wengi sana ndo wapo kwenye uongozi wa ummaHawa watu wamekosa kaz za kufanya