Nilichogundua, Tanzania hata atawale malaika bila akili za watu kufunguka hatuwezi endelea inavyotakiwa kamwe

Nilichogundua, Tanzania hata atawale malaika bila akili za watu kufunguka hatuwezi endelea inavyotakiwa kamwe

Kuwepo na sheria za muda wa kuuza chakula pia, sio watu mnakula kula tu muda wote[emoji16].
Kuwepo na sheria za muda wa kuangalia TV
Kuwepo na sheria za muda wa kuingia mitandaoni
Tuishi kama Korea Kaskazini kwa Kiduku[emoji16]
Mungu shahidi, sijawai kuona akili za hovyo kama za viongozi wa Tanzania. Hii nchi ikiwezekana tuikodishe kwa wazungu tu kuiendesha
 
Akili za kimkundu hizi huyo makaa sijui mkaaa bure kabisa.Mkaa out.
 
Akili za kimkundu hizi huyo makaa sijui mkaaa bure kabisa.Mkaa out.
Nimekuja kugundua ana akili za kindezi sana huyu Amos Makala na sio yeye tu, pamoja na viongozi wengi sana. Na kwa aina ya viongozi hawa tutasikia tu kwenye bomba kuondoa umaskini
 
Bongo ili uwe kiongozi usiwe mpenda starehe,. Ukiwa mtu wa club nk waanaona hufai kuwa kiongozi sijui nani alituloga matokeo yake ndio hayo sasa tuzidi kusali tu pengine mungu atasikia koliko chetu
 
Bongo ili uwe kiongozi usiwe mpenda starehe,. Ukiwa mtu wa club nk waanaona hufai kuwa kiongozi sijui nani alituloga matokeo yake ndio hayo sasa tuzidi kusali tu pengine mungu atasikia koliko chetu
Akili za ajabu kabisa.
 
Leo nimekutana na Habari Mkuu wa Mkoa wa Dar kaenda na kamati yake ya Ulinzi na Usalama Wavuvi Kempu na kawapiga biti kuhusu clip iliyorushwa inayoonesha namna watu wanavyokula bata.

Mbaya zaidi baada ya Amos Makala kuongea kaongea kiongozi mwingine sijui nani nae akapiga biti kuhusu club hiyo kuuza vinywaji asubuhi.

Nimeona pia habari ya kiongozi mmoja akitoa habari kuwa kuna vifarangq viliagizwa kutoka nje vimefia Airport.

Baada ya habari hizi nilichogundua ni kwamba kwa hapa Tanzania hata atawale malaika hatuwezi pata maendeleo tunayotakiwa kuyapata kamwe.

Ukiona taifa viongozi wanaenda kupiga marufuku sehemu ya starehe iliyopo ufukweni inayolipa kodi na kuingiza mapato, iliyoajiri watanzania na kuwalipa mishahara inayowawezesha kuhudumia familia zao kufanya biashara asubuhi basi ujue hiyo sehemu shida ni akili za watu.

Tanzania tuna safari ndefu sana.View attachment 2466793
Kweli kabisa, hiyo Kempu ipo imejitenga mbali kabisa mtu akienda huko ujue ana hela zake, sio vijana wa kawaida wa mtaani
 
Kwamba hio thread hukuona

Mil 18 si pesa ambayo huwa napelek bank at once .? Kuna gari tunauza cash
Mmh hiyo hesabu ya fedha ni ngumu kuamini, Dola milioni kumi na nane ni bilioni ishirini na ushee huko kwa fedha za madafu
 
Kweli kabisa, hiyo Kempu ipo imejitenga mbali kabisa mtu akienda huko ujue ana hela zake, sio vijana wa kawaida wa mtaani
Tena sehemu kama hizi ndo za kuzihamasisha kufanya biashara alafu TRA wanakuwa wanakusanya chao tu. ila tulivyo na viongozi wa hovyo eti anasema hawaruhusiwi kuuza vinywaji asubuhi.

Waafrika aliyeturoga akyaMungu nikimuona lazima nimlaani
 
Back
Top Bottom